Hashim Safi Al din kumrithi Hassan Nasrallah kuiongoza Hezbollah. Mapambano yanaendelea

Hashim Safi Al din kumrithi Hassan Nasrallah kuiongoza Hezbollah. Mapambano yanaendelea

Vitani unabadilisha strategy unaendelea mbele madhaifu Yao siyo wao tu wanayajua hata sisi tunayajua. Kwani wewe hujui kwanini Israel anatamba uwanja wa vita? Hautakiwi kurudi nyuma ukirudi unampa adui ushindi. Hezbollah wapo vizuri sana ila wamezungukwa na ma spy wa Israel ambao ni wenzao lakini pia Israel anasapoti kubwa ya fedha na silaha za teknolojia ya juu kutoka marekani. Hapa juzi wameongezeka Dola Bilioni 8 kwahiyo ni kwamba jamaa wanapambana na jabali tuwape hongera wanajitahidi sana hawapaswi kukatishwa tamaa.
Bosi vita siyo hasira ni mbinu. Israel amejipanga muda mrefu kwa haya anayoyafanya. Huwezi kuua top decision makers yote kwa muda mfupi bila kuwa na Intel ya maana ya hao watu.
Mpka Sasa middle East yote ipo mikononi mwa Israel. Unatoa mawazo kama huoni kinachoendelea.
 
Umeongea kwa tafakuri ya kusikitisha sana.

Unachomaanisha ni kwamba Hamas, Hezbola na Iran wapo kuwasaidia Palestina wanaonyanyaswa.

Swali la kujiuliza,

Ni kweli Palestina wananyanyaswa?
Ni nani alieanza kumchokoza mwenzie kwny vita vya gaza?

Nani alikuwa mchokozi dhidi ya hamas na sasa dhidi ya hezbolaa?

Mtu unaweza kusema unachagua kufa kuliko kunyanyaswa kumbe ni wewe mwenyewe unatafuta sababu maksudi, ili yapatikane mapigano ufe, kwa kuwa unaamini kufa ni thawabu.
Mkuu mzozo wa palestina na Gaza naona unauelezea kwa juu juu ni Aidha haujui au hautaki kujuwa chanzo cha huu mgogoro. Na huu mzozo haujaanza Oktober 7 kama unavodhani.
 
ni historia iliyopo kwenye Biblia iliyoandikwa hata kabla mood hajazaliwa, hata mood aliikuta. ile ardhi Mungu aliyeiumba aliwapa waisrael, sio waarabu.

aisee kwahiyo Dunia inatumia historia ya kwenye bible.

unafahamu Kila mtu duniani hapa ana imani yake na tukianza kutumia maandiko ya kila kitabu basi hapa duniani patakuwa hapakaliki maana wahindu watakwambia kwenye kitabu chao Pakistani ni kwao nao nk.

Wewe unaaminu bible mwingine anaamini Koran nk, Palestina nao wakikwambia kwenye Koran pale ni kwao itakuaje?.

Aisee.
 
aisee kwahiyo Dunia inatumia historia ya kwenye bible.

unafahamu Kila mtu duniani hapa ana imani yake na tukianza kutumia maandiko ya kila kitabu basi hapa duniani patakuwa hapakaliki maana wahindu watakwambia kwenye kitabu chao Pakistani ni kwao nao nk.

Wewe unaaminu bible mwingine anaamini Koran nk, Palestina nao wakikwambia kwenye Koran pale ni kwao itakuaje?.

Aisee.
Biblia ndio kila kitu
 
Nenda ukawasaidie kama imekuuma sanaa
Kwanini unachukia Mimi ikiniuma kuhusu palestina mbona wewe unaumia wayahudi wakishambuliwa tatizo liko wapi mkuu? Kila mtu yupo huru kusapoti anachoona ni sahihi kwake tujadiliane kwa hoja .
 
Bosi vita siyo hasira ni mbinu. Israel amejipanga muda mrefu kwa haya anayoyafanya. Huwezi kuua top decision makers yote kwa muda mfupi bila kuwa na Intel ya maana ya hao watu.
Mpka Sasa middle East yote ipo mikononi mwa Israel. Unatoa mawazo kama huoni kinachoendelea.
Hakuna ambaye hajajipanga kwenye vita yeyote ile. Hata kama unaepigana nae ana nguvu kukuzidi yeye ana bunduki wewe utabeba panga .
 
Jihadi Huwa inaendelezwa mpaka mwisho wa vita Aidha ushinde au ushindwe labda wauee waislamu wote huku duniani . Kazi Bado ipo sana tuu msijipe moyo vibaraka wa wayahudi .
Na mabomu ya kuwaua wote hadi Lebanon ibaki kua nchi ya kikristo yapo tu mje.......dadek na Yemen mshafungiwa starlink patamu hapo
 
😂😂😂😂
Mwarabu bora hata kidogo muafrika ,,,ila mwarabu kaingia kwenye 18 za wazungu vizuri hata kuchomoka hawezi akikaa nchale akisimama nchale,,,,,kikubwa kilichobaki wamsujudie Israel tu ndo pona yao,,,wenzao wa UAE ,Saudia na huko Jordan wanajua hilo
 
Ground op ya Israel inaenda kusafisha kila kitu baada ya Pagers disaster na kuua makamanda wa op mbali mbali za Hezibollar.
 
Back
Top Bottom