Hasara zipi unazipitia kwa kuwa na tabia za introvert?

Hasara zipi unazipitia kwa kuwa na tabia za introvert?

Kuchoka kuwa introvert ni Sawa na kuuchoka uasilia wako,unaweza jaribu kujibadili ila mwisho wa siku unajikuta peke yako pasipo kupenda
Me mpaka Leo zaidi ya mika 24 cjawai kuwa na mpenzi/demu nikijaribu kutafuta mpenzi kunamaswali huwa najiuliza na kujijibu mwisho Siku zinaenda hvhv
 
Jaman Nahisi mm nimezidi u introvert khaa[emoji17][emoji17], spend interaction ovyo ovyo, yaan shobo kwangu ni Mwiko, hua sijiskii kabisa kushobokea mtu ata mtu ambae Wengi hua Wana mwona ni special tena mm ndio hua stak kbisa shobo nae, sio kwamba Nina dharau hapana, laight Kama ungepewa uwezo usome mind yangu ungeniona ni mtu special Sana maana mostly hua nawish watu Mambo mazuri na ni mtu mwenye huruma Sana , japo ukinisoma kwa nje nasomeka kma jitu flani katili hivi, lisilopenda watu, lenye wivu, nk, SIO SIRI WENYE INTROVERT TRAITS TUNA CHANGAMOTO SAAANA!
 
Mimi ujanja wangu mwisho nyuma ya keyboard, sipendi kuzoeana na mtu akileta mazoea nampotezea haraka mno, ni salamu halafu kila mtu aendelee na maisha yake.

At least marafiki waliombali ndio nadumu nao kwa kuwa tunachat na kuongea kwa simu.
 
Kuchoka kuwa introvert ni Sawa na kuuchoka uasilia wako,unaweza jaribu kujibadili ila mwisho wa siku unajikuta peke yako pasipo kupenda
Me mpaka Leo zaidi ya mika 24 cjawai kuwa na mpenzi/demu nikijaribu kutafuta mpenzi kunamaswali huwa najiuliza na kujijibu mwisho Siku zinaenda hvhv

Introvert=Mtu wa masterbation
 
Ulikaa ndani sababu hukua na company au ulikaa ndani kwa sababu hukua na pesa...





Cc: mahondaw
 
Tabia ya kupenda kukaa peke yangu bila kuwa na mazoea sana na washakaji ama majirani, kuna siku niliumwa wakuu nikakaa ndani siku nzima nakunywa maji tu hakuna anayejua kama naumwa.

Homa ilinikamata vibaya nje sionekani washakaji na majirani wakajua ndio kawaida yangu kuwa ndani kumbe mwenzao maji ya shingo, niko mbali na familia, wife hayupo.

Nikapiga simu kwa wife, wife akasema huyu jamaa atakufa kwa sababu ananijua sina kampani, wife akasafiri kesho yake akaja ndio ikawa afadhali yangu maana ugonjwa ukiwa peke yako unazidi.

Nikasema nikipona mimi jamani ntatafuta washkaji wa kutembeleana ili nikipata matatizo nisaidiwe, baada ya wiki kupona ndio kwanza nikazidi kujichimbia ndani na vitabu vyangu uchwara[emoji3][emoji3][emoji3]

Nashauri wakuu tujitahidini kuwa na watu wa karibu washkaji ama majirani, mimi imenishinda kidogo.
Yalinikutaga haya ilibidi msaidizi atoke mbali sana kuja kuniokoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani mimi na vile sina usafiri basi kupita njia za mtaani kwangu inanipa shida sana
Nakuwa free zaidi maeneo ambayo sijulikani
Nikijaribu kuwa extrovert nakereka nalazimika kurudia hali yangu, sizungumzi na mtu nisiyemfahamu, ukinikuta na watu niliozeana nao utakataa ukiambiwa huwa sizungumzi

Tabia zingine za kiduanzi sana
 
Huwezi kuondoka, tafuta tu namna ya kuishi na u introvert wako
Haha eti vitabu uchwara

Mimi nauliza kama mtu anaweza kuondoka kwenye hili kundi la introvert maana mimi imenishinda kwa kweli
 
Ukitaka ufurahie kua introvert kua na skills ambazo unazijua ukweli wa kuzijua maisha yatakua mazuri maana utapata connections kutokana na ujuzi wako ila ukiwa average utaishi maisha ya upweke sana na michongo mingi itakupita.
 
Nilikuwa najichanganya sana na watu ila nilivyoanzaga masterbation nikawa sipendi sana kuwa na watu..Hiyo ni miaka kadhaa imepita...Ngoja nitafute labda kuna mtu ashawahi kufanya research kuhusu hili

Jf pia nahisi inanifanya niwe na vitabia vya Introvert coz huwa napenda kuperuzi JF bila kuona sura ya mtu pia sehemu tulivu..na niko addicted na JF ile mbaya.

Hasara ni kushindwa kukeep up urafiki..yaani unaweza kukutana na mtu mkaclick sema baada ya wiki tu unaona anakusonga songa sana na hapo urafiki lazima ufifie
 
Back
Top Bottom