EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
-
- #201
Haruni na Suleiman hawakuwa manabiiπ€£π€£π€£π€£WaIsrseli sio wanadamamu na viumbe wale mpaka uwezekano wa kuwepo Nabii wake ukosekane ? sio yeye tu mbona wengi kutokea Israeli ni Mnabii wake mfanao Musa ,Harun ,Suleyman nk
Kuona ajabu ni wewe tu wengine tunaona kawaida tu na sio katika majambo yasiyowezekana.
Hawa jamaa kila mtu maarufu wa taifa la Israel wanamwita nabii.Haruni na Suleiman hawakuwa manabii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Quran na Biblia zipo kwenye App unadownload unaendelea kujisomea huyo anaechoma anajisumbuaMimi vitendo hivi naviona kama vinawaondoa watu miaka ya giza na kuwaleta kwenya miaka ya sasa. Kuna watu bado wapo vifungoni sana na wapo miaka ya 1400 huko.
Sasa hivi wataanza kuzoea na soon wataanza kujicheka
Unauhakika na uyasemayo!?Kwa sababu Uislam ndio dini ya asili. Dini iliyofundishwa na kufuatwa na Mitume yote. Na hakuna dini mbele ya Allah, Muumba wa kila kitu, isipokuwa Uislam. Na anayechagua Dini isiyokuwa ya Uislam haitakubaliwa kwake na akhera atakuwa ni mwenye hasara.
Ukristo sio dini ya asili kutoka kwa Allah, ni dini iliyoundwa tu na watu muda mrefu baada ya Yesu kuondoka, kisha wakamnasibishia nayo.
Kijana haipo dini ya kweli.Sio kwetu sisi tu, Uislam ndio kweli hata kama watu wengi wa magharibi hawaufuati, na utaenea tu kote watu warudi katika asili yao. Pili, ukristo katika nchi za magharibi ni dhaifu tofauti na miaka iliyopita na unaendelea kudhoofika. Hakuna hata nchi moja ya magharibi utakayoiita ya kikristo kiukweli hivi sasa. Hivyo sio dominant. Tatu wakristo, hata wakipigania kueneza dini yao, hawatofaulu, sababu ukristo sio ukweli na sisi hatulazimishi watu watufuate tunachotaka sisi, hasha! Bali Uislam ndio ukweli, nasi tunalingania kweli hii na ukweli ndio wenye kushinda mwisho wa siku;
Qur-an 17:81
View attachment 2675661
81. Na sema: Kweli imefika, na uwongo umetoweka. Hakika uwongo lazima utoweke!
Kwanini wasitafute wao π π π πHawa jamaa kila mtu maarufu wa taifa la Israel wanamwita nabii.
Hata Adam anaitwa nabii...just imagine.
Ndio tatizo la mohamad kuokoteza maandiko ya watu... yaani ni full uzushi tu.
Hawa watu bhana, wameiba content za watu halafu waliowaibia wakaanza kuwaona wehu.Kwanini wasitafute wao π π π π
Watafute wao wapi hao? Kwani wanao?Kwanini wasitafute wao [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hawa jamaaπ€£π€£π€£π€£Watafute wao wapi hao? Kwani wanao?
Mohamad ndio mtume pekee kwenye Quran ambaye sio wa taifa la Israel.
Ndio maana ikabidi achukue figures wa dini ya kiYahudi na Kikristo, abadili-badili story halafu aseme hao ni wa Alah.
Halafu kila figure maarufu wa kwenye Biblia akampachika Unabii. Yaani mpaka LUTU (Loth) mpwa wa Ibrahim eti naye wanamuita Nabii.[emoji1787]
Mimi naonaga ni utapeli mtupu kwa kweli to be frank.
Kipi kinachothibitisha kuwa uislamu ni ukweli na ukristo ni uongo kama siyo maneno yenu wenyewe waislam, je mungu mwenyewe aliwahi kushuka akawaambia ya kuwa uislamu ndio dini ya kweli na ukristo ni dini ya uongo, ni misingi ipi au nguvu ipi inayothibitisha hiloSio kwetu sisi tu, Uislam ndio kweli hata kama watu wengi wa magharibi hawaufuati, na utaenea tu kote watu warudi katika asili yao. Pili, ukristo katika nchi za magharibi ni dhaifu tofauti na miaka iliyopita na unaendelea kudhoofika. Hakuna hata nchi moja ya magharibi utakayoiita ya kikristo kiukweli hivi sasa. Hivyo sio dominant. Tatu wakristo, hata wakipigania kueneza dini yao, hawatofaulu, sababu ukristo sio ukweli na sisi hatulazimishi watu watufuate tunachotaka sisi, hasha! Bali Uislam ndio ukweli, nasi tunalingania kweli hii na ukweli ndio wenye kushinda mwisho wa siku;
Qur-an 17:81
View attachment 2675661
81. Na sema: Kweli imefika, na uwongo umetoweka. Hakika uwongo lazima utoweke!
Imani zingine ni sawa na mungu baal asiye na nguvu bali hutetewa na waumini wake.View attachment 2673379
Salwan Momika, anayesemekana kuwa mzaliwa wa Iraq anayeishi Sweden, alichoma moto nakala Quran mbele ya msikiti mkuu wa Stockholm siku ya Jumatano.
Mataifa ya Mashariki ya Kati yakiwemo Iraq, Iran, Saudi Arabia na Misri yamekosoa vikali uchomaji huo.
Na Uturuki, imesema kuwa ni "kitendo cha kudharau" huku Morocco ikimrudisha nyumbani balozi wake wa nchini Sweeden kufuatia kuchomwa kwa Koran kwenye maandamano mjini Stockholm.
BBC
=====================
Hii inanikumbusha miaka flani msanii wa Ufaransa alichora katuni
Jamaa wakahisi kachorwa "Mo"
Waliwasha moto utafikiri wapo nchini kwao. π π π π π π mkiona mnanyanyaswa si mnarudi tu makwenu
Uthibitisho wa uwepo wake ni kuwepo kabla ya hayo unayodai ni kuwepo kwa mbingu ,Ardhi na vilivyomo maana yeye ndiye Muumba na muendeshaji wa hivyo vitu.Musa, Harun na Suleiman ni manabii wa nani? Alah?
Nikikuambia unithibitishie UWEPO wa Mungu Alah kabla ya Mohamad katika taifa la Israel HUTAWEZA kuthibitisha... na hakuna hata mmoja wenu anayeweza.
Musa, Harun na Suleiman Mungu wao anajulikana. Anaitwa YAHWEH..Mungu wa Israel...na ndiye Mungu wa Waisrael mpaka leo.
Alah nabii/mtume wake anajulikana...anaitwa Mohamad wa Meca.
Acheni janja janja.
Elimu ni bahati usilazimishe niamini Source yako ,mimi nimesema hivyo sasa .Haruni na Suleiman hawakuwa manabiiπ€£π€£π€£π€£
Mungu wa Waisraeli aliyepo kwenye Biblia na kwenye Tanakh ya wayahudi haitwi Alah..anaitwa YAHWEH na jina lake lingine alilojitambulisha nalo kwa Musa anaitwa NIKO AMBAYE NIKO (I AM THAT I AM).Uthibitisho wa uwepo wake ni kuwepo kabla ya hayo unayodai ni kuwepo kwa mbingu ,Ardhi na vilivyomo maana yeye ndiye Muumba na muendeshaji wa hivyo vitu.
Wazungu na Europeans hapo kuna tofauti gani ? kila kabila na Taifa lina jina lake hata kama walikuwa hawamuiti Allah maadam wanamaanisha Mungu Mungu mmoja Mola mlezi Muumba muendeshaji wa ulimwengu wote aliyetakasika na asiye na mshirika basi ni huyo ni Allah.
#Nimemaliza
Source yako Kutoka Uarabuni karne ya 7, miaka 3000 baada ya Daudi kufa, kutoka kwa mtu ambaye hata hakuwahi kukanyaga ardhi ya Israeli zaidi ya kuishi jangwani mapangoni na kusikia story za wayahudi mtaani?Elimu ni bahati usilazimishe niamini Source yako ,mimi nimesema hivyo sasa .
Kwanza unatakiwa kuelewa kuwa nchi za Ulaya hakunaga sheria za kuzuia kuchoma Biblia, Quran, Bendera au kitu chochote ispokuwa tu usichome moto mkubwa utaoleta hatari kwa mazingira.Nataka nione mfano wewe amka asubuhi jumapili nenda pale St Peters chukua Bible anza kuchoma moto wakati waumini wanatoka kusali ili tuthibitishe kuwa sisi wakristo hatuna shida na suala hilo. Au niwekee hapa tukio moja tu la kuchoma biblia in a public in reality lililotokea huko ulaya au hata hapa Tanzania maana mimi sijawahi kuona. Kila siku nasikia ni waislamu tu wenzangu mkichangia mnasema Bible zinachomwa kila siku ni wapi huko zinapochomwa?
Sidhani kama upo sahihi, naheshi mawazo yakoWaache wakichome hakina faida ulimwengu wa sasa haukihitaji.