Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
- Thread starter
-
- #221
Huu ni uwongo mtupuni historia iliyopo kwenye Biblia iliyoandikwa hata kabla mood hajazaliwa, hata mood aliikuta. ile ardhi Mungu aliyeiumba aliwapa waisrael, sio waarabu.
Bosi vita siyo hasira ni mbinu. Israel amejipanga muda mrefu kwa haya anayoyafanya. Huwezi kuua top decision makers yote kwa muda mfupi bila kuwa na Intel ya maana ya hao watu.Vitani unabadilisha strategy unaendelea mbele madhaifu Yao siyo wao tu wanayajua hata sisi tunayajua. Kwani wewe hujui kwanini Israel anatamba uwanja wa vita? Hautakiwi kurudi nyuma ukirudi unampa adui ushindi. Hezbollah wapo vizuri sana ila wamezungukwa na ma spy wa Israel ambao ni wenzao lakini pia Israel anasapoti kubwa ya fedha na silaha za teknolojia ya juu kutoka marekani. Hapa juzi wameongezeka Dola Bilioni 8 kwahiyo ni kwamba jamaa wanapambana na jabali tuwape hongera wanajitahidi sana hawapaswi kukatishwa tamaa.
Mkuu mzozo wa palestina na Gaza naona unauelezea kwa juu juu ni Aidha haujui au hautaki kujuwa chanzo cha huu mgogoro. Na huu mzozo haujaanza Oktober 7 kama unavodhani.Umeongea kwa tafakuri ya kusikitisha sana.
Unachomaanisha ni kwamba Hamas, Hezbola na Iran wapo kuwasaidia Palestina wanaonyanyaswa.
Swali la kujiuliza,
Ni kweli Palestina wananyanyaswa?
Ni nani alieanza kumchokoza mwenzie kwny vita vya gaza?
Nani alikuwa mchokozi dhidi ya hamas na sasa dhidi ya hezbolaa?
Mtu unaweza kusema unachagua kufa kuliko kunyanyaswa kumbe ni wewe mwenyewe unatafuta sababu maksudi, ili yapatikane mapigano ufe, kwa kuwa unaamini kufa ni thawabu.
ni historia iliyopo kwenye Biblia iliyoandikwa hata kabla mood hajazaliwa, hata mood aliikuta. ile ardhi Mungu aliyeiumba aliwapa waisrael, sio waarabu.
Biblia ndio kila kituaisee kwahiyo Dunia inatumia historia ya kwenye bible.
unafahamu Kila mtu duniani hapa ana imani yake na tukianza kutumia maandiko ya kila kitabu basi hapa duniani patakuwa hapakaliki maana wahindu watakwambia kwenye kitabu chao Pakistani ni kwao nao nk.
Wewe unaaminu bible mwingine anaamini Koran nk, Palestina nao wakikwambia kwenye Koran pale ni kwao itakuaje?.
Aisee.
Kwanini unachukia Mimi ikiniuma kuhusu palestina mbona wewe unaumia wayahudi wakishambuliwa tatizo liko wapi mkuu? Kila mtu yupo huru kusapoti anachoona ni sahihi kwake tujadiliane kwa hoja .Nenda ukawasaidie kama imekuuma sanaa
Hakuna ambaye hajajipanga kwenye vita yeyote ile. Hata kama unaepigana nae ana nguvu kukuzidi yeye ana bunduki wewe utabeba panga .Bosi vita siyo hasira ni mbinu. Israel amejipanga muda mrefu kwa haya anayoyafanya. Huwezi kuua top decision makers yote kwa muda mfupi bila kuwa na Intel ya maana ya hao watu.
Mpka Sasa middle East yote ipo mikononi mwa Israel. Unatoa mawazo kama huoni kinachoendelea.
Na mabomu ya kuwaua wote hadi Lebanon ibaki kua nchi ya kikristo yapo tu mje.......dadek na Yemen mshafungiwa starlink patamu hapoJihadi Huwa inaendelezwa mpaka mwisho wa vita Aidha ushinde au ushindwe labda wauee waislamu wote huku duniani . Kazi Bado ipo sana tuu msijipe moyo vibaraka wa wayahudi .
Wangekua wanaogopa kufa wasingekuja kuanzisha nchi katikati ya waarabu na kuanza kuwapelekeshaKufa unaogopa wewe na hao wazayuni. Watu washajitolea kufa kwajili ya kupigania Haki.
Watu washabeba code sahv mnafumuliwa tu kiroho na kimwiliHakuna ambaye hajajipanga kwenye vita yeyote ile. Hata kama unaepigana nae ana nguvu kukuzidi yeye ana bunduki wewe utabeba panga .
Si ndo Raha Yako au hutaki?Watu washabeba code sahv mnafumuliwa tu kiroho na kimwili
ππππWangekua wanaogopa kufa wasingekuja kuanzisha nchi katikati ya waarabu na kuanza kuwapelekesha
Tulia bwanamdogoNa mabomu ya kuwaua wote hadi Lebanon ibaki kua nchi ya kikristo yapo tu mje.......dadek na Yemen mshafungiwa starlink patamu hapo
Amka bwana mkubwa jingaTulia bwanamdogo
Saana acha tuyabinye hayo majini kama ma toySi ndo Raha Yako au hutaki?
Mwarabu bora hata kidogo muafrika ,,,ila mwarabu kaingia kwenye 18 za wazungu vizuri hata kuchomoka hawezi akikaa nchale akisimama nchale,,,,,kikubwa kilichobaki wamsujudie Israel tu ndo pona yao,,,wenzao wa UAE ,Saudia na huko Jordan wanajua hiloππππ
Kufa kupo ila mavilemba yanakufa kilofa sana. Ukisiki!iza hotuba zao utadhani wana uwezo wa kujilinda kumbe hovyo.Kufa siyo ajabu kwani wewe hautakufa au unadhani Netanyahu ataishi milele?
Biblia ndio kila kitu