Hasara za kutoku-Sex kwa mda mrefu

Hasara za kutoku-Sex kwa mda mrefu

Hakuna madhara yoyote zaidi zaidi Mwili unaimarika zaidi maana zile mbolea zenye virutubishi vingi hazitolewi nje ovyo ovyo

Kwa wanaume Mwili unaanza kua smart na kuonekana vizuri muscles zinajijenga akiwa mtu wa mazoezi anakua na muonekano mzuri sana yaan imara zaidi

Kwa wanawake mbolea zake zinakua retained na kua converted kua mafuta mafuta kinachofuata unaona mtu anafumukafumuka km akiwa sio mtu wa mazoezi

Hasira hakuna binadamu asiekua na hasira, tena ukiwa sio mtu wa ngono ngono ndio unakua hauna hasira kabisa Ila ukiwa mtu wa ngono ngono hasira ni kugusa tu, I have been through this naongelea experience

Hasara:

Ni kwamba ukikaa bila kufanya sex kwa mda mrefu ukikutana na mtu itakuchukua mda kufikia kileleni wenyewe wanaita unapatwa na Hypoactive sexual desire disorder ( HSDD )
 
Hakuna madhara yoyote zaidi zaidi Mwili unaimarika zaidi maana zile mbolea zenye virutubishi vingi hazitolewi nje ovyo ovyo

Kwa wanaume Mwili unaanza kua smart na kuonekana vizuri muscles zinajijenga akiwa mtu wa mazoezi anakua na muonekano mzuri sana yaan imara zaidi

Kwa wanawake mbolea zake zinakua retained na kua converted kua mafuta mafuta kinachofuata unaona mtu anafumukafumuka km akiwa sio mtu wa mazoezi

Hasira hakuna binadamu asiekua na hasira, tena ukiwa sio mtu wa ngono ngono ndio unakua hauna hasira kabisa Ila ukiwa mtu wa ngono ngono hasira ni kugusa tu, I have been through this naongelea experience

Hasara:

Ni kwamba ukikaa bila kufanya sex kwa mda mrefu ukikutana na mtu itakuchukua mda kufikia kileleni wenyewe wanaita unapatwa na Hypoactive sexual desire disorder (🙃

Mkuu nimevuta picha jinsi Yesu alivokuwa mpole na hekima

Alafu kumbe hakuwa na tabia tulizo ambiwa na mleta Uzi
Umenifungua akili ndo maana nimecheka saana [emoji23][emoji23]
😂😂😂😂
 
Mkuu nimevuta picha jinsi Yesu alivokuwa mpole na hekima

Alafu kumbe hakuwa na tabia tulizo ambiwa na mleta Uzi
Umenifungua akili ndo maana nimecheka saana [emoji23][emoji23]
Yesu alikuwa na Hekima sana, MAFARISAYO waliokuwa na wake, walijaribu kila swali kumwekea mitego, anazichomoa zote, mfano ile aliyowaambia "Ya Kaisari mpe Kaisari na ya Mungu mpe Mungu".

Aliishi miaka 33 bila mwanamke ila uwezo wake wa akili ulikuwa mkubwa sana. Angalia jinsi alivyokuwa anamjibu Pilato, kifalsafa fulani hivi mpaka Pilato alishindwa kumuelewa akaona hana kosa.
 
Sayansi ya wapi hiyo? Mtu Mweusi tabu sana! Akina na Issac Newton walikuwa hawafanyi ngono kwa wingi kama sisi wabongo na ndo waligundua principle za vitu kibao! Wabongo wapenda ngono wanauza bandari kwa mkataba kama wa Mangungo! Hapo nani mdumavu wa akili?
Mkuu Unapomzungumzia Newton,unawazungumzia mojawapo ya machizi wazuri waliowahi kutokea. Ili uwe chizi unamaanisha akili zilizozidi. Newton alikuwa na akili zilizozidi pia. Tu kuna level ya hiyo kuzidi kwa akili. Na huku kwetu wapo machiz wa hivyo. Akianza kufanya yake taratibu kwa kufuata ule mtiririko wa akina Newton tayari mnamfunga kamba mirembe. Akina Newton wa kizungu kuwakuta wanaongea pekee yao ni kawaida mbona.
 
🔞Zipo hasara za kutokufanya sex kwa mda mrefu, Hizi hazijathibitishwa na Daktari, It is by experience from wanaojua hilo game, ambazo ni

1. Hasira za Ovyo.
2. Mwili kutokuwa sawa ( Unconfortable).
3.Kucheka cheka.
4. Mawenge mawenge.
5. Hata kudumaa kwa uwezo wa kufikiria.

Hizi ni baadhi tu, Japo sijamaanisha vijana muanze "kutembeza spacles"🚫

Have protective sex , Na tumia kistaarabu , Hairuhusiwi kwa wenye umri chini ya Miaka 18.
Yesu hakuwahi kusex, mtume Paul pia hakuwahi kusex, Yohana mbatizaji, bila kumsahau nabii Eliya, na wengineo wengi tu na hawakuwa na hizo hali ulizo orothesha.

Unapata wapi ujasiri wa kuleta huo uongo hapa?
 
Zipo hasara za kutokufanya sex kwa mda mrefu, Hizi hazijathibitishwa na Daktari, It is by experience from wanaojua hilo game, ambazo ni

1. Hasira za Ovyo.
2. Mwili kutokuwa sawa ( Unconfortable).
3.Kucheka cheka.
4. Mawenge mawenge.
5. Hata kudumaa kwa uwezo wa kufikiria.
Hizi ni baadhi tu, Japo sijamaanisha vijana muanze "kutembeza spacles"
Have protective sex , Na tumia kistaarabu , Hairuhusiwi kwa wenye umri chini ya Miaka 18.
Hakuna cha muda mrefu bila sex au bas ngj nikubali ila kama unataka kuamini kuwa sio yakweli pata hela uone kama vihasira hvyo vitakujia, hela ni tiba ya kila kitu ukiwa kapuku bas utaona wanaotumia hela zao wanakutia tu hasira na ukishakuwa na hasira mwili hauwez kuwa sawa TUTAFUTE HELA SIUNGI MKONO HOJA 😀😀😀
 
Yesu hakuwahi kusex, mtume Paul pia hakuwahi kusex, Yohana mbatizaji, bila kumsahau nabii Eliya, na wengineo wengi tu na hawakuwa na hizo hali ulizo orothesha.

Unapata wapi ujasiri wa kuleta huo uongo hapa?
Me nikazani utajitaja hata wewe basi ,nashangaa unawataja Mitume na Manabii wa Mungu ,Mana hao wenzako wanaroho mtakatifu, Sometimes Mungu alikuwa anashuka duniani kupitia wao

Haya Mtaje mmoja wa mtaani kwenu ambae yuko sawa na hajawahi sex , Aliepo kipindi hichi cha ujana. Na asiwe anapiga hata nyeto 😂🖐️
 
Me nikazani utajitaja hata wewe basi ,nashangaa unawataja Mitume na Manabii wa Mungu ,Mana hao wenzako wanaroho mtakatifu, Sometimes Mungu alikuwa anashuka duniani kupitia wao

Haya Mtaje mmoja wa mtaani kwenu ambae yuko sawa na hajawahi sex , Aliepo kipindi hichi cha ujana. Na asiwe anapiga hata nyeto 😂🖐️
Prophet Malisa
 
Back
Top Bottom