Hasira za Gen Z ya Kenya; Chanzo Chake ni Umaskini Uliotopea

Hasira za Gen Z ya Kenya; Chanzo Chake ni Umaskini Uliotopea

Takwimu gani umeweka. Umasikini uliopo Tanzania hasa maeneo ya Vijijini ni wakutisha.
Tatizo umelinganisha Nairobi slums na rural Tanzania. Mimi nili zeroin kwenye Nairobi, so ingekuwa fair kama ungefanya comparison na Dar es Salaam.

Je unaweza kulinganisha Kibera na Buguruni au Mburahati? Au kufananisha Mathare na Vingunguti na Manzese
 
Sasa uwezeshwaji upo kwenye kilimo? Kwa hiyo watu watumie jembe la mkono ndio awe tajiri?
Bro yule pale Bakhressa alianza na kushona viatu, akaja akafungua hotel Nawaz pale Gerezani na Azam pale Kariakoo. Kisha akaenda kwenye mabakery, ice cream, kusindika unga, Television Station nk.

Waafrika tunafeli kwenye NIDHAMU ya fedha
 
Weka data... Ubora wa afya mfano unapimwa na life expectancy... Sasa pima kati ya Tanzania na kenya wapi wapo juu!?

Halafu upitie economic journals ni kwanini Nigeria imekataa kuwapa ithibati watu waliopata degree kutoa vyuo vya kenya!?
Nchi zenye system bora ya Afya Kenya ipo vizuri Afrika, Elimu pia inatuzidi roads network inatuzidi. Hilo waulize Nigeria wenyewe mbona hapo Tanzania ukisoma Kenya unatambulika vizuri. Mfano Neurosurgery inatolewa Nairobi University tuu kwenye huu ukanda wetu wa Afrika Mashariki.
 
Bro yule pale Bakhressa alianza na kushona viatu, akaja akafungua hotel Nawaz pale Gerezani na Azam pale Kariakoo. Kisha akaenda kwenye mabakery, ice cream, kusindika unga, Television Station nk.

Waafrika tunafeli kwenye NIDHAMU ya fedha
Ulikuwepo na ulimuona mafanikio ya mtu ni siri hawezi kueleza acha kuokoteza maneno ya barabarani.
 
Usichukue slum kama kigezo tuu cha kutathmini umaskini, je Watanzania wengapi hapa Dar hawana hata pa kulala wanalala barabarani na kwenye vituo vya mabus.

West Pokot ni kwa kukame lakini maisha ya watu yana nafuu kuliko baadhi ya vijini hapa Tanzania.
Hao homeless wapo hata USA. Huwezi kuiponda New York kwa sababu ya street hooligans and homeless.

Kuna vituo vya kulelea wakoma na wazee kule Berega na Sukamahela lakini wazee wanakimbia vituoni
 
Takwimu haitolewi hivyo kwa maneno ya kuokoteza tuu. Mheshimiwa Mpango alipokuwa Waziri wa Fedha alikiri wazi kuwa pamoja na Tanzania kuingia uchumi wa kati bado vijijini kuna umasikini wa kutisha sana.
Sasa unaleta mambo ya Mpango anayetengeneza ripoti ya ku address bunge unataka na humu watu watengeneze presentation?
 
Hao homeless wapo hata USA. Huwezi kuiponda New York kwa sababu ya street hooligans and homeless.

Kuna vituo vya kulelea wakoma na wazee kule Berega na Sukamahela lakini wazee wanakimbia vituoni
Jiulize kwa nini wana kimbia ? Na wengine si ndio wapo huko Kenya wanaomba barabarani alafu mnasema eti sisi ni matajiri
 
Nchi zenye system bora ya Afya Kenya ipo vizuri Afrika, Elimu pia inatuzidi roads network inatuzidi. Hilo waulize Nigeria wenyewe mbona hapo Tanzania ukisoma Kenya unatambulika vizuri. Mfano Neurosurgery inatolewa Nairobi University tuu kwenye huu ukanda wetu wa Afrika Mashariki.

Hayo ni maneno matupu.. Nimekwambia kati ya kenya na Tanzania wapi kuna life expectancy kubwa?

Unachanganya na road network huko huko...sasa...piga hesabu Kenya nzima ina square metres ngapi na Tanzania ina square metres ngapi... Piga hesabu muunganisho wa lami mkoa hadi mkoa.. Wilaya hadi wilaya... Halafu utoe majibu ni wapi watakuwa na road network kubwa kuliko mwenzake.
 
Hayo ni maneno matupu.. Nimekwambia kati ya kenya na Tanzania wapi kuna life expectancy kubwa?

Unachanganya na road network huko huko...sasa...piga hesabu Kenya nzima ina square metres ngapi na Tanzania ina square metres ngapi... Piga hesabu muunganisho wa lami mkoa hadi mkoa.. Wilaya hadi wilaya... Halafu utoe majibu ni wapi watakuwa na road network kubwa kuliko mwenzake.
Tatizo wewe husomi na kama haya ni maneno matupu ya kanushe na ushahidi wa takwimu
 
Slums ipo kwenye majiji yote makubwa yenye population density kubwa kama Nigeria ipo Makoko Slum pia Johannesburg slums ipo pia. Lakini maisha ya watu wanaoishi kule yana nafuu kuliko wanaoishi Manzese, Mbagala na kwingineko. Mathare kule wapo wasomi wengi tuu.
Naomba utuombe radhi Watanzania. Manzese na Mbagala ni classic. Mkuu huelewi unachoandika. Hapa nitakupa top 10 biggest slums in Africa.

Screenshot_20240627_221110_Google.jpg
 
Tatizo wewe husomi na kama haya ni maneno matupu ya kanushe na ushahidi wa takwimu

Nimekwambia weka data hata life expectancy ya kenya na Tanzania iko vipi?

Halafu hiyo road network ya Miundombinu Yote ya usafiri leta eneo la Kenya na Tanzania tufanye ulinganisho.. Tuone kila mkoa na kila wilaya muunganiko wa lami.. Halafu tutajua wapi wako na lami ndefu wewe umesema kenya wako vizuri zaidi sasa leta data za kenya
 
Slums ipo kwenye majiji yote makubwa yenye population density kubwa kama Nigeria ipo Makoko Slum pia Johannesburg slums ipo pia. Lakini maisha ya watu wanaoishi kule yana nafuu kuliko wanaoishi Manzese, Mbagala na kwingineko. Mathare kule wapo wasomi wengi tuu.
Naomba utuombe radhi Watanzania. Manzese na Mbagala ni classic. Mkuu huelewi unachoandika. Hapa nitakupa top 10 biggest slums in Africa.

View attachment 3027819View attachment 3027819
 
Ulikuwepo na ulimuona mafanikio ya mtu ni siri hawezi kueleza acha kuokoteza maneno ya barabarani.
Kama wewe umekuja juzi kutoka Kantalamba au Mpitimbi, mimi niko Dar wa Salaam toka 1979. Ukinibishia data kuhusu utajiri wa Bakhresa basi wewe ubishi ni kipaji chako.
 
Kama ni umasikini Tanzania ndo ingekua ya kwanza kuandamana, wewe angalia wadamanaji vijana wameva vizuri hata kupita waalimu wa Tanzania,
Sasa wewe walimu wameingiaje hapo? Walimu ni wazalendo wenye uchungu na nchi yao. Wanapenda namna hii ya maisha maana ndio yanawapa furaha.

Mwenye uzi anasema wakenya wengi wanaishi chini ya dola moja kwa siku..... Je ni watanzania wote tunaishi juu ya dola moja kw siku?
Umewahi fuatilia maisha ya Che Guavara? Alikuwa masikini? Wenzetu bei ya mkate ukipanda nao wa napanda nayo mtaani kwa ma bango. Sisi bado tunaweza kuvumilia hali tuliyomo.
 
Kama wewe umekuja juzi kutoka Kantalamba au Mpitimbi, mimi niko Dar wa Salaam toka 1979. Ukinibishia data kuhusu utajiri wa Bakhresa basi wewe ubishi ni kipaji chako.
Wacha kujifanya una wajua watu, mafanikio ya mtu ni siri yake hayo unayo yaona yanweza kuwa ni asilimia 50 tuu
 
Sasa wewe walimu wameingiaje hapo? Walimu ni wazalendo wenye uchungu na nchi yao. Wanapenda namna hii ya maisha maana ndio yanawapa furaha.

Mwenye uzi anasema wakenya wengi wanaishi chini ya dola moja kwa siku..... Je ni watanzania wote tunaishi juu ya dola moja kw siku?
Umewahi fuatilia maisha ya Che Guavara? Alikuwa masikini? Wenzetu bei ya mkate ukipanda nao wa napanda nayo mtaani kwa ma bango. Sisi bado tunaweza kuvumilia hali tuliyomo.
Umeiweka vizuri
 
Wewe bibi na babu zako kule Nanjilinji jembe la mkono limewafikisha wapi wakati wana kula mlo mmoja na kukaa kwenye nyumbaya nyasi
Wameweza kunisomesha na nimepata elimu ya shahada ya uzamili
 
Back
Top Bottom