Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
- Thread starter
- #41
Subiri tangazo rasmi linakuja.Al Jazeera nmeangalia sijaona. Israel washenzi wale wanakupiga wananyamaza wanakuacha mwenyewe ulie... Ila safari hii wameamua hasa. Irani anasemaje mpaka sasa?au bado ana unya unya tu? Maana Netanyau kasema hakuna sehemu wao hawawezi fika ndani ya Irani