Hasira za Gen Z ya Kenya; Chanzo Chake ni Umaskini Uliotopea

Hasira za Gen Z ya Kenya; Chanzo Chake ni Umaskini Uliotopea

Kenya mpaka uwe na hali ya ahueni aisee lazima umepigika mno, Kenya kukuta vijana ni matajiri au viongozi wa ngazi za juu serikalini au kwenye organizations ni ngumu sana, Tanzania ukienda maeneo ya Iringa kule matajiri wengi sana ni vijana wadogo from early 20s wamepata pesa kwenye miti, avocado's etc

Ukienda kanda ya ziwa vijana wengi sana ni matajiri wamepata pesa kwenye madini, uvuvi, wtc

Ukienda kaskazini utakutana na vijana wengi wanamiliki expedition companies na tour operators wametajirika ni vijana wadogo yaani kila eneo Tanzania kuna fursa ya mtu yeyote kufamikiwa tofauti na monopolised Kenya, waliofanikiwa ndio wataendelea kufanikiwa na maskini wanazidi kua fukara.
Kama hicho ni kigezo sasa Tanzania ni tajiri kupita US wingereza ujerumani kwasbb kule kijana mdogo labda urithi tu sio raisi kutajirika mpaka ufanye juhudi sanaa tena kwa mda,.......ni uongo tanzania vijana wenye pesa unazo ongelea hata .01% haifiki, vijana wengi Tanzania ni masikini wasio kua na akili elimu pamoja na mitaji, acha kuongelea mtu moja, taja kijana yoyote Tanzania mwenye utajiri katika ngazi za kitaifa,
 
Katika nchi maskini duniani LDC kwa Africa Mashariki, ni Kenya tu ndio haipo.
Hapa hatungelei kwa criteria ya GDP bali Income Redistribution. Kenya wana GDP kubwa kuliko nchi zote za East Africa. Lakini 40% ya uchumi huo uko kwenye familia 10 zile ambazo baadhi nimezitaja kwenye post yangu. Wakenya wengine wote ndiyo wanahangaika ma hiyo 60% ya kilichobakia.
 
Kama hicho ni kigezo sasa Tanzania ni tajiri kupita US wingereza ujerumani kwasbb kule kijana mdogo labda urithi tu sio raisi kutajirika mpaka ufanye juhudi sanaa tena kwa mda,.......ni uongo tanzania vijana wenye pesa unazo ongelea hata .01% haifiki, vijana wengi Tanzania ni masikini wasio kua na akili elimu pamoja na mitaji, acha kuongelea mtu moja, taja kijana yoyote Tanzania mwenye utajiri katika ngazi za kitaifa,
Je unazo takwimu? Au umaskini wako unadhani ni wa wote. Jishughulishe acha kulialia sebuleni kwa shemeji
 
Tembelea Kenya ujionee.
Unajua kwa nini iko hivi? Hii ni sababu ya ARDHI TU. Kenya ardhi ni ya mtu, mali yake, lakini TZ ardhi ni ya umaa. Hivyo lazima ujue ukiwa na ardhi hata kama ni ya umiliki wa hati, umiliki ya miaka 33, 66 au hata 99 inaonekana ardhi hiyo ni yako. Hivyo utaitumia kwa kilimo na kukuwezesha kupata kipato cha kutosheleza familia. Kenya ardhi walishauziana siku nyingi, hivyo kama babu ya babu yako hakuwa na ardhi yake mwenyewe basi wewe hautakuwa na ardhi asilani abadani na utaishia kuwa kibarua tuu. Ndio maana namheshimu Mwl. JKN kwa kuweka ardhi iwe ya Wananchi, kwa maana ARDHI NI MALI YA UMMA, maana hata BABU yangu hajasoma anamiliki ardhi kwa niaba ya Serikali. JKN hana wa kulinganisha naye.
 
Tanzania vijana hata kusimama hawawezi wengi wamepindua bakuli wameamua kuwa waseng# ..
Mkuu umeona maandamano yanavyougwa mkono na matajiri na watu maarufu rudi kafanye utafiti umasikini uliopo Tanzania ni wa kukosa chakula hakuna mtu ataandamana jioni alale njaa..
Tanzania vijana wengi wanatafuta chakula
 
Hoja ya mleta mada ina mashiko. Ni kweli Kenya maisha ni tough. Sijajua vijana wanaishi vipi na kupata vipi maisha ya kila siku. Kenya ni ubepari hasa. Hizo slams mjini ni kiashiria maisha si lelemama. Ni vile tu wakenya vijana wanajua kuvaa.

Kwa Tanzania sijaona slum mjini. Huko Tandale, Manzese, n.k bado kuzuri sana. Tena kuna lami na drainage. Ni baadhi tu ya maeneo, tena ambayo wananchi wanafosi kuishi.

Kwa maisha ya kijijini ni kweli hali ni tete ila watu wanamiliki mashamba. Wanaweza kulima na kujilisha. Nimepita Dodoma kwenda Bukoba. Yani Kanda ya ziwa huko watu wana vyakula sana. Wana mifugo pia. Ni suala la serikali kuboresha tu miundombinu.

Kuna kaukweli fulani kwamba wakenya hawana cha kupoteza. Wana hasira dhidi ya mifumo ya kinyonyaji.

Ila sasa serikali iliyopo isitake nayo tufike huko maana itafika siku mtu atahitaji ardhi na kukuta karibu yote iko chini ya mabeberu
 
Kenya mpaka uwe na hali ya ahueni aisee lazima umepigika mno, Kenya kukuta vijana ni matajiri au viongozi wa ngazi za juu serikalini au kwenye organizations ni ngumu sana, Tanzania ukienda maeneo ya Iringa kule matajiri wengi sana ni vijana wadogo from early 20s wamepata pesa kwenye miti, avocado's etc

Ukienda kanda ya ziwa vijana wengi sana ni matajiri wamepata pesa kwenye madini, uvuvi, wtc

Ukienda kaskazini utakutana na vijana wengi wanamiliki expedition companies na tour operators wametajirika ni vijana wadogo yaani kila eneo Tanzania kuna fursa ya mtu yeyote kufamikiwa tofauti na monopolised Kenya, waliofanikiwa ndio wataendelea kufanikiwa na maskini wanazidi kua fukara.
Acha kuongea nadharia umasikini Tanzania ni wakutisha
 
Tanzania vijana hata kusimama hawawezi wengi wamepindua bakuli wameamua kuwa waseng# ..
Mkuu umeona maandamano yanavyougwa mkono na matajiri na watu maarufu rudi kafanye utafiti umasikini uliopo Tanzania ni wa kukosa chakula hakuna mtu ataandamana jioni alale njaa..
Tanzania vijana wengi wanatafuta chakula
Ni kweli tupu
 
Hoja ya mleta mada ina mashiko. Ni kweli Kenya maisha ni tough. Sijajua vijana wanaishi vipi na kupata vipi maisha ya kila siku. Kenya ni ubepari hasa. Hizo slams mjini ni kiashiria maisha si lelemama. Ni vile tu wakenya vijana wanajua kuvaa.

Kwa Tanzania sijaona slum mjini. Huko Tandale, Manzese, n.k bado kuzuri sana. Tena kuna lami na drainage. Ni baadhi tu ya maeneo, tena ambayo wananchi wanafosi kuishi.

Kwa maisha ya kijijini ni kweli hali ni tete ila watu wanamiliki mashamba. Wanaweza kulima na kujilisha. Nimepita Dodoma kwenda Bukoba. Yani Kanda ya ziwa huko watu wana vyakula sana. Wana mifugo pia. Ni suala la serikali kuboresha tu miundombinu.

Kuna kaukweli fulani kwamba wakenya hawana cha kupoteza. Wana hasira dhidi ya mifumo ya kinyonyaji.

Ila sasa serikali iliyopo isitake nayo tufike huko maana itafika siku mtu atahitaji ardhi na kukuta karibu yote iko chini ya mabeberu
Mkuu nashukuru umenielewa.
 
Back
Top Bottom