- Thread starter
- #201
Yah, I know... inavurunda sana kwa miaka kadhaa sasa! Lakini ujinga wa haya mambo, status ya timu inachukua muda kupotea kwahiyo usishangae ukisikia kuna watu kibao bado wana ndoto za kuchezea Lakers!Lakers limebaki jina mkuu, toka mzee mzima afariki, wale watoto wake hawajui nini wanachokifanya hata.