Hahaaa!!!daaah!waja mna maneno!!!Jamaa anapumulia Mashine,hata Mama yake na yeye kapotea kabisa kwenye vipindi vya redio,enzi zile kutwa alikuwa anashinda kwenye vituo vya runinga na redio kuhamasisha wananzengo kuhusu mafanikio.
Dikembe mutombo mkamba mpolondo jean Jacques was mutomboJamaa wa Kongo ni Dikembe Mutombo. Ni jamaa safi na anajitambua sana. Hata baada ya michezo yake sasa ni philanthropist. Kama ulivyosema siyo mtu wa kujikuza na kila wakati anakubali umaskini wa DRC hadi alipojenga hospitali kubwa Congo, alipewa misaada sana! Huyu mwenzetu alihangaikia kuwakoga wa-TZ wenzake badala ya kuwasaidia. Hapo unahitaji kujitambua. Lazima kichwani uwe bora. SIyo mtu anayeigiza kusahau kiswahili.
Meona eeh?..ule urefu unataka pesa asee,yaan uwe tall vile huna pesa, ukipita mtaan watoto watasema wamekutana na jini tall[emoji16]Sa kwa style za kulipia shampeni na whisky za bei mbaya kwa kufunga club unatoboa vipi? Hahaha!!!
Angepiga matofali yake town now ingekuwa shangwe tu!
😀😀😀 bora sie wenye vimwili midsizeMeona eeh?..ule urefu unataka pesa asee,yaan uwe tall vile huna pesa, ukipita mtaan watoto watasema wamekutana na jini tall[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3]Mm nlivyoanza kuona tu anajiita hasheem thabeet badala ya hashimu thabiti, nkajua punde tu jua linazama!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hasheem Thabeet ni Mtanzania aliyezaliwa tarehe 16 February 1987. Ni mchezaji wa mpira wa kikapu ambaye ni hazina kwa Taifa letu. Licha ya muda wake mwingi kuutumia nchini Marekani katika timu ya Memphis Grizzlies, endapo Thabeet ataamua kuendeleza kipaji chake kwa kuwainua vijana wa Tanzania, anaweza kutengeneza timu nzuri ya mpira wa kikapu hapa nchini. Kama ilivyo kwa wenzake waliopewa viwanja, naamini Hasheem Thabeet anaweza pia kupata ardhi nzuri mkoani Dodoma na kuangusha mjengo wa maana. Mtaa wa Wanamichezo ukajijenga mkoani Dodoma.
Nelson,
SUA-Morogoro
View attachment 1054203
HaahaaahaaMm nlivyoanza kuona tu anajiita hasheem thabeet badala ya hashimu thabiti, nkajua punde tu jua linazama!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]Nakumbuka enzi hizo akirudi bongo lazima afanye media tour, Clouds wanamdaka juu kwa juu 'exclusive interview' shobo kama zote[emoji38][emoji38], sahivi hawana time nae tena anarudi bongo kimyakimya, maisha bwana!!![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu watu hawajui jinsi ambavyo ni rahisi kwa mtu kama yule kufilisika. Hana investment yoyote, hana kitegauchumi, hana biashara, hana assets, hana chochote kinachomuingizia kipato zaidi ya huo uchezaji! Na hakuna anaejua kama kweli kwa sasa anacheza au anauza supermarket. Mimi bet yangu ni kwamba jamaa hana 10m cash kwenye akaunti kwa sasa..
Huyo mbenga waqt wa mabadiliko nchini kongo mzazi wake alikuwa mhenga ikabidi yeye mbenga na bimkubwa wakimbilie ubeligiji huko ndio wataalamu wakamuona.Alikuwa Didier Mbenga kaka sio Mutombo
Unamfananisha Dikembe na Hasheem aliyekwenda US ukubwani kabisa!? Dikembe aliyecheza NBA mpaka akasema basi! Huku ni kumuonea Hasheem.Unamzungumzia huyu aliyemaliza Jitegemee? Aliyekwenda US ukubwani na sasa akija anaigiza kusahau kiswahili? Hapo kichwani kuna tatizo! Miaka yote hiyo hujawahi kugundua kwamba mtu huyu hajitambui? Linganisha na Dikembe Mutombo wa DRC.
Wako sawa tu ila mmoja kichwani yuko fit mwingine limbukeni. Mutombo aliingia US akiwa na umri wa miaka 21, akiwa hajui English. Akajifunza na ndo maana hata sasa hutamsikia akilazimisha kupinda ulimi kama huyo bonge wetu anayeigiza kusahau Kiswahili.Unamfananisha Dikembe na Hasheem aliyekwenda US ukubwani kabisa!? Dikembe aliyecheza NBA mpaka akasema basi! Huku ni kumuonea Hasheem.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji3]dahhMm nlivyoanza kuona tu anajiita hasheem thabeet badala ya hashimu thabiti, nkajua punde tu jua linazama!
Sent using Jamii Forums mobile app