Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Huku kutumia muda kupiga risasi waliokufa hakuna tija bora nguvu hizo na muda ungetumika kupigana na kuvumbua madudu kwa waliopo unless waliopo kila kitu ni Kosher....
Nasikitika kusema tumekuwa Taifa la jamii ya waoga, wazandiki na wanafiki na mwisho wetu wote kwa mwendo huu sidhani kama utakuwa ni wa kuridhisha
Nasikitika kusema tumekuwa Taifa la jamii ya waoga, wazandiki na wanafiki na mwisho wetu wote kwa mwendo huu sidhani kama utakuwa ni wa kuridhisha