Hashim Safi Al din kumrithi Hassan Nasrallah kuiongoza Hezbollah. Mapambano yanaendelea

Aisee,
Ana uzoefu wowote wa kuishi kama nungunungu mapangoni na kwenye mashimo daily, maana hapo tayari yupo kwenye kilengeo?

Pona yake ni kama atabadili msimamo. Aachane na mihemko ya akina Ayatollah, Nasrallah, ISiS, Houthi, Hamas, nk
 
Ukifuatilia ya Nyerere utakuwa hukuielewa falsafa yake katika hicho alichafanya kipindi hicho. Ni Nyerere huyo huyo aliyewaomba Israeli wasaidie kutoa mafunzo ya kijeshi kwa vijana wa JKT ilipoanzishwa kwa mara ya kwanza kabisa hapa Tz (1977 kama sijakosea) wale vijana wa kwa mujibu wa sheria F6. Ni Nyerere huyo huyo aliyekubaliana na Israeli kujenga ile Hotel 77 pale Arusha. Alichopinga Nyerere kipindi hicho ni tofauti na kinachoendelea kwa sasa kati ya Israeli kama Taifa na HAMAS + Hezbollah + Houth (vikundi vya kigaidi) vinavyoendesha shughuli zake za kijeshi(Chokochoko za kivita) wakitokea ndani ya Mataifa huru na ya kidemokrasia Palestina, Lebanon na Yemen . Vikundi hivyo vinafadhiliwa na Taifa la Iran na Wanatatiza sana mustakabali wa Hali ya Amani katika Mataifa hayo tajwa - Lebanon, Palestina na Yemen. Wanachokoza na kuanzisha vita dhidi ya Mataifa ya nje(Israel) na kwakuwa wapo ndani ya Mataifa yaliyotajwa Palestina, Lebanon na Yemen; Israel hana namna nyingine ya "kuyashughulikia" makundi hayo bali ni vita dhidi ya nchi hizo zinazo wahifadhi.
 
Nae kashaliwa kichwa tayari
 
Hezbollah nao wanasaidiwa sana na iran kama sio iran wasingeweza sababu lebanon ni nchi maskini yenye matatizo mengi na kumbuka hezbollah ni paramilitary
 
Kuna siku ulisema umebadilisha dini ukiwa muongo kuwa na kumbukumbu
 
Hezbollah Huwa hawafichi taarifa .hii wametangaza wenyewe official tofauti na Israel Leo asubuhi kapigwa ballistic missiles Tel Aviv kazuia media zisitowe taarifa.
Media hazitoi habarii ila ww umepata hiyo habarii , ila wavaa kobaz bana
 
Jihadi Huwa inaendelezwa mpaka mwisho wa vita Aidha ushinde au ushindwe labda wauee waislamu wote huku duniani . Kazi Bado ipo sana tuu msijipe moyo vibaraka wa wayahudi .
mfalme wa Saudia hataki kuskia izi kelele za hezbollah sijui hamas kwenye nchi yake anaona ni mambo ya politics tu ila wafia dini bado hamjatambua ilo
 
Mapambano yanaendelea hadi Israel apige magoti maana hii vita haiishi leo hadi Mazayuni yachoshwe maana mashambulizi yanatoka Gaza, Lebanon na Yemen kwa mpigo.
 
Kifo cha Sayyed Hassan Nasrallah kimeniuma kiukweli.

Sote ni wa Allah na kwake tutarejea.

Wapange safu upya siyo mbaya!
Waislam wenzio wanateketea Kwa tamaa zenu za kufikirika , hapo middle hakuna nchi inapenda Israel ianguke maana Israel ndo amekuwa kiunganish Cha waislam
 
Nasikia huyu Pager aliisahau Ofisini sasa kombora la Bunker Buster sijui atalikimbia wapi?
 
vita vitukufu alivyokuwa akipigana mtume S.A.W kunakua na mshika bendera ambaye anashika ile inatakiwa ikae juu mpaka mna maliza vita mziki unakuja ukikatwa mkono inabidi uwahi kupasia mkono mwingine unaendelea kutembeza panga ukikatwa ikibidi ushikie meno cha msingi bendera ni marufuku kushuka katika uwanja wa vita always kuna kua na mtu ready kutake over unaopoteza kiungo au kufa bila bendera kushuka chini, kinachofanyika kwa hizbo ndio utaratibu wetu kwenye masiala ya kupigani haki we bow down to our creater only as all our leaders did fro Adam A.S to Muhammad S.A.W. napenda nidhamu ya hizbo na laiti kama tungekuwa laini makafiri wangeshaingiza usenge wao kwenye dini yetu, wao wana dini yao na sisi tuna yetu Al Quran Al hakim
 
Unajua kifo ni tafsiri Yako tu. Wenzio wanakikimbilia na kufurahia kufa katika vita vitakatifu hii ndio tofauti kubwa kati ya Islamic resistance na wayahudi. Wayahudi wanaogopa sana kufa wakati wenzao wanafurahi sana kufa katika vita hii. Jibu unalo
Yes, Jibu ninalo. Mtashangaa sana mtakapofika huko na kukuta kumbe hakuna cha mabikra wala mito ya pombe mtahuzunika sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…