Hasira baada ya Quran kuchomwa nje ya msikiti Sweden

Hasira baada ya Quran kuchomwa nje ya msikiti Sweden

KWANZA QURAN YENYEWE IMEANDIKWA NA SHETANI

2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

UNABII WA UFUNUO UNAITA SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
 
Zab 127:1-2.
BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wafanya kazi bure. BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye akesha bure.

Kama kingekua ni kitabu Cha Mungu Mungu Mwenyewe angekilinda.

WAISLAMU ACHENI KUFANYA KAZI BURE KIASI HICHO.
 
View attachment 2673379

Salwan Momika, anayesemekana kuwa mzaliwa wa Iraq anayeishi Sweden, alichoma moto nakala Quran mbele ya msikiti mkuu wa Stockholm siku ya Jumatano.

Mataifa ya Mashariki ya Kati yakiwemo Iraq, Iran, Saudi Arabia na Misri yamekosoa vikali uchomaji huo.

Na Uturuki, imesema kuwa ni "kitendo cha kudharau" huku Morocco ikimrudisha nyumbani balozi wake wa nchini Sweeden kufuatia kuchomwa kwa Koran kwenye maandamano mjini Stockholm.

BBC

=====================
Hii inanikumbusha miaka flani msanii wa Ufaransa alichora katuni
Jamaa wakahisi kachorwa "Mo"
Waliwasha moto utafikiri wapo nchini kwao. 😅😅😅😅😅😅 mkiona mnanyanyaswa si mnarudi tu makwenu
Warudi Kwenye moto maana uarabuni ni moto wa jehanamu na dini ni moto masharti yake kuyatimiza
 
Watu wana akili na mitazamo ya ile kale chakavu na ya kijima. Yaani Quran ikiandikwa kwenye karatasi na kuwekwa kitabuni halafu ikachanwa eti wanaandamana.
Mbona inavyokuwa unistalled kwenye simu hawaandamani?
Wangepiga marufuku zisiwepo apps za quaran wala zisiandikwe mitandaoni (electronically) sababu huenda watu waka format na hivyo kuwa sawa na kuchana tu.
Well presented, akili hiyo hawawezi kuwa nayo, ni takataka tu.
Ukitaka choma biblia, kwani ukichoma makatasi umechoma Imani za watu? Akili mbobu Hawa watu
 
Kuna miaka watu waliaminishwa kuwa ukiifanyia chochote unakufa on the spot au ku undergo chizilization sasa watu wanailipua na hakuna lolote ndo maana wale wahafidhina wanaumia kuona mtu mtu hafi kwa hiyo ile imani juu ya uimara wa kitabu inapungua. Ukifanya hicho kitendo mbele ya wazee wa ki Makua au wazigua wanakutupia makata halafu wanajifichia kwenye imani kwamba umekufa kwa sababu umechana/kuchoma kitabu.
 
Na mnataka uislam uenee huko ili iweje vipi na wakristo wakieneza ukristo nchi za mashariki ya kati mtakubali kirahisi
Kwa sababu Uislam ndio dini ya asili. Dini iliyofundishwa na kufuatwa na Mitume yote. Na hakuna dini mbele ya Allah, Muumba wa kila kitu, isipokuwa Uislam. Na anayechagua Dini isiyokuwa ya Uislam haitakubaliwa kwake na akhera atakuwa ni mwenye hasara.

Ukristo sio dini ya asili kutoka kwa Allah, ni dini iliyoundwa tu na watu muda mrefu baada ya Yesu kuondoka, kisha wakamnasibishia nayo.
 
Kwa sababu Uislam ndio dini ya asili. Dini iliyofundishwa na kufuatwa na Mitume yote. Na hakuna dini mbele ya Allah, Muumba wa kila kitu, isipokuwa Uislam. Na anayechagua Dini isiyokuwa ya Uislam haitakubaliwa kwake na akhera atakuwa ni mwenye hasara.

Ukristo sio dini ya asili kutoka kwa Allah, ni dini iliyoundwa tu na watu muda mrefu baada ya Yesu kuondoka, kisha wakamnasibishia nayo.
Hiyo ni kwenu ninyi hilo wakristo haliwahusu, kwao ukristo ndio dini ya asili na nchi nyingi za magharibi ukristo ndio dominant kama ulivyo uislamu kwa nchi za mashariki ya kati, hivyo wakristo nao lazima wapiganie kueneza dini yao kama nanyi mnavyopigania kueneza yenu kwahiyo msilazimishe dunia nzima ifate mnachotaka ninyi tu
 
Kwa sababu Uislam ndio dini ya asili. Dini iliyofundishwa na kufuatwa na Mitume yote. Na hakuna dini mbele ya Allah, Muumba wa kila kitu, isipokuwa Uislam. Na anayechagua Dini isiyokuwa ya Uislam haitakubaliwa kwake na akhera atakuwa ni mwenye hasara.

Ukristo sio dini ya asili kutoka kwa Allah, ni dini iliyoundwa tu na watu muda mrefu baada ya Yesu kuondoka, kisha wakamnasibishia nayo.
Dini iliyoanza juzi karne ya 5 haiwezi kiwa dini ya asili ya popote pale.
 
Hiyo ni kwenu ninyi hilo wakristo haliwahusu, kwao ukristo ndio dini ya asili na nchi nyingi za magharibi ukristo ndio dominant kama ulivyo uislamu kwa nchi za mashariki ya kati, hivyo wakristo nao lazima wapiganie kueneza dini yao kama nanyi mnavyopigania kueneza yenu kwahiyo msilazimishe dunia nzima ifate mnachotaka ninyi tu
Sio kwetu sisi tu, Uislam ndio kweli hata kama watu wengi wa magharibi hawaufuati, na utaenea tu kote watu warudi katika asili yao. Pili, ukristo katika nchi za magharibi ni dhaifu tofauti na miaka iliyopita na unaendelea kudhoofika. Hakuna hata nchi moja ya magharibi utakayoiita ya kikristo kiukweli hivi sasa. Hivyo sio dominant. Tatu wakristo, hata wakipigania kueneza dini yao, hawatofaulu, sababu ukristo sio ukweli na sisi hatulazimishi watu watufuate tunachotaka sisi, hasha! Bali Uislam ndio ukweli, nasi tunalingania kweli hii na ukweli ndio wenye kushinda mwisho wa siku;

Qur-an 17:81
1688270057320.png

81. Na sema: Kweli imefika, na uwongo umetoweka. Hakika uwongo lazima utoweke!
 
Back
Top Bottom