Hasheem Thabeet's Journey In The NBA

taifa stars,
kikwete,
pinda,
akina canavaro
na sasa thabeet.

mimi nipo very successfull,u dont wanna know my friend.
Thabeet hajafeli,ana muda wa kufanya mazoezi na kuweza kupanda tena.kATIKA MAISHA KUNA KUTELEZA PIA,mind you that kuteleza si kuanguka.
 
Thabeet hajafeli,ana muda wa kufanya mazoezi na kuweza kupanda tena.kATIKA MAISHA KUNA KUTELEZA PIA,mind you that kuteleza si kuanguka.

mhhh that is what u think,
not the experts,
 
..hatua ya kupelekwa D-League inaweza kumsaidia huko mbeleni.

..Jordan Farmar wa Lakers naye alipelekwa D-League na baadaye kurudishwa kwenye timu ya kwanza.

..Marc Gasol ambaye ni starting center wa Memphis alikuwa drafted na Lakers lakini wakamuacha aendelee kucheza Europe na baadaye ndiyo wakam-trade kwenda Memphis.

..anachopaswa kufanya ni kujitahidi zaidi ku-improve game yake na conditioning. NBA siyo mchezo jamani, mtu unalipwa mamilioni ya USD, inabidi ugangamale kwelikweli.
 
Mie siwezi kumlaumu Hasheem sana.

Mara nyingine ukishakula sembe miaka 17 ya mwanzo ya maisha yako kukabiliana na hawa wenzetu wenye kula milo iliyojaa protein vitamin and minerals tangu kindergatten (hata watoto wa ghetto) inakuwa si mchezo.

Halafu kuna mambo kibao ya saikolojia and all, tena afadhali hata alivyopitia UConn Calhoun kampiga msasa kidogo.

Hii D-League ina stigma lakini si mwisho wa habari. Zaidi ya hapo dogo kashafungua njia na kuweka historia, ila ingekuwa vizuri kama angegangamala zaidi. Ila kama vitu haviwezekani haviwezekani, asije kutoka utumbo bure .
 
Huko ndio kumsifia mgema,mnategemea nini kama sio tembo kutiwa maji !!

Mkuu naungana nawe siku njema huanza asubuhi, pamoja na resources zote alizokuwa nazo NBA bado alilala usingizi unategemea kule GATE OF NO RETURN atafanya kitu.

Hili liwe fundisho kwetu wote, iwe kazi au opportunity yeyote ile mtu ukipata usibweteke, ukiridhika na kulala imetoka.
 


mazee.
umeongea kitu ambacho huwa
nilitaka kuanzisha thread hapa tukijadili..
hii imani yetu ya watanzania wengi kuwa
ugali ni chakula chenye afya.
na kuwa watoto wa mama hawali ugali
na ukila ugali unakuwa strong,umenipata????
mentallity ya watanzania wengi kuhusu
ugali na vyakula ni very interesting.
 

Nimekupata mazee, tena ugali wenyewe ugali mweupe tunakoboa mahindi ni starch tupu, ma energy yasiyo protein, vitamin wala mineral.

Halafu ugali mkubwa, mboga ndogo, hamna "kukomba mboga"

Unafikiri kwa nini tunasinyaa ukija viwanja mtu una miaka 30 watu wanakuuliza drivers licence (proof of age) ukienda kununua bia?
 

kabisa mazee.
halafu hili la ugali ni kama culture vile..
halihusiani kabisa na umasikini.
bukoba wanakula ndizi kuliko ugali
na huwezi sema ni matajiri.
 
By the way hili la ugali ni kama metaphor tu, sorta like tip of the iceberg.

Wenzetu wanaandaliwa tangu watoto wanajua wanataka kucheza NBA.

Hasheem mwenyewe kaanza kucheza basketball miaka ya karibuni tu, na wala hakuota kucheza NBA. Kwa hiyo hata mambo ya NBA attitude na culture, psychology ya ushindani, sense of perservering etc huwezi kutegemea ikawa kama ya wenzetu ambao wanajua NBA or bust. Inside out, wanakul na kunywa ESPN kwenye bootleg cable tangu wako 4 yo.

Ukiwachukua watoto wa Kimarekani, hata wale wa ghetto kina Ron Artest (ambao baadhi yao hata kiingereza kinawapiga chenga kuliko some of us, na ambao wamepeteshwa tu college kwa sababu ni "student athletes" in this sports obsessed society)... bado utaona kwamba hawa kina Artest wanajua vitu fulani subconsciously ambavyo Hasheem kama hajapata handlers wazuri wanaoijua Marekani vizuri hawezi kuyajua hata kidogo. Mara nyingine hata portrayal ya mchezaji in the press tu ni crucial issue.

Ukiangalia documentary ya Mike Tyson "Tyson" utaona kuwa Marekani shule, yaani jamaa anaongea kama ana madegree ya psychology, anaielewa the American psyche inside out, lakini ni mtoto wa mtaani tu wa Brooklyn, high school dropout. Hii experience ya kukulia Brooklyn ni priceless katika mashindano haya, kina Hasheem wanahitaji kuwa very sharp kuweza kunyaka mambo kama haya.

Kifupi sisi hatuna culture ya kuwa na vision na kuweka goals, tunaelea tu.Ukiangalia mambo yote haya, kumlaumu Thabeet kwa sababu ha-perform ni sawa sawa n kumlaumu Kanumba kwa sababu hajui kiingereza.

Mambo mengine hayapo katika tamaduni zetu, ndiyo kwanza tunajifunza.

Wakati wenzetu wana historia inayorudi nyuma kutoka kwa kina Jack Johnson au even further in the plantantions, wana usongo. Huwezi ku compare. Kuna skills na instincts nyingine huwezi kufundishwa in 1-4 years.
 
- Hivi hii D-league ni watu gani tena na huwa wanaichezea wapi na wachezaji wake kina nani mbona hatujawahi kuwasikia? Wanaonekana kwenye channel gani ya TV maana sijawawahi kuwaona ESPN au wapo kule History TV channel?

Respect.


FMEs!
 
AKOME...
Kwanza watanzania kwa kukurupuka Mnyaaz Mungu kawajaalia, yaani huyu Dogo kafumuka huko kwao alikokuwa kaja Dar kwa kaka kusoma na watanzania wakamshauri eti tu kwa kuwa ni mrefu basi aanze kucheza kikapu...

Wakati sisi tunaokijua kikapu cha Bongo basi makamanda wa kwenda nje ya nchi walikuwa kina Mukolo ngoi, charles Makene, na ''dula'' lakini si huyo Hashimu wenu aliyepigwa kumbo moja tu akavuja udenda jagi zima.

Hana jipya aje tu ajiunge na Kanumba kuigiza upuuzi wao tu.
Maana ndo wanaouweza
 
picha uliyoweka unajikomba kwa Castro mkuu?
 
Ukisikia kujikombakomba ndo huku sasa...
JF sio kitivo cha pole.
Narudia tena kuwaambia Pole ingekuwa dawa basi Muhimbili isingejengwa.

picha uliyoweka unajikomba kwa Castro mkuu?
 

Na wengi wanafanya hivi Mkuu. Watanzania walio nje wanasifa nzuri sana ya kuchapa kazi mtindo mmoja na wala si wezi wala walalamishi. Ni mabalozi wazuri sana wa nchi yetu maana ukisikia Wazungu wanasema Watanzani ni hard working people kauli inayotolewa katika nchi zao basi ujue Wabongo pia wanaweza kufanya kazi mtindo mmoja na si wavivu kama alivyokuwa anatutukana Mkapa.
 
Huyu jamaa alikuwa #2 overall draft pick! Mara ya mwisho kwa #2 overall draft pick kuwa demoted kwenye d league NBA ilikuwa lini? Binafsi sikuona chochote extraordinary alichokuwa nacho huyu dogo. Kwanza ukimwangalia tu jinsi anavyokimbia kwenye court unaona yuko awkward. Kama anajiburuza buruza vile.

Halafu hawa Dakota Wizards ni wa wapi hawa? North Dakota? South Dakota? What the hell.....
 
Nimeshasema ktk thread yangu nyuma kuwa watz ni watu legelege wa mwisho duniani, hakuna mchezo wanaoweza, si soka, riadha, kuogolea n.k. Michezo wanayoweza watz ni ya kishoga tu...kama Big brother; hapo wanaweza kushinda na watakuwa first, Au labda kama itaandaliwa mashindano ya kumsaka shoga mrembo; kwa hapa watz wanaweza kushinda na kuchukua USHINDI WA DUNIA
 
Ok watu wanasahau hata Birdman alikuwa huku kwenye D-league. Kitu kinachonishangaza ni kuwa kwanini MEM wameshindwa hata kumtrade kwa timu nyingine na badala yake wamempeleka kwenye lower league? Huu ni ushenzi wa hali ya juu. Kama huhitaji services za mtu kwanini umuharibie CV? Mi naona MEM wenyewe wanamatatizo ya ku-observe facts.
 

Kwa hiyo wewe unajua zaidi kuhusu kikapu kuliko akina Stern?

Wabongo bana kujitia ujuaji?
 

Yo Yo yuko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…