The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
taifa stars,Wewe na nani?kama unafeli unafeli wewe
kikwete,
pinda,
akina canavaro
na sasa thabeet.
mimi nipo very successfull,u dont wanna know my friend.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
taifa stars,Wewe na nani?kama unafeli unafeli wewe
Thabeet hajafeli,ana muda wa kufanya mazoezi na kuweza kupanda tena.kATIKA MAISHA KUNA KUTELEZA PIA,mind you that kuteleza si kuanguka.taifa stars,
kikwete,
pinda,
akina canavaro
na sasa thabeet.
mimi nipo very successfull,u dont wanna know my friend.
Thabeet hajafeli,ana muda wa kufanya mazoezi na kuweza kupanda tena.kATIKA MAISHA KUNA KUTELEZA PIA,mind you that kuteleza si kuanguka.
Huko ndio kumsifia mgema,mnategemea nini kama sio tembo kutiwa maji !!
Mie siwezi kumlaumu Hasheem sana.
Mara nyingine ukishakula sembe miaka 17 ya mwanzo ya maisha yako kukabiliana na hawa wenzetu wenye kula milo iliyojaa protein vitamin and minerals tangu kindergatten (hata watoto wa ghetto) inakuwa si mchezo.
Halafu kuna mambo kibao ya saikolojia and all, tena afadhali hata alivyopitia UConn Calhoun kampiga msasa kidogo.
Hii D-League ina stigma lakini si mwisho wa habari. Zaidi ya hapo dogo kashafungua njia na kuweka historia, ila ingekuwa vizuri kama angegangamala zaidi. Ila kama vitu haviwezekani haviwezekani, asije kutoka utumbo bure .
mazee.
umeongea kitu ambacho huwa
nilitaka kuanzisha thread hapa tukijadili..
hii imani yetu ya watanzania wengi kuwa
ugali ni chakula chenye afya.
na kuwa watoto wa mama hawali ugali
na ukila ugali unakuwa strong,umenipata????
mentallity ya watanzania wengi kuhusu
ugali na vyakula ni very interesting.
Nimekupata mazee, tena ugali wenyewe ugali mweupe tunakoboa mahindi ni starch tupu, ma energy yasiyo protein, vitamin wala mineral.
Halafu ugali mkubwa, mboga ndogo, hamna "kukomba mboga"
Unafikiri kwa nini tunasinyaa ukija viwanja mtu una miaka 30 watu wanakuuliza drivers licence (proof of age) ukienda kununua bia?
Ukisikia kujikombakomba ndo huku sasa...
JF sio kitivo cha pole.
Narudia tena kuwaambia Pole ingekuwa dawa basi Muhimbili isingejengwa.
Mkuu naungana nawe siku njema huanza asubuhi, pamoja na resources zote alizokuwa nazo NBA bado alilala usingizi unategemea kule GATE OF NO RETURN atafanya kitu.
Hili liwe fundisho kwetu wote, iwe kazi au opportunity yeyote ile mtu ukipata usibweteke, ukiridhika na kulala imetoka.
AKOME...
Kwanza watanzania kwa kukurupuka Mnyaaz Mungu kawajaalia, yaani huyu Dogo kafumuka huko kwao alikokuwa kaja Dar kwa kaka kusoma na watanzania wakamshauri eti tu kwa kuwa ni mrefu basi aanze kucheza kikapu...
Wakati sisi tunaokijua kikapu cha Bongo basi makamanda wa kwenda nje ya nchi walikuwa kina Mukolo ngoi, charles Makene, na ''dula'' lakini si huyo Hashimu wenu aliyepigwa kumbo moja tu akavuja udenda jagi zima.
Hana jipya aje tu ajiunge na Kanumba kuigiza upuuzi wao tu.
Maana ndo wanaouweza
Nimeshasema ktk thread yangu nyuma kuwa watz ni watu legelege wa mwisho duniani, hakuna mchezo wanaoweza, si soka, riadha, kuogolea n.k. Michezo wanayoweza watz ni ya kishoga tu...kama Big brother; hapo wanaweza kushinda na watakuwa first, Au labda kama itaandaliwa mashindano ya kumsaka shoga mrembo; kwa hapa watz wanaweza kushinda na kuchukua USHINDI WA DUNIA