Hasira ya Mungu imeshuka juu ya LOS ANGELES, inateketea Kama Sodoma Na Gomora

Hasira ya Mungu imeshuka juu ya LOS ANGELES, inateketea Kama Sodoma Na Gomora

Mimi siwatishi Wala nini, Vyombo vya habari vitawadanganya kua Ni Mabadiliko ya Hali ya hewa, Mara Moto usiojulikana chanzo ,mara vile !!.

Usiombe Mungu akasirike alafu akuonyeshe waziwazi kua amekasirika na aamue kukutumia wewe kama mfano.

Los Angeles, Jiji maarufu ambalo Mashoga na wooote wa LGBTQ waliishi huko wakimchukia Mungu Sasa wamefikwa.

Soma Pia: Marekani: Moto Mkali Wateketeza Ekari 3,000 na Kuwafurusha Maelfu ya Watu Los Angeles

Ni Moto ambao Taifa la Marekan Licha ya Ubabe wake, Teknolojia yake isoshikika , Uchumi mkubwa , Jeshi kubwa wameshindwa kuuzima , na wanashindwa Kwa sababu ni Moto ambao sio KAZI ya mwanadamu ni MUNGU.


View attachment 3197895
.
View attachment 3197897
.
View attachment 3197898
Stupidity is also a natural disaster. Dunia ina majanga mengi ya asili, na hili ni mojawapo. Kote huko ni hasira ya Mungu kwa magaidi yanayouliwa Gaza? Wakati mwingine tutumie akili jamani.
 
Mungu Wenu nyie kakaaaa kimichongo chongo tu maigizo kila aina !! utasikia mama anatoa ushuuda mtoto wangu uyu alikuwa yeye bangi yeye mbunye bangi mbunye lkn toka tumefika apa na nilikaaa paleeee uyu mtoto leo mwezi wa pili ataki kusikia bangi wala sigara wala mbunye ataki yeye ndio inaniimiza tufike apa apo sasa utasikia vigelegele sifa apewe yesuuuuuu !!!!! Jamaaaa zetu mnachezea jina la mungu mungu sio zaifu lkn nyinyi mnafanya watu wenye akili wadhani mungu zaifu
 
Wewe kaa na akili zako tuachie ujinga wetu unachoumia ni nini? Mungu hapangiwi acha afanye kazi yake
Kaumia sana mbwembwe zimewaisha kuona marekani inapokea kichapo kutoka kusikojulikana MOTO huu marekani yenyewe imekili aijawai tokea tangu uwepo wa inchi ya marekani!!! Bado awajasema mungu ananguvu kubwa kipondo majengo yanawaka moto mijini!!!@@
 
Misituni kunawaka miji inawaka moto daaaa tumkumbuke mungu tuache shalau
 
Mimi siwatishi Wala nini, Vyombo vya habari vitawadanganya kua Ni Mabadiliko ya Hali ya hewa, Mara Moto usiojulikana chanzo ,mara vile !!.

Usiombe Mungu akasirike alafu akuonyeshe waziwazi kua amekasirika na aamue kukutumia wewe kama mfano.

Los Angeles, Jiji maarufu ambalo Mashoga na wooote wa LGBTQ waliishi huko wakimchukia Mungu Sasa wamefikwa.

Soma Pia: Marekani: Moto Mkali Wateketeza Ekari 3,000 na Kuwafurusha Maelfu ya Watu Los Angeles

Ni Moto ambao Taifa la Marekan Licha ya Ubabe wake, Teknolojia yake isoshikika , Uchumi mkubwa , Jeshi kubwa wameshindwa kuuzima , na wanashindwa Kwa sababu ni Moto ambao sio KAZI ya mwanadamu ni MUNGU.


View attachment 3197895
.
View attachment 3197897
.
View attachment 3197898

Mshana Jr semea hii chini plz
 
mashoga unao wasema wapo sehemu nyingi wao wameshindwa kuthibitisha chanzo basi embu thibitisha kwamba moto huu ni adhabu kali kama usemavyo
 
mashoga unao wasema wapo sehemu nyingi wao wameshindwa kuthibitisha chanzo basi embu thibitisha kwamba moto huu ni adhabu kali kama usemavyo
Imani haithibitiki Kwa akili za kibinadamu, ni suala la Imani na linabakia hivo tu.
 
Kwani mpaka leo hawajauzima tuu usije fika huku kwetu Nanjilinji ukaniunguzia kashamba kangu ka mpunga
 
Mimi siwatishi Wala nini, Vyombo vya habari vitawadanganya kua Ni Mabadiliko ya Hali ya hewa, Mara Moto usiojulikana chanzo ,mara vile !!.

Usiombe Mungu akasirike alafu akuonyeshe waziwazi kua amekasirika na aamue kukutumia wewe kama mfano.

Los Angeles, Jiji maarufu ambalo Mashoga na wooote wa LGBTQ waliishi huko wakimchukia Mungu Sasa wamefikwa.

Soma Pia: Marekani: Moto Mkali Wateketeza Ekari 3,000 na Kuwafurusha Maelfu ya Watu Los Angeles

Ni Moto ambao Taifa la Marekan Licha ya Ubabe wake, Teknolojia yake isoshikika , Uchumi mkubwa , Jeshi kubwa wameshindwa kuuzima , na wanashindwa Kwa sababu ni Moto ambao sio KAZI ya mwanadamu ni MUNGU.


View attachment 3197895
.
View attachment 3197897
.
View attachment 3197898
Mungu gani??
 
casuality rate ni ndogo saana, so si mfano sahihi wa Sodoma na Gomora, na uwezo wao wa kurudi kwenye hali ya kawaida ni mkubwa na kwa haraka, kuliko ingetokea huku kwetu.
Ni kweli ila madhara ni makubwa na makadirio ni mabilioni ya dollars
Ni taifa tajiri ila mipango yao hatuijui
The Simpson walitabiri hawa matukio huwa wanajuaje?
Walitabiri haya ya miaka 20 iliyopita
 
Back
Top Bottom