Hasira yatawala Moscow baada ya NATO kuiruhusu Ukraine kushambulia ndani ya Russia kwa silaha za NATO

Hasira yatawala Moscow baada ya NATO kuiruhusu Ukraine kushambulia ndani ya Russia kwa silaha za NATO

Imeloa

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
14,885
Reaction score
18,083
Urusi imeishutumu Nato na Marekani kwa "kuchochea kiwango kipya cha mvutano" baada ya Marekani na Ujerumani kuwa washirika wa hivi punde kuruhusu jeshi la Ukraine kutumia silaha zinazotolewa na nchi za Magharibi kushambulia maeneo ndani ya Urusi.

Msemaji wa Berlin alisema Ujerumani ina imani kuwa Ukraine ina haki ya kujilinda dhidi ya Urusi, haswa kutokana na mashambulizi ya mpakani kwenye mji wake wa pili kwa ukubwa wa Kharkiv.

Chanzo: BBC
 
Urusi imeishutumu Nato na Marekani kwa "kuchochea kiwango kipya cha mvutano" baada ya Marekani na Ujerumani kuwa washirika wa hivi punde kuruhusu jeshi la Ukraine kutumia silaha zinazotolewa na nchi za Magharibi kushambulia maeneo ndani ya Urusi.

Msemaji wa Berlin alisema Ujerumani ina imani kuwa Ukraine ina haki ya kujilinda dhidi ya Urusi, haswa kutokana na mashambulizi ya mpakani kwenye mji wake wa pili kwa ukubwa wa Kharkiv.

wamekwambia wana hasira
 
Urusi imeishutumu Nato na Marekani kwa "kuchochea kiwango kipya cha mvutano" baada ya Marekani na Ujerumani kuwa washirika wa hivi punde kuruhusu jeshi la Ukraine kutumia silaha zinazotolewa na nchi za Magharibi kushambulia maeneo ndani ya Urusi.

Msemaji wa Berlin alisema Ujerumani ina imani kuwa Ukraine ina haki ya kujilinda dhidi ya Urusi, haswa kutokana na mashambulizi ya mpakani kwenye mji wake wa pili kwa ukubwa wa Kharkiv.

Ni vyema na haki kwa Ukraine kupewa ruhusa hiyo.
Ukraine kwenye Vita hii imechokozwa, haijaanzisha Vita hii.


"If you undermine our security we undermine yours too, and if you kill our people, we kill yours too. So, the choice is yours."

Osama bin Laden told CIA and the U.S.A Government in response to 'September Eleven' airplane attacks outcry from the U.S.A side.
 
Hizi ni hatua za kijinga kabisa! Lengo la nchi za NATO ni kutaka Russia na Ukraine ziangamizane kabisa huku nchi hizo zikishangilia.
Hizo silaha hazitabadili cho chote kwenye uwanja wa Vita bali kurefusha mgogoro na kusababisha maafa makubwa kwa Russia na Ukraine.
Niseme tu US na EU zinahitaji mabadiliko ya utawala!
 
Hakuna namna inaonekana Rusia anawatishie NATO kuwa atawapiga kwa nuklia, sasa anatumia Mkwara wa nyuklia kuidhoofisha NATO na wakati na wao wana nyuklia.
 
Hakuna namna inaonekana Rusia anawatishie NATO kuwa atawapiga kwa nuklia, sasa anatumia Mkwara wa nyuklia kuidhoofisha NATO na wakati na wao wana nyuklia.
Pale nato ni ufaransa uingereza na kubwa la maadui USA, ndiyo wenye nyuklia hawa wengine vibaraka tu hawana nyuklia
Halafu mimi huwa namsikitikia sana Poland siku kikinuka kabla hayajatua Berlin au pale Paris, Poland itakuwa ni majivu
 
NATO walipanga bajeti ya kuisaidia Ukraine kwa takribani miaka mitano, mwanzoni wakasema wanaisaidia Ukraine ili wajilinde tu na sio kushambulia.

Kwa sasa wanatoa silaha za mashambulizi ili Ukraine ashambulie ndani ya ardhi ya Russia. Hii inatupa picha kwamba kuna namna wameshamuweza Russia ndo maana wanamchokonoa wanavyotaka ili Russia aingie kwenye 18 mazima.

Nlichogundua ni kwamba, nchi za Magharibi wanafanya mambo yao kwa akili nyingi sana, jamaa wanaitazama 2070 wakiwa leo 2024. Kila move wanayopiga hawa jamaa hawaipigi kwa bahati mbaya.
 
Pale nato ni ufaransa uingereza na kubwa la maadui USA, ndiyo wenye nyuklia hawa wengine vibaraka tu hawana nyuklia
Halafu mimi huwa namsikitikia sana Poland siku kikinuka kabla hayajatua Berlin au pale Paris, Poland itakuwa ni majivu
Kama wewe msukuma wa bariadi huko maswa umewaza na kuyaona haya, je sembuse serikali nzima ya Poland.

NATO yote haijajidhatiti hapo Poland ili kupalinda?
 
Kama wewe msukuma wa bariadi huko maswa umewaza na kuyaona haya, je sembuse serikali nzima ya Poland.

NATO yote haijajidhatiti hapo Poland ili kupalinda wameshindwa kulinda makombora aina ya kinzhail je wataweza kulinda makombora aina ya bulava sstan
 
Watu washachanganyikiwi tena na hawaogopi tena kufa. Kwa iyo jinsi unavyozidi kuwa kauzu wenzako wanazidi kuwa vichaaa zaidi
Wakati Ukraine watu wanatekwa na kuvishwa magwanda Kisha kulazimishwa kwenda mstari wa mbele
 
NATO walipanga bajeti ya kuisaidia Ukraine kwa takribani miaka mitano, mwanzoni wakasema wanaisaidia Ukraine ili wajilinde tu na sio kushambulia.

Kwa sasa wanatoa silaha za mashambulizi ili Ukraine ashambulie ndani ya ardhi ya Russia. Hii inatupa picha kwamba kuna namna wameshamuweza Russia ndo maana wanamchokonoa wanavyotaka ili Russia aingie kwenye 18 mazima.

Nlichogundua ni kwamba, nchi za Magharibi wanafanya mambo yao kwa akili nyingi sana, jamaa wanaitazama 2070 wakiwa leo 2024. Kila move wanayopiga hawa jamaa hawaipigi kwa bahati mbaya.
nadhani unawa-overestimate sana nato mkuu,
hao ni watu wenye akili za kawaida kama mimi na wewe, tofauti tu ni kwamba wao wako nchi hizo na sisi huku tunaongozwa na wagonjwa, thats all.....

nirudi kwenye hoja yako,
nato walianza kujiandaa na hii vita toka 2014 (au kabla ya hapo), ndio maana kwa kuanzia wakampindua raisi pro russia wa ukraine mwaka 2014.... reaction ya fadta ya putin ikawa kuichukua crimea (fuatilia umuhimu wa crimea strategically kwa russia)

wakaanza kutrain jeshi la ukraine toka hapo, wakapeleka vifaa vingi vya kisawa n.k.... (rejea trip za senetors wa US kule kiev)

kwahio, wakati hii vita inaanza mwaka juzi, nato walikua na uhakika ukraine atawasumbua warusi, maana walipeleka pia mercenaries wa kutosha, lkn matokeo yake ndio hivyo, alipigwa na vifaa vyote alivyopewa vikateketezwa......

ndipo wakaanza kutoa msaada wa silaha, ambazo nazo zinateketezwa kila siku....... mpk leo tuko hapa wanazidi kuchapwa,

kwaio hii ya leo sio mpya, bahati mbaya hapa atakayeumia zaidi ni ukraine, maana urusi ataanza kuwafukuza mbali na mipaka yake, usishangae kusikia kiev haikaliki ndani ya miez kadhaa ijayo.......

muhimu, tuwaombee wafanya maamuzi akili ziwarudi, maana wanakoelekea zitapigwa kavu kavu
 
NATO walipanga bajeti ya kuisaidia Ukraine kwa takribani miaka mitano, mwanzoni wakasema wanaisaidia Ukraine ili wajilinde tu na sio kushambulia.

Kwa sasa wanatoa silaha za mashambulizi ili Ukraine ashambulie ndani ya ardhi ya Russia. Hii inatupa picha kwamba kuna namna wameshamuweza Russia ndo maana wanamchokonoa wanavyotaka ili Russia aingie kwenye 18 mazima.

Nlichogundua ni kwamba, nchi za Magharibi wanafanya mambo yao kwa akili nyingi sana, jamaa wanaitazama 2070 wakiwa leo 2024. Kila move wanayopiga hawa jamaa hawaipigi kwa bahati mbaya.
Kupata vichekesho kama hivi Tuma meseji VICHEKESHO kwenda 1556
 
Back
Top Bottom