adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Soma Bible vizuri ,Nabii Daudi (Peace be upon him ) kapigana vita nyingi sana na hata ndani ya bible kuna vita nyingi sana za kidini zimezungumzwa.Kuna dini mungu wao ni useless mpaka apiganiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma Bible vizuri ,Nabii Daudi (Peace be upon him ) kapigana vita nyingi sana na hata ndani ya bible kuna vita nyingi sana za kidini zimezungumzwa.Kuna dini mungu wao ni useless mpaka apiganiwe
Kuna watu akili hamna kabisa nasi kama hivyo mahekalu Yerusalem yasingebomolewa na wahuni tu na huyo mnayemuita Yesu asipigwa misumari ya nguvu na Makanisa yasingeharibiwa na kuibiwa ,watu wema wasingekufa.Hili nalo linthibitisha allah hayupo ni kitabu tu cha stori kama cha ngoswe penzi kitovu cha uzembe.
Ogopa kitu nimesikia au nadhani ,labda ungekuwa na andiko la kusapoti hapo ingematternilisikiaga ukichana unaungua kumbe uongo bhana ?
Inasikitisha sana haya yapo katika bible ,tokea enzi watu wanampigania Mungu.WAISLAM WANA MUNGU DHAIFU ANAYE WALILIA WAM-DEFEND
MUNGU WA KWELI HATETEWI
Kila mtu yuko tofauti jinsi anavyoreact kutokana na sababu mbalimbali, kuna mwengine ukitukania Wazzi wake ni ugomvi mkubwa ila mwengine anaona kawaida.Ni muda sasa umefika wawaache wafanye watakavyo soon watachoka kuichokonoa dini ya watu. Biblia tele zinachanwa na kuchomwa moto na watu hawapigi kelele mpaka wachanaji wanajiona wajinga
Ulitaka wamkataze??Serikali ya Sweden walimruhusu jamaa
Bahati nzuri mchomaji ni mzaliwa wa kulekule wenye dini yao (IRAQ) na jina ni la dini ileile, sijui ingekuwaje kama angekuwa mzaliwa wa Sweden na mgalatia, nadhani si tu kumuondosha balozi wangevunja na jengo lenyewe walivyopumbazwa na hii dini aliyokuja nayo Muhamad (s.a.w).View attachment 2673379
Salwan Momika, anayesemekana kuwa mzaliwa wa Iraq anayeishi Sweden, alichoma moto nakala Quran mbele ya msikiti mkuu wa Stockholm siku ya Jumatano.
Mataifa ya Mashariki ya Kati yakiwemo Iraq, Iran, Saudi Arabia na Misri yamekosoa vikali uchomaji huo.
Na Uturuki, imesema kuwa ni "kitendo cha kudharau" huku Morocco ikimrudisha nyumbani balozi wake wa nchini Sweeden kufuatia kuchomwa kwa Koran kwenye maandamano mjini Stockholm.
BBC
=====================
Hii inanikumbusha miaka flani msanii wa Ufaransa alichora katuni
Jamaa wakahisi kachorwa "Mo"
Waliwasha moto utafikiri wapo nchini kwao. 😅😅😅😅😅😅 mkiona mnanyanyaswa si mnarudi tu makwenu
Biblia haina mtu anayeitwa Nabii Daudi... Ina MFALME Daudi.Soma Bible vizuri ,Nabii Daudi (Peace be upon him ) kapigana vita nyingi sana na hata ndani ya bible kuna vita nyingi sana za kidini zimezungumzwa.
Angekuwa mimi wangeniua 🤣🤣🤣Bahati nzuri mchomaji ni mzaliwa wa kulekule na ana jina la dini ileile sijui ingekuwaje kama angekuwa mzaliwa wa Sweden na mgalatia nadhani si tu kumuondosha balozi wangevunja na jengo lenyewe walivyopumbazwa na hii dini aliyokuja nayo Muhamad (s.a.w).
Biblia haina mtu anayeitwa Nabii Daudi... Ina MFALME Daudi.
Daudi hajawahi kuwa Nabii...
Hata ukienda Israel kwa wenye Daudi wao, ukawauliza Daudi alikuwa nani, watakwambia alikuwa Mfalme...sio nabii.
Nabii Daudi ni fiction character wa Mohamad aliyeibuliwa juzi karne ya 7
Wakati Mfalme Daudi anakimbizwa na Sauli, Nabii alikuwa NATHANBiblia haina mtu anayeitwa Nabii Daudi... Ina MFALME Daudi.
Mkuu nimependa maoni yako🤭🤭Nchi kadhaa ulimwenguni zimeshutumu tukio la kuchomwa kwa nakala ya Quran nchini Sweeden katika maandamano. Salwan Momika, anayesemekana kuwa mzaliwa wa Iraq anayeishi Sweden, alichoma moto nakala ya Quran mbele ya msikiti mkuu wa Stockholm siku ya Jumatano.
View attachment 2674424
Mataifa ya Mashariki ya Kati yakiwemo Iraq, Iran, U.A.E, Saudi Arabia na Misri yamekosoa vikali uchomaji huo. Na Uturuki, imesema kuwa ni "kitendo cha kudharau" huku Morocco ikimrudisha nyumbani balozi wake wa nchini Sweeden kufuatia kuchomwa kwa Koran kwenye maandamano mjini Stockholm.
Chanzo: BBC Swahili
MAONI YANGU
Kitendo cha kuchomwa moto koran hakijawahi kuripotiwa mahali popote pale hapa duniani. Katika siku za nyuma niliwahi tu kusikia kuwa biblia ilichomwa moto lakini sijawahi kusikia kuhusu korani. Je, tukio hili linaashiria mwisho wa uislamu duniani? Kumbuka korani ni kitabu kitakatifu kilicholetwa na Allah hapa duniani kuukomboa ulimwengu.
Mojawapo ya nchi zilizolaani tukio la kuchomwa moto korani ni serikali ya Dubai (U.A.E). Lakini serikali hii ndiyo imekuja kununua bandari za Tanganyika kupitia kampuni ya kilaghai ya DPW. U.A.E ni serikali ya kiislamu (Islamic Republic) na inayofuata misingi ya kidini inayokataza dhulma na wizi wa rasilimali. Je, mpaka nukta hii bado tuendelee kuuamini uislamu kama dini ya haki?
Nawasilisha.
Una uhakika ,??🤣🤣🤣Lakini ujue Iraq sio nchi ya kiislamu mkuu.
Jamaa achaga uongo ni mudi type 🤣🤣🤣Mchomaji ni Christian refugee from Iraq
ID yako inatosha mjingamimi 🤣🤣🤣hapana sifahamu.nielimishe
🤣🤣🤣🤣👆🏻👆🏻Dini iliyoanza juzi karne ya 5 haiwezi kiwa dini ya asili ya popote pale.
Define DINI.🤣🤣🤣Kwa sababu Uislam ndio dini ya asili. Dini iliyofundishwa na kufuatwa na Mitume yote. Na hakuna dini mbele ya Allah, Muumba wa kila kitu, isipokuwa Uislam. Na anayechagua Dini isiyokuwa ya Uislam haitakubaliwa kwake na akhera atakuwa ni mwenye hasara.
Ukristo sio dini ya asili kutoka kwa Allah, ni dini iliyoundwa tu na watu muda mrefu baada ya Yesu kuondoka, kisha wakamnasibishia nayo.