Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
- Thread starter
-
- #241
Uwezo wa marekani na Hezbollah ni sawa? Nilidhani ungewapongeza sana kuonesha ujasiri mkubwa wa kupambana na Israeli.Kufa kupo ila mavilemba yanakufa kilofa sana. Ukisiki!iza hotuba zao utadhani wana uwezo wa kujilinda kumbe hovyo.
Kama taasisi haiwezi kumlinda kiongozi wake wa juu dhidi ya adui, itakiwaje Kwa raia?
UAE, Saudia na Jordan wao siyo waarabu?Mwarabu bora hata kidogo muafrika ,,,ila mwarabu kaingia kwenye 18 za wazungu vizuri hata kuchomoka hawezi akikaa nchale akisimama nchale,,,,,kikubwa kilichobaki wamsujudie Israel tu ndo pona yao,,,wenzao wa UAE ,Saudia na huko Jordan wanajua hilo
Huna akiliSaana acha tuyabinye hayo majini kama ma toy
Naunga mkono hojaKatika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
NB. Hii nafasi Kila member wa Hezbollah alikuwa anaomba Mungu amsaidie aweze kuipata.
hata mm niliitamani sana hii position...ushoga lazma umalizweKatika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
NB. Hii nafasi Kila member wa Hezbollah alikuwa anaomba Mungu amsaidie aweze kuipata.
Ha ha ha ha ballistic missile ubaijua wewe? Ushushiwe hio utaficha nini? Kishindo na vumbi lake hadi Beirut lingeonekana.Hezbollah Huwa hawafichi taarifa .hii wametangaza wenyewe official tofauti na Israel Leo asubuhi kapigwa ballistic missiles Tel Aviv kazuia media zisitowe taarifa.
HahaaaBomu lile umeliona lakini lina rangi ya chocolate
Israeli wanaweza kumpiga kitu hata kabla ya kuapishwaKatika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
NB. Hii nafasi Kila member wa Hezbollah alikuwa anaomba Mungu amsaidie aweze kuipata.
Safi. Israel watamsikilizia. Kisha wataamua aishi au awahi naye.
Kwani wao wanapoua wengine wanategemea kuishi milele?Wao waendelee kuishi milele au vipi ??
Rip Hashim Safi Al DinAmesha jifia while anaishi hatari sana
Mkishazidiwa ndio huwa mnaleta maneno ya kujifariji kama haya solution ni Acheni Ugaidi.
Naona jihad inapata ushindi kweli kweli! Rejoice!
Kwani wao wanapoua wengine wanategemea kuishi milele?
Israeli haijaanza Leo kuwaua viongozi na makamanda wanaopigania uhuru wa Palestina.Israeli wanaweza kumpiga kitu hata kabla ya kuapishwa