Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Kwa muktadha wa kuchoma Bible au Quran vitendo na hisia vinakwenda sambambaSijaongelea hisia hapa ila nimeongelea kitendo. So ikitokea mtu amechoma biblia utachukua hatua gani? It means na wewe utachoma Quran?