NgerukeAbra
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 1,336
- 2,008
Naomba hiyo vita ya NATO na Urusi isitokee hadi nifike ulaya...maana naona Africa maisha yatakuwa magumu sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa, silaha walizokuwa wanapewa hawakuruhusiwa kushambulia ndani ya Urusi ila zile wanazotengeneza wenyewe Ukraine ndio zilikuwa zikihusika kushambulia baadhi ya sehemu kama Crimea na BelgorodIna mana miaka yote hii ya vita Ukraine hawakuwa na mpango wa kuingia urusi kwa sababu hawakuruhusiwa na hao nato?
Angalau wewe una akiliNaomba hiyo vita ya NATO na Urusi isitokee hadi nifike ulaya...maana naona Africa maisha yatakuwa magumu sana!
Wow!![]()
Germany says Ukraine can use its weapons to strike Russian territory
Several NATO countries have relaxed their boundaries on Ukraine's use of their military hardware – but some are still not budging. #EuropeNewswww.euronews.com
https://www.google.com/amp/s/www.cbc.ca/amp/1.7219526
NATO’s boss wants to free Ukraine to strike hard inside Russia
Hata Russia pia hali ipo hivyo.Wakati Ukraine watu wanatekwa na kuvishwa magwanda Kisha kulazimishwa kwenda mstari wa mbele
Ukraine na Russia hakuna aliyetayari kuzungumza kwa sasa, hivyo vita vitaendelea tu.Hizi ni hatua za kijinga kabisa! Lengo la nchi za NATO ni kutaka Russia na Ukraine ziangamizane kabisa huku nchi hizo zikishangilia.
Hizo silaha hazitabadili cho chote kwenye uwanja wa Vita bali kurefusha mgogoro na kusababisha maafa makubwa kwa Russia na Ukraine.
Niseme tu US na EU zinahitaji mabadiliko ya utawala!
Hawakuruhusiwa kutumia silaha za nato kushambulia ndani ya urusiIna mana miaka yote hii ya vita Ukraine hawakuwa na mpango wa kuingia urusi kwa sababu hawakuruhusiwa na hao nato?
jitie uchiziIna mana miaka yote hii ya vita Ukraine hawakuwa na mpango wa kuingia urusi kwa sababu hawakuruhusiwa na hao nato?
Uchizi kivipi. Niliuliza kitu ambacho nilikuwa sikijui na nimejibiwa tayari na wanaojujitie uchizi
Una underline jibu ama ni swali ?Ina mana miaka yote hii ya vita Ukraine hawakuwa na mpango wa kuingia urusi kwa sababu hawakuruhusiwa na hao nato?
Ni sawa kabisa ila shida ni kwamba hizo nguvu ndio hana sasa ka nchi kadogo hivyo mwaka wa tatu bado unajikanyaga tu. Russia ni nyuki wa mashineni tu hana lolote.Nadhani Urusi inatakiwa kuonyesha nguvu zake sasa Choma Ukraine kutoka Angle zote ikalie kabisa halafu tuanzie hapo mjadala
Ujerumani ya zamani inarudi kwa kasi sana baada ya kuitawala ulayaUrusi imeishutumu Nato na Marekani kwa "kuchochea kiwango kipya cha mvutano" baada ya Marekani na Ujerumani kuwa washirika wa hivi punde kuruhusu jeshi la Ukraine kutumia silaha zinazotolewa na nchi za Magharibi kushambulia maeneo ndani ya Urusi.
Msemaji wa Berlin alisema Ujerumani ina imani kuwa Ukraine ina haki ya kujilinda dhidi ya Urusi, haswa kutokana na mashambulizi ya mpakani kwenye mji wake wa pili kwa ukubwa wa Kharkiv.
Chanzo: BBC
USA na washirika wake miaka 20 AfghanistanNi sawa kabisa ila shida ni kwamba hizo nguvu ndio hana sasa ka nchi kadogo hivyo mwaka wa tatu bado unajikanyaga tu. Russia ni nyuki wa mashineni tu hana lolote.