TID mnyamaa a.ka Wariobaaaa alimuachia laaana hahah.Ngoja Age isogee isogee kidogo...atajuuta mpaka atakumbuka mitama ya TID mnyama
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah !!!!!!! Jamaa mmedharau sana 😅😅😅😅😅😅
😅😅😅😅 aiseeMkuu hela ya kutoa tu bila kuingiza hua inakata ghafla sana bila kutegemea! Hasa kwa lifestyle ya watu maarufu. Kuna msanii mmoja mkubwa wa marekani alikua anaelezea jinsi alivyofilisika mpaka akabaki na dola 100 pekee kwenye akaunti ndio nilishangaa. Mi nakuambia Hashimu hana 10m cash hapo alipo kwa sasa 😀
Acha uongo unatuona wote ni mafara si ndio hivi unamjua yao ming wa china aliekua anakipoga rocket
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha nakubaliana na wewe,jamaa anapumulia mashine.Mkuu watu hawajui jinsi ambavyo ni rahisi kwa mtu kama yule kufilisika. Hana investment yoyote, hana kitegauchumi, hana biashara, hana assets, hana chochote kinachomuingizia kipato zaidi ya huo uchezaji! Na hakuna anaejua kama kweli kwa sasa anacheza au anauza supermarket. Mimi bet yangu ni kwamba jamaa hana 10m cash kwenye akaunti kwa sasa..
Hakuringa.Niliwahi kumsikiliza alirudi likizo,alikuwa anaongea Kiswahili cha Marekani ,nilishangaa sana,nilimuona ana majivuno,limbukeni,...Kitaalamu tunasema Hajitambui(sijui sasa) Ingekuwa ni maajabu makubwa kama angeendelea kutamba kwenye kile kilichomuinua,kwa kiwango kile cha ushamba!
Daah Marlone ni noma , Dennis Rodman na ujanja wake wote pale alikuwa anashiwa pumziKarl Malone The Mailman hahahaha daaahh old good days
Daah well said bro , people are so negative sijui kwann ?Hakuringa.
Hiyo lugha kumbuka aliondoka bongo akiwa mdogo na kule alikuwa anaongea North American English kwa masaa yote kwa miaka kadhaa lazima aliathirika uongeaji.
Watu kama ninyi mpo tu kusubria watu washindwe kitu ili museme "nilijua tu atashindwa".
Ulikuwa wapi au ulichukua hatua gani kumshauri ili asishindwe na kufikia hapo alipo sasa?
Hao jamaa waliowataja walikuwa wakali SanaKarl malone na utah jazz yake ukikumbuka watu kama isiah Thomas na Patrick ewing unabaki kujiuliza waqt umekwenda wapi!
Hana timu, yuko Guangzhou huko wanamshangaa urefuKwa sasa yuko timu gani?
kaamua kumfuata Wabogojo!Hana timu, yuko Guangzhou huko wanamshangaa urefu
Hili nalo tatizoAnamiliki paspoti ya nchi gani kama ni USA imekula kwake,shida hatuna uraia wa nchi Mbili
Anasa na zinaa zilimfelishaHuyo mtu wenu alishafeli,kachezea shilingi chooni.
Huko dom viwanja viko machakani huduma muhimu kama maji hakuna sehemu kubwa ya dodoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Amevuna alichopanda ngoja apambane na hali yake.Anasa na zinaa zilimfelisha
Anasa na zinaa zilimfelisha
Asee simsikii kabisa bongo kama kipindi kile cha TIDB ni Long Money,angekuwa nayo angefanya vurugu sana!! Huyo yupo below 100m.
Kabisa...au siku hizi bongo hatii maguu?Inawezekana kabisa maana show offs zake zilikuwa za kiwango cha juu.
La la la...jamaa bahati kaipiga teke kule dah!Kama angeendelea vizuri sasa hivi kwa mwaka angeweza hata kukunja kati ya $10 to $20 millions.