Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Watu wapo serious na kaziWasafi classic anakuja......huyu hawajamfanyia Installation ya pdidy operating system kweli
Huyu nae asipokaa vizuri anatangulizwa kwa mabikira 72 na mito ya pombeWatu wapo serious na kazi
Katika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
Wakati anatangulizwa atakua anasindikizwa na mashoga zaidi ya miamoja ambao nao watakua wametangulia kwa baba.Huyu nae asipokaa vizuri anatangulizwa kwa mabikira 72 na mito ya pombe
Wakimuua anakuja mwingine.Safi. Israel watamsikilizia. Kisha wataamua aishi au awahi naye.
Muda wowote unashushiwa bomu lenye kilo 2200Naamini kwenye nafasi hizi hakuna kuleteana majungu au kulogana ili uipate. Hapa kupata hii chance ni death sentence, muda wowote unapotea
Naye tayari kaingia kwenye tageti za IDF🤣🤣🤣Katika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
YES NAYE WATAMUUA. SO WAO WANASEMA WAWE WANALETWA TU WENGINEWakimuua anakuja mwingine.
Hatari mkuuMuda wowote unashushiwa bomu lenye kilo 2200
Ila tulisema kuwa Hassan Nasrallah yupo salama. Naona sasa tumekubali kuwa ameuawa. Na sisi hatuna msimamo.Katika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
Kufa siyo ajabu kwani wewe hautakufa au unadhani Netanyahu ataishi milele?YES NAYE WATAMUUA. SO WAO WANASEMA WAWE WANALETWA TU WENGINE
Bomu lile umeliona lakini lina rangi ya chocolateJihadi Huwa inaendelezwa mpaka mwisho wa vita Aidha ushinde au ushindwe labda wauee waislamu wote huku duniani . Kazi Bado ipo sana tuu msijipe moyo vibaraka wa wayahudi .
Bomu lile umeliona lakini lina rangi ya chocolate