Hasira baada ya Quran kuchomwa nje ya msikiti Sweden

Hasira baada ya Quran kuchomwa nje ya msikiti Sweden

Watu wana akili na mitazamo ya ile kale chakavu na ya kijima. Yaani Quran ikiandikwa kwenye karatasi na kuwekwa kitabuni halafu ikachanwa eti wanaandamana.
Mbona inavyokuwa unistalled kwenye simu hawaandamani?
Wangepiga marufuku zisiwepo apps za quaran wala zisiandikwe mitandaoni (electronically) sababu huenda watu waka format na hivyo kuwa sawa na kuchana tu.

Una hoja mkuu.
 
Nchi kadhaa ulimwenguni zimeshutumu tukio la kuchomwa kwa nakala ya Quran nchini Sweeden katika maandamano. Salwan Momika, anayesemekana kuwa mzaliwa wa Iraq anayeishi Sweden, alichoma moto nakala ya Quran mbele ya msikiti mkuu wa Stockholm siku ya Jumatano.
1688143041720.png

Mataifa ya Mashariki ya Kati yakiwemo Iraq, Iran, U.A.E, Saudi Arabia na Misri yamekosoa vikali uchomaji huo. Na Uturuki, imesema kuwa ni "kitendo cha kudharau" huku Morocco ikimrudisha nyumbani balozi wake wa nchini Sweeden kufuatia kuchomwa kwa Koran kwenye maandamano mjini Stockholm.

Chanzo: BBC Swahili

MAONI YANGU
Kitendo cha kuchomwa moto koran hakijawahi kuripotiwa mahali popote pale hapa duniani. Katika siku za nyuma niliwahi tu kusikia kuwa biblia ilichomwa moto lakini sijawahi kusikia kuhusu korani. Je, tukio hili linaashiria mwisho wa uislamu duniani? Kumbuka korani ni kitabu kitakatifu kilicholetwa na Allah hapa duniani kuukomboa ulimwengu.

Mojawapo ya nchi zilizolaani tukio la kuchomwa moto korani ni serikali ya Dubai (U.A.E). Lakini serikali hii ndiyo imekuja kununua bandari za Tanganyika kupitia kampuni ya kilaghai ya DPW. U.A.E ni serikali ya kiislamu (Islamic Republic) na inayofuata misingi ya kidini inayokataza dhulma na wizi wa rasilimali. Je, mpaka nukta hii bado tuendelee kuuamini uislamu kama dini ya haki?

Nawasilisha.

 
Nchi kadhaa ulimwenguni zimeshutumu tukio la kuchomwa kwa nakala ya Quran nchini Sweeden katika maandamano. Salwan Momika, anayesemekana kuwa mzaliwa wa Iraq anayeishi Sweden, alichoma moto nakala ya Quran mbele ya msikiti mkuu wa Stockholm siku ya Jumatano.
View attachment 2674424
Mataifa ya Mashariki ya Kati yakiwemo Iraq, Iran, U.A.E, Saudi Arabia na Misri yamekosoa vikali uchomaji huo. Na Uturuki, imesema kuwa ni "kitendo cha kudharau" huku Morocco ikimrudisha nyumbani balozi wake wa nchini Sweeden kufuatia kuchomwa kwa Koran kwenye maandamano mjini Stockholm.

Chanzo: BBC Swahili

MAONI YANGU
Kitendo cha kuchomwa moto koran hakijawahi kuripotiwa mahali popote pale hapa duniani. Katika siku za nyuma niliwahi tu kusikia kuwa biblia ilichomwa moto lakini sijawahi kusikia kuhusu korani. Je, tukio hili linaashiria mwisho wa uislamu duniani? Kumbuka korani ni kitabu kitakatifu kilicholetwa na Allah hapa duniani kuukomboa ulimwengu.

Mojawapo ya nchi zilizolaani tukio la kuchomwa moto korani ni serikali ya Dubai (U.A.E). Lakini serikali hii ndiyo imekuja kununua bandari za Tanganyika kupitia kampuni ya kilaghai ya DPW. U.A.E ni serikali ya kiislamu (Islamic Republic) na inayofuata misingi ya kidini inayokataza dhulma na wizi wa rasilimali. Je, mpaka nukta hii bado tuendelee kuuamini uislamu kama dini ya haki?

Nawasilisha.

Kwanza kabisa Uislamu si dini ya haki.
Dini ya haki inaweza kuwa ni Ubudha kwa mtazamo wangu.

Hizi dini za kiabraham hazitoisha miaka mitano ama kumi mbele maana hakuna process yeyote ya kufundisha watu reality na asili ya ulimwengu, na hata waliopata nafasi ya kusoma hyo asili ambayo imefanyiwa utafiti bado uelewa wao unakuwa umefunikwa na macho ya kiimani.
Mfano mzuri ni nadharia ya evolution.
90% ya watu hawaelewi evolution kwasababu ya imani zao wakidhani kwamba sayansi iko kwa ajili ya kupingana na Mungu.
Watu hufanya makosa kwa kusema kuwa binadamu alitokana na nyani, kitu ambacho sio kama kinavyoelezwa na nadharia hiyo.

Mfano Africa, watu wengi sana hawana elimu juu ya sayansi na sayansi ya anga kwa ujumla na hivyo jibu jepesi zaidi kwao ni lazima liwe Mungu.
Ila right kama wangekuwa na elimu ndogo tu wangeweza kutambua kamba zilizomo katika vitabu vya dini zao.

Kwahyo kuchomwa moto quran sio mwisho wa uislam ulimwenguni.
Lakini tu uislam na dini nyingine zitadhoofika na kuisha taratibu.
Litakuwa zoezi la miaka zaidi ya 1000 ijayo na hiyo itategemea pia tafiti za sayansi zitakapokuwa zimefikia kuhusu jibu la asili ya ulimwengu huu.
 
Back
Top Bottom