Hasheem Thabeet kurudi NBA?

Hasheem Thabeet kurudi NBA?

Lakers limebaki jina mkuu, toka mzee mzima afariki, wale watoto wake hawajui nini wanachokifanya hata.
Yah, I know... inavurunda sana kwa miaka kadhaa sasa! Lakini ujinga wa haya mambo, status ya timu inachukua muda kupotea kwahiyo usishangae ukisikia kuna watu kibao bado wana ndoto za kuchezea Lakers!
 
Yah, I know... inavurunda sana kwa miaka kadhaa sasa! Lakini ujinga wa haya mambo, status ya timu inachukua muda kupotea kwahiyo usishangae ukisikia kuna watu kibao bado wana ndoto za kuchezea Lakers!

Sure mkuu, tumwombee tu mshkaji apate timu na aitumie nafasi vilivyo.
 
Haahaaa... nakusoma vizuri sana na ninajua ungetamani kuona anapata second! Akipata, nitatumia njia yoyote hadi niwasiliane nae ili nimwambie asikuweke kwenye discplining roster ya waibebez wa mjini!!
Teh teh umwambie kabisa awe anaongea vizuri kiswahili...ama la kama kakisahau kiswahili aongee kiingereza tujue moja

Eti" maumbour "ndo kasalimia mambo, jamani Hasheem ana mbwembwe hatwari..
 
Teh teh umwambie kabisa awe anaongea vizuri kiswahili...ama la kama kakisahau kiswahili aongee kiingereza tujue moja

Eti" maumbour "ndo kasalimia mambo, jamani Hasheem ana mbwembwe hatwari..
Dah! Sema penye lugha hapo, Hasheem anajitahidi kuboa bhana; achaaa!!! Ka' "Madam" Wema na viinglishi vyake vya bila kuangalia anaongea na wanani! Siku Wema anatwanga viinglishi hadi kwa akina Bibi Bomba nikajua kweli madam si madam wa mchezo mchezo!!!
 
Dah! Sema penye lugha hapo, Hasheem anajitahidi kuboa bhana; achaaa!!! Ka' "Madam" Wema na viinglishi vyake vya bila kuangalia anaongea na wanani! Siku Wema anatwanga viinglishi hadi kwa akina Bibi Bomba nikajua kweli madam si madam wa mchezo mchezo!!!
Huyo nae chenga...Wema ana broken ya mwendokasi

Bibi Bomba utani pembeni anatema yai kama kazaliwa Buckingham palace!
 
Huyo nae chenga...Wema ana broken ya mwendokasi

Bibi Bomba utani pembeni anatema yai kama kazaliwa Buckingham palace!
Unamsema Bibi Bomba yupi witness? Wema alikuwa anapiga viinglishi kwa akina Bibi Bomba wa Clouds, wale wa Babu wa Kitaa... Wema hana huruma kabisa mtoto yule!!!
 
Unamsema Bibi Bomba yupi witness? Wema alikuwa anapiga viinglishi kwa akina Bibi Bomba wa Clouds, wale wa Babu wa Kitaa... Wema hana huruma kabisa mtoto yule!!!
Ah ok..... Nilidhani shemela wetu kutoka Uganda kwa Domo!

Haa haaa wema alipeleka kizungu feki chake kwa bibi bomba wa clouds? Sasa yule anaelewa kweli?

Sema na yy hamna kitu pale anaongeaga viswanglish vyake ili watu wababaike, ila in reality hakuna kitu![emoji125] [emoji125]
 
Ah ok..... Nilidhani shemela wetu kutoka Uganda kwa Domo!

Haa haaa wema alipeleka kizungu feki chake kwa bibi bomba wa clouds? Sasa yule anaelewa kweli?

Sema na yy hamna kitu pale anaongeaga viswanglish vyake ili watu wababaike, ila in reality hakuna kitu![emoji125] [emoji125]
Ah! Kumbe uikuwa unamzungumzia Zari! Tuache Zari aitwe Zarina bhana manake wadada wa mjini anawapa presha ile mbaya! Mdada age imeenda lakini ndo kwanza anazidi kuwa mtamanisho! Na kama nawe ni mmoja wao, basi sina namna zaidi ya kukupa pole manake hamna namna nyingine ya kukufariji! Na hicho Kiinglish sasa...
 
Ah! Kumbe uikuwa unamzungumzia Zari! Tuache Zari aitwe Zarina bhana manake wadada wa mjini anawapa presha ile mbaya! Mdada age imeenda lakini ndo kwanza anazidi kuwa mtamanisho! Na kama nawe ni mmoja wao, basi sina namna zaidi ya kukupa pole manake hamna namna nyingine ya kukufariji! Na hicho Kiinglish sasa...
Ah wapi mi namkubali Zari coz anajitambua

Yaani kati ya watu Zari anawakalisha hadi nawaonea huruma wa kwanza Wema!

Siku anahojiwa eti yuko radhi kupatanishwa na zari, wala hamchukii, team ushuzi ndo wanawagombanisha,nilimuonea huruma! Hadi anaomba poo kwa zari? Kweli Zari kina kirefuu
 
This guy will NEVER recover from being a BUST. Yaani alijihaibisha kinoma mpaka kwa sasa hajielewi na anajuta kwa nini alimjuwa Jokate na kumpiga TID.
 
Ah wapi mi namkubali Zari coz anajitambua

Yaani kati ya watu Zari anawakalisha hadi nawaonea huruma wa kwanza Wema!

Siku anahojiwa eti yuko radhi kupatanishwa na zari, wala hamchukii, team ushuzi ndo wanawagombanisha,nilimuonea huruma! Hadi anaomba poo kwa zari? Kweli Zari kina kirefuu
We witness iko smart sana... unajua kuna baadhi ya watu ukiwachukia inakuwa unajitafutia magonjwa ya moyo tu!! Sema hiyo ya Wema kuomba poo; duh! Nilikuwa sijainyaka hiyo! Yaani kama namuona hivi Wema na kale kasauti kake!!!
 
We witness iko smart sana... unajua kuna baadhi ya watu ukiwachukia inakuwa unajitafutia magonjwa ya moyo tu!! Sema hiyo ya Wema kuomba poo; duh! Nilikuwa sijainyaka hiyo! Yaani kama namuona hivi Wema na kale kasauti kake!!!
Haa haa...Zari kiboko ya mademu wa kibongo wasiojielewa!

Mange chizi kamchokonoaga zari akambulia patupu yaani ni no time with shit! Mange akaamua mwenyewe kupiga kimya!

Hicho kisauti cha Wema kinatumika special places, esp. akiwa anahojiwa! Sio kwamba anaongeaga hivo mda wote ( kisauti cha mitego), ulishawahi mkuta yuko tungi? Ana libase Hasheem cha mtoto![emoji125] [emoji125]
 
kucheza nba kwa hasheem ni bahati kubwa sana na second chance akiipata ni zaidi ya bahati..

kuna mtu anaitwa carlos morais.. ni muangola.. ka unafatilia basketball lazima umjue.. ni mchezaji bora sana kwa kutokea africa.. mvp awards kibao na nba alicheza kidogo toronto raptors...

alieleza ukweli why ukifeli kurudi nba ni haiwezekani..

mgoogle carlos morais uone cv yake na aliyopitia katika safari yake ya basketball as a best player from angolla ever.. mvp wa kila shindano africa.. nae alipata high school scholarship usa kama hasheem

Na ndio maana mwisho nikatoa ushauri si vibaya akitupa jicho kwenye league zingine... ninachopenda mimi ni determination yake ya kutaka kurudi NBA... hii determination ndiyo itakayomwezesha kuwa bado active na kumwea rahisi hata akitaka kwenda kwenye ligi zingine! But all in all, hakuna kinachoshindikana... ni ngumu kupata second chance lakini wapo wanaopata!
 
You're right... endapo atapata second chance ingawaje regular season ndo ishafika, I believe atakuwa very committed hivi sasa. Ukifuatilia maelezo ya Frank Matrisciano na mwenzake Milt Newton, unajua kabisa kwamba Hasheem huyu sio yule. Huyu Frank wenyewe wanamuita Hell's Trainer... in 10, wanaomalizaga training zake huwa hawafiki 5 na wengine wote wanaingia mitini! Lakini Hasheem amedumu nae na anakuambia kwa sasa Hasheem isn't only BIG lakini anaweza ku-translate body lake into a game... sio yule Hasheem mzembe mzembe!
View attachment 423793
View attachment 423798


mkuu nashukuru kwa uchambuzi wako huu nlifikiria jamaa ameendaga wapi baada ya ku fail skupata jibu
 
mkuu nashukuru kwa uchambuzi wako huu nlifikiria jamaa ameendaga wapi baada ya ku fail skupata jibu
Poa Kiongozi; jamaa yupo... ndo hivyo ana-struggle kurudi!
 
Dhuuuu jmaaaaa alinishangaza sana baada yakuskia hayupo nba
 
ameshindwa kuwatengenezea wabongo wenzake connection akihofu watamzidi, wenzie wanatoka D-League wanaenda NBA yeye ametoka NBA anaenda D-League
kweli hakuna marefu yasiyo na ncha

NBA hakuna connection mkuu, ni mchakato kuingia pale. wenye ndoto ya NBA wajitume na wadate mchakato sahihi
 
Back
Top Bottom