Hasheem Thabeet kurudi NBA?

Hasheem Thabeet kurudi NBA?

Frank Matrisciano ni NBA Trainer kwahiyo ka-train wengi tu lakini ame-specialize kwenye physique ambalo ndo tatizo kuwa la Hasheem. We Google tu Hell's Trainer na utapata habari zake! WHY Hell? Wengi wanazikimbia training zake soon baada ya kuanza!!!
Mkuu Chige wewe ni moja ya watu ninaowaheshimu sana humu JF. Na sidhani kama wenye heshima hiyo mnazidi watano..

Swali bado hujalijibu, je kati ya hawa ambao walifanikiwa kunaliza training kwa huyo HELL ni wangapi walifanikiwa kuingia NBA? Maana nadhani hapa tunajihaminisha kwamba as long as amefanikiwa kumaliza training kwa huyo jamaa basi ni lazima apate timu.

Lakini mbaya kabisa, hizi Preseason hakuna hata timu moja iliyomuita.. At least angeitwa kwenye timu hata moja kwenye preseason tungejipa matumaini ya yeye kurudi.

Ukweli mchungu ni kwamba Hasheem bado kwa season hii.. Labda aendelee kujifua asubiri timu zikitaka kujiimarisha dirisha ndogo kwa ajili ya kusaka play offs na kujiandaa kwa play offs.. Mwaka jana Cavs walifanya hivyo kumchukua jamaa mwenye 34 kutoka D-League
 
Ndo maana nikakurahisishia Keyword ya ku-search habari zake. Anyway, nimeona nisitoe kichwani manake huenda ungedai source vile vile na badala yake, pitia hizi articles:

The Trainers Behind the NBA’s Most-Improved Players

View attachment 423926

Hiyo ni habari ya 2014.

Again piti hii hapa kutoka Fox Sports:

Timberwolves trio went through weeks of hell with Navy SEAL trainer!
View attachment 423929

Una maoni gani hivi sasa?
Basi hapa sasa I salute.. Ila tuombe aendelee kukaza asubiri dirisha ndogo.. Timu tayari zimeshatangaza roster zao kwa sasa..
 
Proved mkuu mimi wikipedia ilinidanganya

poa mkuu naona wikipedia ilinidaganya

Pamoja mkuu, unajua ukicheki juu juu utaona wacheza basket ni matalu sana, mimi mwenyewe nilishangaa kusikia eti Hasheem ni The Tallest active player by that time ndo nikaanza kucheki stats za urefu, imagine hata Shaque hafiki kwa Hasheem lakini ni bonge la jitu.
 
Basi hapa sasa I salute.. Ila tuombe aendelee kukaza asubiri dirisha ndogo.. Timu tayari zimeshatangaza roster zao kwa sasa..
Yah, matumaini ni kwenye dirisha dogo; kwa sasa ndo basi tena manake hivi sasa tunahesabu masaa!!! Ile workout iliyofanywa na LA Lakers, Wizards na Knicks inaweza kuwavutia wengi zaidi na hivyo kupata fursa ya kuonesha kwamba Hasheem wa sasa sio yule wa zamani!
 
You better lose yourself in the NBA, The moment
You own it, you better never let it go.You only get one shot, do not miss your chance to blow.This opportunity comes once in a lifetime.....[HASHTAG]#Looser[/HASHTAG]...Bahati haiji mara mbili...Ashapotea kama walivyopotea Eastcoast,Wanaume et al.
 
Yah, matumaini ni kwenye dirisha dogo; kwa sasa ndo basi tena manake hivi sasa tunahesabu masaa!!! Ile workout iliyofanywa na LA Lakers, Wizards na Knicks inaweza kuwavutia wengi zaidi na hivyo kupata fursa ya kuonesha kwamba Hasheem wa sasa sio yule wa zamani!
Kwa hiyo banker wangu chige huyu dogo anarudi NBA?Maana kwa kweli mimi mtiririko wa usajili na namna ligi hiyo inavyoendeshwa mimi ni "ignorant" sana
 
Ndo maana nikakurahisishia Keyword ya ku-search habari zake. Anyway, nimeona nisitoe kichwani manake huenda ungedai source vile vile na badala yake, pitia hizi articles:

The Trainers Behind the NBA’s Most-Improved Players

View attachment 423926

Hiyo ni habari ya 2014.

Again piti hii hapa kutoka Fox Sports:

Timberwolves trio went through weeks of hell with Navy SEAL trainer!
View attachment 423929

Una maoni gani hivi sasa?

Ila mkuu kuna tofauti ya hao na Hasheem, hao wengine walienda kwa ajili ya kushape-up lakini tayari walikuwa ni proven players.

Hasheem anashape-up na anafanya extra ball game training, hapa nadhani pana tofauti, mimi personally namwombea ila nidhamu inahitajika sana, nimeona jamaa wanajaribu kufananisha situation ya Hasan Whiteside wa Heats na hii ya Hasheem, ila tofauti nayo iona ni kwamba baada ya Hassan kuchemsha NBA alienda ligi za nje, ila Hasheem kwenye maelezo yake anasema hayuko tayari kwenda kucheza nje ya NBA.

Hii ego inaweza ku-cost career yake, kwa sababu nadhani hii misimu mitatu aliyoipoteza alitakiwa awe nje anakipiga huko.
 
Proved mkuu mimi wikipedia ilinidanganya
Haijakudanganya... uliangalia past NBA Players! Wapo ambao Hasheem akisimama ni cha mtoto; mtu kama Gheorghe Mureșan; Hasheem anasubiri! Kuna Mchina fulani hivi, nimesahau jina lake... hadi leo sijapata jibu yule ni Mchina wa aina gani... manake alienda hewani na ameshiba vile vile! Huyu hajaacha basket zamani lakini kwa sasa sio active.
 
Umenichoma sana Witness! Unajua sehemu ambazo hata Waamerika wenyewe wanashoboka nazo ni pamoja na NBA & Hollywood! Ni sehemu ngumu kuingia; bora uambiwe ujifunze kuvuka kwa kuogelea toka Kunduchi hadi Posta utafanikiwa kuliko kuchukua option ya kuingia NBA au Hollywood! So, mtu ukipata fursa sehemu hizi mbili, ni life opportunity ambayo hutakiwi kuichezea hata punje.

Lakini unajua nini? Ilikuwa lazima aje awachape bakora bhana... si mlikuwa mnamuita ngongoti nyinyi!!! Mi mwenyewe nilimuona Hasheem kwa mara ya kwanza usiku kwenye duka la nguo, alikuwa kwenye entrance na kulikuwa na mwanga hafifu! Sa kv nilikuwa na haraka zangu, siku-pay attention; nikadhani ni ile midoli! Sasa ghafla, aka-move... e bhana eh! Moyo ukafanya paaa! Mdoli unatembea....
Haaa haaa eti ngongoti!?!!


We Chige utakuwa ni Hasheem sio kwa kuumia huku! (Speaking in a jest)
 
Haijakudanganya... uliangalia past NBA Players! Wapo ambao Hasheem akisimama ni cha mtoto; mtu kama Gheorghe Mureșan; Hasheem anasubiri! Kuna Mchina fulani hivi, nimesahau jina lake... hadi leo sijapata jibu yule ni Mchina wa aina gani... manake alienda hewani na ameshiba vile vile! Huyu hajaacha basket zamani lakini kwa sasa sio active.

Ni Yao Ming, Hall of Famer class of 2016.

Mwaka huu wameingia yeye, Shaq na Allen Iverson.

Jamaa alikuwa mrefu si mchezo.
 
Ila mkuu kuna tofauti ya hao na Hasheem, hao wengine walienda kwa ajili ya kushape-up lakini tayari walikuwa ni proven players.

Hasheem anashape-up na anafanya extra ball game training, hapa nadhani pana tofauti, mimi personally namwombea ila nidhamu inahitajika sana, nimeona jamaa wanajaribu kufananisha situation ya Hasan Whiteside wa Heats na hii ya Hasheem, ila tofauti nayo iona ni kwamba baada ya Hassan kuchemsha NBA alienda ligi za nje, ila Hasheem kwenye maelezo yake anasema hayuko tayari kwenda kucheza nje ya NBA.

Hii ego inaweza ku-cost career yake, kwa sababu nadhani hii misimu mitatu aliyoipoteza alitakiwa awe nje anakipiga huko.
Pamoja na training ya Frank Matrisciano for body fitness lakini pia alikuwa anapata game training toka kwa Milt Newton ambae ni ex-NBA Professional!
 
Pamoja na training ya Frank Matrisciano for body fitness lakini pia alikuwa anapata game training toka kwa Milt Newton ambae ni ex-NBA Professional!

Nimeona ile article, na jamaa wanashangaa eti kwa kipindi chote cha yeye kuwa NBA hajafundishwa vitu alivyotakiwa kuwa amefundishwa!

So ni kama wanaanza naye mwanzo, ngoja tuone kama itawork out.
 
Mkuu urefu wa Hasheem huwezi kusema eti ni wa kawaida, huko huko NBA Hasheem kuna msimu aliwahi kuwa ndo the tallest, check mpaka sasa hakuna active player anayemzidi Hasheem isipokuwa kuna watatu wana 7.3 kama yeye.

Huyo Michael Jordan ndo haoni ndani kabisa kwa dogo Hasheem.
Ndo maana mkuu big gift nilimuuliza ushawahi muona ngongoti live?

Hasheem ni mrefu acheni maskhara nyie, labda hao kina Jordan ambao sijawaona live

Ni mrefu kila mtu bills alikalishwa! Mi moyo ulikuwa unanidunda alipofika mezani kwetu!
 
Ni Yao Ming, Hall of Famer class of 2016.

Mwaka huu wameingia yeye, Shaq na Allen Iverson.

Jamaa alikuwa mrefu si mchezo.
Sure! Ni ya Yao Ming... jamaa kaenda hewani bhana, duh! Tena unlike Gheorghe Mureșan, Yao kashiba vile vile...! Na ukimuona kwa sasa ndo unapata picha halisi ya giants ni watu wa aina gani!
 
Back
Top Bottom