Hahahaa... ni ngumu kwao kuvumilia kwamba eti madam wao anakwiba hadi maji na umeme!!!Team ushuzi?
Wakija nasepa[emoji125] [emoji125] [emoji125]
huyu muresani nimemwona ni hatarii duuHaijakudanganya... uliangalia past NBA Players! Wapo ambao Hasheem akisimama ni cha mtoto; mtu kama Gheorghe Mureșan; Hasheem anasubiri! Kuna Mchina fulani hivi, nimesahau jina lake... hadi leo sijapata jibu yule ni Mchina wa aina gani... manake alienda hewani na ameshiba vile vile! Huyu hajaacha basket zamani lakini kwa sasa sio active.
Asante kwa kuwa mwelewa mwaya[emoji122] [emoji122]poa mkuu naona wikipedia ilinidaganya
Inasikitisha sana kwa kweli! Na suala la physique, ni kweli Hasheem hakuwa fit kivile... ile body ilimzidi na matokeo yake hakukuwa na coordination kati ya mwili na uchezaji!Nimeona ile article, na jamaa wanashangaa eti kwa kipindi chote cha yeye kuwa NBA hajafundishwa vitu alivyotakiwa kuwa amefundishwa!
So ni kama wanaanza naye mwanzo, ngoja tuone kama itawork out.
na 10% ni mangedereShida ya bongo 90% ni mang'ombe
Ukikutana nae kwa mara ya kwanza, halafu ndo usiku uchororoni; lazima utoke ndoki na kwenda kusimulia kwamba umekutana na jini!!!Ndo maana mkuu big gift nilimuuliza ushawahi muona ngongoti live?
Hasheem ni mrefu acheni maskhara nyie, labda hao kina Jordan ambao sijawaona live
Ni mrefu kila mtu bills alikalishwa! Mi moyo ulikuwa unanidunda alipofika mezani kwetu!
AHSANTE kwa jibu murua...na 10% ni mangedere
Jamaa utadhani antenna...huyu muresani nimemwona ni hatarii duu
Inasikitisha sana kwa kweli! Na suala la physique, ni kweli Hasheem hakuwa fit kivile... ile body ilimzidi na matokeo yake hakukuwa na coordination kati ya mwili na uchezaji!
Hii post nilichelewa kuiona! Bila shaka uliiandika kabla sijakupa lile jibu kwahiyo nadhani jibu lishapatikana; au sio?Mkuu Chige wewe ni moja ya watu ninaowaheshimu sana humu JF. Na sidhani kama wenye heshima hiyo mnazidi watano..
Swali bado hujalijibu, je kati ya hawa ambao walifanikiwa kunaliza training kwa huyo HELL ni wangapi walifanikiwa kuingia NBA? Maana nadhani hapa tunajihaminisha kwamba as long as amefanikiwa kumaliza training kwa huyo jamaa basi ni lazima apate timu.
Lakini mbaya kabisa, hizi Preseason hakuna hata timu moja iliyomuita.. At least angeitwa kwenye timu hata moja kwenye preseason tungejipa matumaini ya yeye kurudi.
Ukweli mchungu ni kwamba Hasheem bado kwa season hii.. Labda aendelee kujifua asubiri timu zikitaka kujiimarisha dirisha ndogo kwa ajili ya kusaka play offs na kujiandaa kwa play offs.. Mwaka jana Cavs walifanya hivyo kumchukua jamaa mwenye 34 kutoka D-League
witnesj yaelekea wewe wapenda michezo sana?Teh teh hujaongezea na miaka ya uongo maana waafrica kwa kudanganya umri hawajambo
Aah Shaquel O'Neal ni noma ni jitu hasa mi namfatiliaga kwenye stand up comedy za Chris Tucker....asee kama Hasheem anamzidi na huyu ni nyokolostPamoja mkuu, unajua ukicheki juu juu utaona wacheza basket ni matalu sana, mimi mwenyewe nilishangaa kusikia eti Hasheem ni The Tallest active player by that time ndo nikaanza kucheki stats za urefu, imagine hata Shaque hafiki kwa Hasheem lakini ni bonge la jitu.
mh sijawahi kukutana na hao watu si ajabu nitimue mbio kusikofahamikaNdo maana mkuu big gift nilimuuliza ushawahi muona ngongoti live?
Hasheem ni mrefu acheni maskhara nyie, labda hao kina Jordan ambao sijawaona live
Ni mrefu kila mtu bills alikalishwa! Mi moyo ulikuwa unanidunda alipofika mezani kwetu!
Dah! Sikupata fursa ya kuisikia hiyo interview... ni very stupid response! Ndo matatizo ya unaanza kuangalia hadi mwisho wa mwaka unakuwa na mpunga kiasi gani; halafu unaanza kuhesabu washikaji wa Sinza na Kinondoni kuangalia ni nani anaweza kuwa na kiasi kama hicho! Yaani ki ukweli ndo vile tunalazimika kumuombea Mungu lakini Hasheem alijisahau sana! Huku kushituka alikoshituka sasa angefanya mara baada ya kutoka Memphis Grizzlies; hivi sasa jamaa ingekuwa kesharudi NBA! Kwanza body yake ni mtaji mzuri sana lakini alipoharibu ni pale alipodhani body peke yake ingetosha kumweka NBA!Nakumbuka kuna interview alifanya Jahazi na kina Kibonde baada ta kuacha Portland Trail Blazers na kuchukuliwa na kina OKC, akaulizwa kwa nini timu zinamwacha, haoni kama kuna umuhimu wa kufanya jitihada zaidi ili aweze kudumu na timu kwa muda mrefu, yeye aliwajibu akisema hajali sana as long as mshiko unabaki ni ule ule (kwenye ule mkataba alikua na USD 1.2 m kwa mwaka na alikuwa amebakiza misimu 3 au 2 sikumbuki vizuri).
Sasa kwa mentality ile ilikuwa ni lazima haya yamkute, alichokuwa anajali ni pesa na kutumia, hope unajua skendo zake za hapa TZ, na kule majuu nako inasemekana ana watoto wanne au zaidi kwa mama tofauti tofauti.
Aah Shaquel O'Neal ni noma ni jitu hasa mi namfatiliaga kwenye stand up comedy za Chris Tucker....asee kama Hasheem anamzidi na huyu ni nyokolost
Mi nilivyomuona siku hiyo live nikasema kweli TV inadanganya asee
mkuu jamaa kweli ni keylaza inamaana muda wote aliokaa huko hajajifunza tuu?kwa tunaofatilia basketball kwa ujumla kuanzia college ball ya usa.. ueroleague na nba tunajua ukweli...
kupata chance ya kucheza nba kwa mara ya pili ni ngumu sana na sana...
maana kila mwaka kuna wachezaji kibao wanaisaka hiyo chance...
nba rules kila timu haitakiwi kuwa na wachezaji wanaozidi 15,, na nba ina team 30... so total.nba players per year ni 450 tu...
sasa kuna wachezaji maelfu na maelfu kuanzia usa kwenyewe na duniani kote wanagombea chance kila mwaka...
ni rahisi sana kutokea euroleague na kuingia nba kuliko kutokea d league kuingia nba
Na ndio maana mwisho nikatoa ushauri si vibaya akitupa jicho kwenye league zingine... ninachopenda mimi ni determination yake ya kutaka kurudi NBA... hii determination ndiyo itakayomwezesha kuwa bado active na kumwea rahisi hata akitaka kwenda kwenye ligi zingine! But all in all, hakuna kinachoshindikana... ni ngumu kupata second chance lakini wapo wanaopata!kwa tunaofatilia basketball kwa ujumla kuanzia college ball ya usa.. ueroleague na nba tunajua ukweli...
kupata chance ya kucheza nba kwa mara ya pili ni ngumu sana na sana...
maana kila mwaka kuna wachezaji kibao wanaisaka hiyo chance...
nba rules kila timu haitakiwi kuwa na wachezaji wanaozidi 15,, na nba ina team 30... so total.nba players per year ni 450 tu...
sasa kuna wachezaji maelfu na maelfu kuanzia usa kwenyewe na duniani kote wanagombea chance kila mwaka...
ni rahisi sana kutokea euroleague na kuingia nba kuliko kutokea d league kuingia nba
Yao ming alistaafu 2011Haijakudanganya... uliangalia past NBA Players! Wapo ambao Hasheem akisimama ni cha mtoto; mtu kama Gheorghe Mureșan; Hasheem anasubiri! Kuna Mchina fulani hivi, nimesahau jina lake... hadi leo sijapata jibu yule ni Mchina wa aina gani... manake alienda hewani na ameshiba vile vile! Huyu hajaacha basket zamani lakini kwa sasa sio active.