Na kwa tabia za Manara simuoni akifanya kazi chini ya Taji Liundi.Kamati ya maadili imewarahishia sana Yanga kumwondoa kwenye mfumo wao bila lawama.Hata Manara kazi yake imeisha atapigwa vita ya kisayansi aondoke sababu ni uncontrollable risk.
Heheheyanga mtajizika kwenye yale makaburi kwenye jezi zenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi nasubiri nimsikie Msola kama ana lolote la kusema.
Au labda tumtafute popote alipo tumwambie "kama una la kusema sema sasa au ukae kimya milele".
Wako tayari dea, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yajayo yanafurahisha je mko tayari?
Mbna umekuwa mpoleeeee ghaflaaaa shougaaa ang?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata ungekuwa ni wewe ukapewa urais wa kitu chochote muda huu! Ungefanya tu mabadiliko, ili kuunda timu yako unayo ikubali zaidi. Hivyo hata ikitokea akatafutwa mchawi, bado hatapatikana.
Na bahati mbaya hivyo vyeo vyote ni vya kuteuliwa! Vingekiwa ni vyeo vya kuchaguliwa, labda tungesema kuna walakini. Hata wakina Dismas Ten waliondolewa Yanga, siyo kwa sababu walikuwa hawafai! La hasha. Ni kwa sababu iliingia serikali mpya ya akina Mshindo Msolla.