Hasara za kuwa baba wa kambo

Hasara za kuwa baba wa kambo

Faida ya kuoa singo maza ni sure bet katika kupata watoto (uzao wako) imagine wewe ni MKRISTO na unaoa mwanamke TASA...na ndoa haivunjiki mpaka kifo kiwatenganishe...!! Utajiona boya kiasi gani?

Pia singo maza anakuja kwako akiwa kashajifunza makosa yake yaliyopita hivyo hawezi yarudia tena kwako.


Pia unapata mwanamke ambaye kashapevuka kiakili anajua nini maisha
 
Yaani mkuu wewe wa kuandika uzi badala ya kutumia Raisi ukaamua kutumia mkuu wa nchi. Halafu badala ya kuzungumzia uongozi wa mkuu wa nchi, ukaamua kutumia shulba wanazokutana nazo wananchi.

Kwa taarifa yako Wahusika wamegundua.

Hii si tabia njema.
 
Kama ana chini ya miaka 22...

Kama ana mtoto mmoja...

Kama hajawahi kuolewa au kuishi na mwanaume...

Kama huyo mtoto alikataliwa na baba yake, na atabeba ubin wako mwanaume..

Kama baba mtoto amekufa...

Mwisho kama ana u-african-wife-material...

Basi huyu single maza anahitaji kupewa nafasi ya 2..


Kwa dunia ya sasa mambo yalivyo, mabinti kubebeshwa mimba na kukimbiwa imekuwa new norm...


Kama umemuassess na ukaona ana tabia njema, basi oa...
................................................................................


Ila unakuta single maza amezalishwa na miaka 25 na kuendelea! Huyo alikuwa anajua anachokifanya. Mwanaume kimbia.
Mimba siyo mzigo/furushi mpaka binti abebeshwe. Alipokuwa anangonoka alijua kabisa moja ya matokeo ni kubeba ujauzito (siyo kubebeshwa)

Kama alichagua kungonoka kabla ya ndoa alitegemea nn?

Na kama alichagua mwanaume amabaye hayuko tayari kuwa mume na baba alitegemea nn?

Mbona mnawafanya wanawake wawe wahanga wakati wanayoyafanya wanayajua matokeo yake
 
Mnatumia nguvu nyingi kuongelea haya mambo

Hebu yafikirie haya

1.Mwanamke kufiwa na mumewe akiwa katika umri mdogo kwahiyo asiolewe tena?

2.Ndoa zenye migogoro,kwahiyo asiachike avumilie mateso asiolewe kwingine?

3.kuzalishwa katika umri mdogo kisha kutelekezwa kwahiyo huyu asiolewe tena kisa ana m(wa)toto?

Wapo wives material kibao ambao ni single mother ,wanaolewa na NDOA zinaendelea vizuri tu,tunao mitaani na tunaona.
Acha upumbavu kutetea ujinga kwanza mwanamke aliyefiwa anaitwa mjane,
Acha kabisa kuwatetea hawa single mother wanaoendekeza umalaya mjini,
Ukidili na single mother hata akikuzali mtoto jua tu uzee wako utakuwa wa mashaka sana!
 
Haya mambo si ya kuyachukulia serious sana utapata tatizo la saikolojia.

Uhalisia ni kuwa, Aziz K pamoja na wanaume wengi humu kumuona boya sijui simp, ila wake au wapenzi wao wakitakwa na Aziz wanatanua miguu na kuirudishia ikichomoka.
 
Nyuzi kama hizi zinakupa taswira kwamba wanaume siku hz ni tia maji tia maji tu. Kama huwezi kuishi na single maza hata ukimpata asiye na mtoto bado hitoweza kuishi nae.
Siku hz kipimo na uanaume ni kuoa single mothers?
Ilianza kuoa bila bikira siyo shida
Ikaja kuoa aliyeachika siyo shida
Ikaja kuoa mwenye mtoto mmoja siyo shida
Juzi hapa watu walikuwa wanamsifia misa kuolewa akiwa na watoto wawili (inawahalalishia mabinti wazae tu)
 
Mwanamke

1. Bila kujali kama single mother ni ndugu yangu au laah, hapaswi kuolewa kama mke wa kwanza. Toka enzi na enzi single mother walikuwa wanaolewa kama mke wa pili na zaidi ila siyo kama mke wa kwanza. Kaa na wazee watakuambia sababu za wao kufanya hivyo

2. Mwanaume ama mwanamke kuoa/kuolewa kwenye ndoa yenye migogoro hilo ni kosa lake ama ndugu zake kwenye maamuzi na machaguo yao. Walikuwa na nafasi ya kuoa/ kuolewa na watu wema ila wakachagua kuoa migogoro, hivyo waacha wavune walichokupanda. Ukijidai kiwasaidia ujue umekuwa sehemu ya mgogoro. Na ukiamua kuwa sehemu ya mgogoro uache kulialia

3. Kila siku tunashuhudia matatizo wanayokumbana nayo wasichana waliozalishwa kwenye umri mdogo, lakini bado wasichana hawalichukui hilo kama funzo na onyo nao wanaingia kule kule. Hivyo hilo ni chaguo lao, kabla hawajachagua hilo waliyajua madhara yake, hivyo waacha wavune walichokipand

Acha upumbavu kutetea ujinga kwanza mwanamke aliyefiwa anaitwa mjane,
Acha kabisa kuwatetea hawa single mother wanaoendekeza umalaya mjini,
Ukidili na single mother hata akikuzali mtoto jua tu uzee wako utakuwa wa mashaka sana!
Kwahiyo Mimi mpumbavu,sema kweli mwanakwetu
 
SABABU ZA VIJANA KUOA SINGLE MOTHERS
Najua wenye vichwa ngumu watabisha na kujifariji ila zifuatazo ndio sababu za vijana kuoa single mothers
1. Kijana kutaka mwanamke cheap
Kuzaa kabla ya ndoa huwa kunaishusha thamani ya mwanamke. Hivyo mwanamke aliyezaa mahari yake huwa ni ndogo kuliko ambaye hajazaa. Sasa vijana kwa kupenda kitonga huwa wanakimbilia huko ili wapate punguzo la mahari (kwa sababu wao ni waokoa jahazi)

2. Kuanza maisha ya pamoja kabla ya ndoa
Wanawake wengi waliozaa kabla ya ndoa kwa kutambua kuwa thamani zao zimeshuka huwa wako tayari kuanza maisha ya kinyumba kabla ya ndoa. Hivyo vijana wapenda vitonga huwa wanakubali kuanza kuishi na hawa wanawake ili waanze kufaidi matunda ya ndoa kwa gharama ndogo kabla ya ndoa yenyewe.

3. Kusaidiwa mahari ya kuolea
Mara nyingi vijana wanaooa single mothers mahari ya kuolea huwa ni tatizo kwao. Hivyo huwa wanakubali kuanza maisha na single mothers ili wasaidiane kutafuta mahari. Japo wengi huwa wanalikataa hili ila ukweli ni kwamba direct/indirect huwa wamesaidiwa na single mothers kutafuta mahari.

4. Kusaidiwa harusi
Kwasababu harusi zimekuwa ni gharama kubwa hasa kwa wakristo. Vijana wengi wapenda vitonga huwa wanakimbilia kuoa single mothers, kwasababu mara nyingi single mothers tayari wanakuwa wameingia kwenye utafutaji, wako kwenye vikundi vya kinamama na vikundi vingine vya kijamii hivyo huwa wanawasadia kuchangisha michango ya harusi na kujigharamia maandalizi ya harusi kama shera, saluni n.k. Tukumbuke harusi ni jukumu la bwana harusi na familia yake. Bibi harusi na familia yake wanapaswa kushughulikia kitchen party na send off, siyo harusi.

5. Kijana kutaka kusaidiwa maisha kwa kigezo cha mipango na uchakarikaji wa mwanamke.
Kama nilivyotangulia kusema hapo kwenye #4 mara nyingi kutoka na burden ya maisha single mothers wanalazimika kuwa wachakarikaji na mipango mingi, wakati wale ambao hawajazaa wengi huwa huwa bize na urembo na fasheni. Hivyo vijana wapenda vitonga huwa wanawaona single mothers ni fursa kwao ili wasaidiane maisha (mipango na uchakarikaji)

6. Kijana kutaka upendo na utiifu cheap
Kwasababu wanawake ni hypergamy in nature, huwa wanawapenda na kuwatii wanaume ambao wako juu yao kiumri, kiuchumi, kifikra kimaamuzi, wenye uzoefu wa n.k.
Mwanamke anapozaa kabla ya ndoa na thamani yake kushuka huwa analazimika kupunguza vigezo na demands zake kwa mwanamume. Pia ili wakubalike huwa wanaamua kuonyesha upendo na utii bandia wa kiwango Standard gauge. Hapo ndipo single mothers wanapogeuka kuwa kimbilio la vijana ili vijana wajipatie upendo na utii kwa gharama nafuu.

N.B
i. Hz sababu zote nilizozitaji single mothers huwa wanazijua, wazikubali na kuzitii japo kwa shingo upande ili wafanikishe mambo yao.

Hii inasababisha single mothers wengi waishi maisha ya vifungo na wanaume ambao hawawavutii, kuwataka wala kuwapenda. Hivyo inapotokea tu single mother akajipata kimaisha na akapata mwanaume anayemvutia na kumpenda (mara nyingi huwa ni wale waliowazalisha hapo kabla) hakuna rangi utaacha kuona. Utabaki kutulialia bila sababu.
Ukijakunililia nakuchana makavu kabla ya kukupa ushauri ama msaada.

ii. Bila kujali single mother ni mama yangu mzazi, dada yangu wa tumbo moja ama binti yangu sababu nilizozitaja zinabaki kusimama mahali pake.

HAKUNA SINGLE MOTHER ANAYEFURAHIA KIJANA WAKE AU KAKA YAKE KUOA SINGLE MOTHER
 
Siku hz kipimo na uanaume ni kuoa single mothers?
Ilianza kuoa bila bikira siyo shida
Ikaja kuoa aliyeachika siyo shida
Ikaja kuoa mwenye mtoto mmoja siyo shida
Juzi hapa watu walikuwa wanamsifia misa kuolewa akiwa na watoto wawili (inawahalalishia mabinti wazae tu)
Huko nje wanaolewa mpaka wacheza picha chafu zile za ngono. Yaaani mpambanaji kapambana, katengeneza ukwasi kataka kuoa akamkumbuka mwanamke aliyekuwa anajichua kupitia video zake anamtafuta anaweka ndani.
 
Ukishona una dalili za kumuona single mother ni wife matirio jua unakiwango kikubwa sana Cha upumbavu, alaf yeye anakuona bonge la fala mjanja Ni aliyemzalisha tu!
Haya mkuu Mungu akubariki uzidi kuwa mjanja
 
Faida ya kuoa singo maza ni sure bet katika kupata watoto (uzao wako) imagine wewe ni MKRISTO na unaoa mwanamke TASA...na ndoa haivunjiki mpaka kifo kiwatenganishe...!! Utajiona boya kiasi gani?

Pia singo maza anakuja kwako akiwa kashajifunza makosa yake yaliyopita hivyo hawezi yarudia tena kwako.


Pia unapata mwanamke ambaye kashapevuka kiakili anajua nini maisha
Misa alipotoka kwa majizo na kwenda kwa mondi alikuwa amejifunza makosa yake?
 
Haya mambo si ya kuyachukulia serious sana utapata tatizo la saikolojia.

Uhalisia ni kuwa, Aziz K pamoja na wanaume wengi humu kumuona boya sijui simp, ila wake au wapenzi wao wakitakwa na Aziz wanatanua miguu na kuirudishia ikichomoka.
Kwa hiyo mkeo akimtaka Aziz Ki, kunamfanya Aziz awe mjanja, kunamfanya asiwe Simp
Yaani mabinti vigori na walimbwende waliojaa kuanzia nchini kwao mpaka Tz hajawaona kamuona mtu aliyezalishwa x2?

Amekweli chombo inaenda mrama
 
Faida ya kuoa singo maza ni sure bet katika kupata watoto (uzao wako) imagine wewe ni MKRISTO na unaoa mwanamke TASA...na ndoa haivunjiki mpaka kifo kiwatenganishe...!! Utajiona boya kiasi gani?
Kama mnataka kujihakikishia usalama wa vizazi vyenu kuna vipimo hospitali. Kutumia kipimo cha usingle mother kama uhakika wa kizazi kuna hasara pia kwa sababu inawezekana baada ya kuzaa aliaribu kizazi kwa kutumia njia hatarishi za uzazi wa mpango mfano kumeza p-2 bila kufuata muongozo wa daktari
Pia singo maza anakuja kwako akiwa kashajifunza makosa yake yaliyopita hivyo hawezi yarudia tena kwako.


Pia unapata mwanamke ambaye kashapevuka kiakili anajua nini maisha
Usingle mother sio kiashiria cha kupevuka kiakili bali ni kiashiria cha umalaya, uwezo mdogo wa kuepuka vishawishi na ufanyaji wa maamuzi mabovu. Mwanamke hahitaji kuwa single mother kwanza ndio apevuke kiakili
 
Back
Top Bottom