Yesu alikuwa halisi, aliongelewa na wanahistoria kama Josephus Flavius na Tacitus ambao wote waliishi kwenye timeline yake Yesu.Yesu ni kiumbe wa kufikirika, usimtolee mfano kwenye vitu halisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu alikuwa halisi, aliongelewa na wanahistoria kama Josephus Flavius na Tacitus ambao wote waliishi kwenye timeline yake Yesu.Yesu ni kiumbe wa kufikirika, usimtolee mfano kwenye vitu halisi.
'Timeline' unamaanisha nini?Yesu alikuwa halisi, aliongelewa na wanahistoria kama Josephus Flavius na Tacitus ambao wote waliishi kwenye timeline yake Yesu.
1A.D mpaka 100 A.D'Timeline' unamaanisha nini?
Ni kisema niliishi na fulani mwaka hata kama sina ushahidi wa mtu huyo basi inakuwa ukweli?1A.D mpaka 100 A.D
Josephus aliishi Yerusalemu na kuandika historia inayoaminika na wanahusika wengi duniani, aliandika kuhusu kifo cha Yesu , kuanguka kwa Yerusalemu chini ya Titus mtoto wa Vespasian mwaka wa 70.Ni kisema niliishi na fulani mwaka hata kama sina ushahidi wa mtu huyo basi inakuwa ukweli?
Bado unanijazia watu wakufikirika tu.Josephus aliishi Yerusalemu na kuandika historia inayoaminika na wanahusika wengi duniani, aliandika kuhusu kifo cha Yesu , kuanguka kwa Yerusalemu chini ya Titus mtoto wa Vespasian mwaka wa 70.
Kama wazungu na uwezo wao mkubwa wa kiakili wanamuamini Josephus na wamefanya uchunguzi mwingine wa kihistoria wakaona Yesu alikuwepo kweli na aliuwawa kipindi cha Pontius Pilato akiwa Gavana wa Yerusalemu akimwakilisha Kaisari wa Rumi, wewe ni nani kubisha? Yaani mi nimuamini mtu mweusi ambaye hajawahi fanya tafiti yoyote.
Pia Tacitus Mrumi , aliandika habari zake Yesu na kifo chake.
Katafute , search engines ziko kibao, kuna Google na Yahoo.Bado unanijazia watu wakufikirika tu.
Huo utafiti uliofanywa na hao wazungu wako kuhusu yesu ni upi?
Siwezi kupoteza muda zaidi. Kutafuta kuhusu vitu vya kufikirika.Katafute , search engines ziko kibao, kuna Google na Yahoo.
Yesu aliwahi sema tusirushe lulu kwa nguruwe. Kama unabisha Kaa hivyohivyo. Kama una hamu, fatilia.
Na Mimi siwezi poteza muda kujibu maswali ya kipuuzi, maswali yanayoweza leta mjadala usioisha maana kama upande mmoja umegoma kufanya uchunguzi, upande mwingine ikitaka ishinde argument itakuwa upande wa kipumbavu.Siwezi kupoteza muda zaidi. Kutafuta kuhusu vitu vya kufikirika.
Ndugeze yesu wapo wapi?
Leta lineages yake, wacha blah blah mkuu. Huu ndio ushahidi usio na shaka.Na Mimi siwezi poteza muda kujibu maswali ya kipuuzi, maswali yanayoweza leta mjadala usioisha maana kama upande mmoja umegoma kufanya uchunguzi, upande mwingine ikitaka ishinde argument itakuwa upande wa kipumbavu.
I reject your offer.
Kafuate Google kama umeshindwa achana na Mimi. Period.Leta lineages yake, wacha blah blah mkuu. Huu ndio ushahidi usio na shaka.
Sina shida na wewe. Nina mashaka na uhalisia wa hoja yako tu.Kafuate Google kama umeshindwa achana na Mimi. Period.
Kama una mashaka , Kuna Google, Yahoo, YouTube, kuna vitabu mbalimbali, fatilia.Sina shida na wewe. Nina mashaka na uhalisia wa hoja yako tu.
Mashaka ya nini? Kwamba huwezi kuthibitisha uzao wa 'Yesu'?Kama una mashaka , Kuna Google, Yahoo, YouTube, kuna vitabu mbalimbali, fatilia.
Kama umeshindwa achana na Mimi.
Swala ni Usizidishe wala usiache kabisaSex inapunguza uwezo wa kufikiri,watu wote wenye akili sex ilikuwa sio kipaumbele na walikufa bila wake wala watoto.
Hivi wanawake wasivyo na akili hivyo wakianza kukuvuruga utaanzaje kufikiri?
Hii sio kweli kabisa, kuna watu wengi tu hukaa miezi bila sex tena bila shida yoyote🔞Zipo hasara za kutokufanya sex kwa mda mrefu, Hizi hazijathibitishwa na Daktari, It is by experience from wanaojua hilo game, ambazo ni
1. Hasira za Ovyo.
2. Mwili kutokuwa sawa ( Unconfortable).
3.Kucheka cheka.
4. Mawenge mawenge.
5. Hata kudumaa kwa uwezo wa kufikiria.
Hizi ni baadhi tu, Japo sijamaanisha vijana muanze "kutembeza spacles"🚫
Have protective sex , Na tumia kistaarabu , Hairuhusiwi kwa wenye umri chini ya Miaka 18.
MpareeeeeHii sio kweli kabisa, mimi hukaa miezi bila sex tena bila shida yoyote
Jaribu kwenda ukalime mpunga huko uone kama utaikumbuka hiyo sex
Tatizo la baadhi ya vijana ni kushinda kutwa kucha kuwazia sex wanafikiri hayo ndio maisha....