beefinjector
JF-Expert Member
- Jul 23, 2009
- 2,458
- 2,496
Porojo tu hizo, hamna lolote.Mungu anaenda hatua kwa hatua kama wewe ni shoga au mbadilisha jinsia utafikiwa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Porojo tu hizo, hamna lolote.Mungu anaenda hatua kwa hatua kama wewe ni shoga au mbadilisha jinsia utafikiwa tu.
Ivi mnajua MOTO umeanza upya uko jiji la Los Angeles kinawaka tena walokole mfunge ili MUNGU apunguze kuiyadhibu marekani !!! Itakuweje ikiwa marekani itapukutika!!!!Porojo tu hizo, hamna lolote.
Hata enzi za sodoma na gomora mashoga wenzio walisema hivo hivo kilichowakuta mbona walifurahi.Porojo tu hizo, hamna lolote.
Hizo zote poroja tu, hamna kitu.Hata enzi za sodoma na gomora mashoga wenzio walisema hivo hivo kilichowakuta mbona walifurahi.
Mh! Mbona wewe ndo huna kazi Sasa. MUNGU akusaidieNimeshangaa unapost upuuzi nikadhani hauna kazi
Sio kupenda geography ya eneo usika ile seem kuna kipindi cha Barafu mapukutiko hatari sana watu wanakufa asa walevi wakianguka njian wamekwisha kipindi icho ndio mbao inasamani kuliko chengine chochote!!! Mbao inazuiya nyumba isiwe FRIJI!! unaweza kuganda ndani uko uko!!Wanapenda sana kujenga kwa mbao badala ya tofari. Nyumba ya tofari hata ikiungua kuta zinabaki, inahitaji ukarabati mdogo wa kuondoa moshi.