Hashim Safi Al din kumrithi Hassan Nasrallah kuiongoza Hezbollah. Mapambano yanaendelea

Hashim Safi Al din kumrithi Hassan Nasrallah kuiongoza Hezbollah. Mapambano yanaendelea

Jinsi wanavyouawa wale viongozi wa mwanzo mwanzo ndivyo kile kizazi chao kinapozidi kupotea,maana yake hakuna tena viongozi wa hayo makundi ambao watakuwa wana msimamo kama ambao walikuwako kabla.
 
Katika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
Na yeye tunamwua! Hicho kiti hakikalii hata miezi mitatu!
 
Katika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
Ukute ndiye aliyeuza ramani ya kumlengesha mwenzake kwa Israel .

Waarabu ni kama Waafrika kusalitiana
 
Kifo cha Sayyed Hassan Nasrallah kimeniuma kiukweli.

Sote ni wa Allah na kwake tutarejea.

Wapange safu upya siyo mbaya!
Usiumie katika dhambi mbaya ni kukataa tamaa. Wapalestina wangekata tamaa kudai nchi Yao Leo hii kusingekua na hii vita.
 
Hezbollah Huwa hawafichi taarifa .hii wametangaza wenyewe official tofauti na Israel Leo asubuhi kapigwa ballistic missiles Tel Aviv kazuia media zisitowe taarifa.
Sasa wewe si uweke hapa hizo taarfa kutoka uko uliko zotoa ama wewe ni Secrete Service wa wa houthi!?🤣🤣
 
Hata Marehemu Nasrallah alirithi mikoba baada ya mtangulizi wake kuuawa na shambulio la Israel....

Hezbollah na Iran wamepata pigo.
 
Katika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
Huyu kabla hata hamjajulishwa huko masjid kwenu IDF, Mossad, walishamjua miaka mingi kabla hivyo naye watammaliza vizuri tu.
 
Hawa ni watu waliochagua kufa na sio kuiishi Dunia bali kusimamia wanachokiamini.

Ni watu wanaoamini kuna siku watapata ushindi na kuwa mashujaa wa vizazi na vizazi.
 
Katika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630

Kichwa kikingine kinaelekea KIBLA.
 
Back
Top Bottom