Hashim Safi Al din kumrithi Hassan Nasrallah kuiongoza Hezbollah. Mapambano yanaendelea

Hashim Safi Al din kumrithi Hassan Nasrallah kuiongoza Hezbollah. Mapambano yanaendelea

Kufa kupo ila mavilemba yanakufa kilofa sana. Ukisiki!iza hotuba zao utadhani wana uwezo wa kujilinda kumbe hovyo.

Kama taasisi haiwezi kumlinda kiongozi wake wa juu dhidi ya adui, itakiwaje Kwa raia?
Uwezo wa marekani na Hezbollah ni sawa? Nilidhani ungewapongeza sana kuonesha ujasiri mkubwa wa kupambana na Israeli.
 
Mwarabu bora hata kidogo muafrika ,,,ila mwarabu kaingia kwenye 18 za wazungu vizuri hata kuchomoka hawezi akikaa nchale akisimama nchale,,,,,kikubwa kilichobaki wamsujudie Israel tu ndo pona yao,,,wenzao wa UAE ,Saudia na huko Jordan wanajua hilo
UAE, Saudia na Jordan wao siyo waarabu?
 
Katika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
NB. Hii nafasi Kila member wa Hezbollah alikuwa anaomba Mungu amsaidie aweze kuipata.
Naunga mkono hoja
 
Zile pagers ziliwashtua Sana Hizbollah wakawa hawana option zaidi ya kukubali matokeo.
 
Katika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
NB. Hii nafasi Kila member wa Hezbollah alikuwa anaomba Mungu amsaidie aweze kuipata.
hata mm niliitamani sana hii position...ushoga lazma umalizwe
 
Hezbollah Huwa hawafichi taarifa .hii wametangaza wenyewe official tofauti na Israel Leo asubuhi kapigwa ballistic missiles Tel Aviv kazuia media zisitowe taarifa.
Ha ha ha ha ballistic missile ubaijua wewe? Ushushiwe hio utaficha nini? Kishindo na vumbi lake hadi Beirut lingeonekana.
 
Katika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
NB. Hii nafasi Kila member wa Hezbollah alikuwa anaomba Mungu amsaidie aweze kuipata.
Israeli wanaweza kumpiga kitu hata kabla ya kuapishwa
 
Back
Top Bottom