Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
- Thread starter
- #241
Uwezo wa marekani na Hezbollah ni sawa? Nilidhani ungewapongeza sana kuonesha ujasiri mkubwa wa kupambana na Israeli.Kufa kupo ila mavilemba yanakufa kilofa sana. Ukisiki!iza hotuba zao utadhani wana uwezo wa kujilinda kumbe hovyo.
Kama taasisi haiwezi kumlinda kiongozi wake wa juu dhidi ya adui, itakiwaje Kwa raia?