antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Aisee,Katika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
NB. Hii nafasi Kila member wa Hezbollah alikuwa anaomba Mungu amsaidie aweze kuipata.
Ukifuatilia ya Nyerere utakuwa hukuielewa falsafa yake katika hicho alichafanya kipindi hicho. Ni Nyerere huyo huyo aliyewaomba Israeli wasaidie kutoa mafunzo ya kijeshi kwa vijana wa JKT ilipoanzishwa kwa mara ya kwanza kabisa hapa Tz (1977 kama sijakosea) wale vijana wa kwa mujibu wa sheria F6. Ni Nyerere huyo huyo aliyekubaliana na Israeli kujenga ile Hotel 77 pale Arusha. Alichopinga Nyerere kipindi hicho ni tofauti na kinachoendelea kwa sasa kati ya Israeli kama Taifa na HAMAS + Hezbollah + Houth (vikundi vya kigaidi) vinavyoendesha shughuli zake za kijeshi(Chokochoko za kivita) wakitokea ndani ya Mataifa huru na ya kidemokrasia Palestina, Lebanon na Yemen . Vikundi hivyo vinafadhiliwa na Taifa la Iran na Wanatatiza sana mustakabali wa Hali ya Amani katika Mataifa hayo tajwa - Lebanon, Palestina na Yemen. Wanachokoza na kuanzisha vita dhidi ya Mataifa ya nje(Israel) na kwakuwa wapo ndani ya Mataifa yaliyotajwa Palestina, Lebanon na Yemen; Israel hana namna nyingine ya "kuyashughulikia" makundi hayo bali ni vita dhidi ya nchi hizo zinazo wahifadhi.Halafu sasa Mimi ni mkatoliki Tena OG ili sipendi upuuzi wa Israeli kwa wapalestina. Mbona Nyerere alikuwa mkatoliki kama Mimi na alipinga upuuzi wa Israeli kwanini hamkumuita muislamu? Msinibaguwe kutokana na msimamo wangu na sitabadili msimamo wangu.
Nae kashaliwa kichwa tayariKatika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
NB. Hii nafasi Kila member wa Hezbollah alikuwa anaomba Mungu amsaidie aweze kuipata.
Hezbollah nao wanasaidiwa sana na iran kama sio iran wasingeweza sababu lebanon ni nchi maskini yenye matatizo mengi na kumbuka hezbollah ni paramilitaryVitani unabadilisha strategy unaendelea mbele madhaifu Yao siyo wao tu wanayajua hata sisi tunayajua. Kwani wewe hujui kwanini Israel anatamba uwanja wa vita? Hautakiwi kurudi nyuma ukirudi unampa adui ushindi. Hezbollah wapo vizuri sana ila wamezungukwa na ma spy wa Israel ambao ni wenzao lakini pia ollahIsrael anasapoti kubwa ya fedha na silaha za teknolojia ya juu kutoka marekani. Hapa juzi wameongezeka Dola Bilioni 8 kwahiyo ni kwamba jamaa wanapambana na jabali tuwape hongera wanajitahidi sana hawapaswi kukatishwa tamaa.
Kuna siku ulisema umebadilisha dini ukiwa muongo kuwa na kumbukumbuHalafu sasa Mimi ni mkatoliki Tena OG ili sipendi upuuzi wa Israeli kwa wapalestina. Mbona Nyerere alikuwa mkatoliki kama Mimi na alipinga upuuzi wa Israeli kwanini hamkumuita muislamu? Msinibaguwe kutokana na msimamo wangu na sitabadili msimamo wangu.
Mlipoanzishq ugomv , mlikuwa hamyajui haya ?Kufa siyo ajabu kwani wewe hautakufa au unadhani Netanyahu ataishi milele?
Media hazitoi habarii ila ww umepata hiyo habarii , ila wavaa kobaz banaHezbollah Huwa hawafichi taarifa .hii wametangaza wenyewe official tofauti na Israel Leo asubuhi kapigwa ballistic missiles Tel Aviv kazuia media zisitowe taarifa.
mfalme wa Saudia hataki kuskia izi kelele za hezbollah sijui hamas kwenye nchi yake anaona ni mambo ya politics tu ila wafia dini bado hamjatambua iloJihadi Huwa inaendelezwa mpaka mwisho wa vita Aidha ushinde au ushindwe labda wauee waislamu wote huku duniani . Kazi Bado ipo sana tuu msijipe moyo vibaraka wa wayahudi .
Hata neno palestina unakuwa kuwa linamaanisha Dola ya kikolloni ya uingereza?Hakuna amani bila kuwa na taifa huru la palestina hii ipo hivyo . Hii ni jihad
Mapambano yanaendelea hadi Israel apige magoti maana hii vita haiishi leo hadi Mazayuni yachoshwe maana mashambulizi yanatoka Gaza, Lebanon na Yemen kwa mpigo.Katika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
NB. Hii nafasi Kila member wa Hezbollah alikuwa anaomba Mungu amsaidie aweze kuipata.
Waislam wenzio wanateketea Kwa tamaa zenu za kufikirika , hapo middle hakuna nchi inapenda Israel ianguke maana Israel ndo amekuwa kiunganish Cha waislamKifo cha Sayyed Hassan Nasrallah kimeniuma kiukweli.
Sote ni wa Allah na kwake tutarejea.
Wapange safu upya siyo mbaya!
Palestine ni jina la kikoloni na sio utaifa wa jamii fulanPalestine ipate Uhuru wake
Yes, Jibu ninalo. Mtashangaa sana mtakapofika huko na kukuta kumbe hakuna cha mabikra wala mito ya pombe mtahuzunika sana.Unajua kifo ni tafsiri Yako tu. Wenzio wanakikimbilia na kufurahia kufa katika vita vitakatifu hii ndio tofauti kubwa kati ya Islamic resistance na wayahudi. Wayahudi wanaogopa sana kufa wakati wenzao wanafurahi sana kufa katika vita hii. Jibu unalo