Hasira yatawala Moscow baada ya NATO kuiruhusu Ukraine kushambulia ndani ya Russia kwa silaha za NATO

Ukraine na Russia hakuna aliyetayari kuzungumza kwa sasa, hivyo vita vitaendelea tu.
 
Right to self defence ukivamia nchi ya watu, aliyevamiwa ana haki ya kujilinda na kujibu mashambulizi hata kukufuata hadi ulipotoka unakopanga mashambulizi kama tulivyomfuata Idd Amin Uganda au Israel ilivyoingia Gaza, na ni sahihi watoa msaada wa silaha kwa Ukraine kuondoa masharti ya kuzuia Ukraine kujibu hadi Urusi. Lazma warusi waonje ladha ya kukubali kuongozwa na Rais mwehu na muuaji kama Putin.
 
Nadhani Urusi inatakiwa kuonyesha nguvu zake sasa Choma Ukraine kutoka Angle zote ikalie kabisa halafu tuanzie hapo mjadala
 
Ujerumani ya zamani inarudi kwa kasi sana baada ya kuitawala ulaya
 
Ni sawa kabisa ila shida ni kwamba hizo nguvu ndio hana sasa ka nchi kadogo hivyo mwaka wa tatu bado unajikanyaga tu. Russia ni nyuki wa mashineni tu hana lolote.
USA na washirika wake miaka 20 Afghanistan
Wachunga mbuzi wa kitaliban waliwatoa kamasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…