NATO walipanga bajeti ya kuisaidia Ukraine kwa takribani miaka mitano, mwanzoni wakasema wanaisaidia Ukraine ili wajilinde tu na sio kushambulia.
Kwa sasa wanatoa silaha za mashambulizi ili Ukraine ashambulie ndani ya ardhi ya Russia. Hii inatupa picha kwamba kuna namna wameshamuweza Russia ndo maana wanamchokonoa wanavyotaka ili Russia aingie kwenye 18 mazima.
Nlichogundua ni kwamba, nchi za Magharibi wanafanya mambo yao kwa akili nyingi sana, jamaa wanaitazama 2070 wakiwa leo 2024. Kila move wanayopiga hawa jamaa hawaipigi kwa bahati mbaya.
nadhani unawa-overestimate sana nato mkuu,
hao ni watu wenye akili za kawaida kama mimi na wewe, tofauti tu ni kwamba wao wako nchi hizo na sisi huku tunaongozwa na wagonjwa, thats all.....
nirudi kwenye hoja yako,
nato walianza kujiandaa na hii vita toka 2014 (au kabla ya hapo), ndio maana kwa kuanzia wakampindua raisi pro russia wa ukraine mwaka 2014.... reaction ya fadta ya putin ikawa kuichukua crimea (fuatilia umuhimu wa crimea strategically kwa russia)
wakaanza kutrain jeshi la ukraine toka hapo, wakapeleka vifaa vingi vya kisawa n.k.... (rejea trip za senetors wa US kule kiev)
kwahio, wakati hii vita inaanza mwaka juzi, nato walikua na uhakika ukraine atawasumbua warusi, maana walipeleka pia mercenaries wa kutosha, lkn matokeo yake ndio hivyo, alipigwa na vifaa vyote alivyopewa vikateketezwa......
ndipo wakaanza kutoa msaada wa silaha, ambazo nazo zinateketezwa kila siku....... mpk leo tuko hapa wanazidi kuchapwa,
kwaio hii ya leo sio mpya, bahati mbaya hapa atakayeumia zaidi ni ukraine, maana urusi ataanza kuwafukuza mbali na mipaka yake, usishangae kusikia kiev haikaliki ndani ya miez kadhaa ijayo.......
muhimu, tuwaombee wafanya maamuzi akili ziwarudi, maana wanakoelekea zitapigwa kavu kavu