Hassan Mwakinyo amchana Haji Manara vibaya sana

Hassan Mwakinyo amchana Haji Manara vibaya sana

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Dah huyu Mwakinyo.

====



"Kuna mtu ninayemuheshimu aliongea maneno mabaya sana kwangu, nilisema Mwenyezi Mungu anipe ujasiri ili nisiseme maneno mabaya kwasababu yeye ni mtu anayesifika kwa maneno mabaya, lakini hawezi kuwa na maneno mabaya kuliko sisi watu wa uswahilini na wa pwani, kuna wakati inabidi unanyamaze ili heshima iendelee.

"Ni mtu ambae hajui chochote kwenye ngumi. Huwezi kuwa umekwenda honeymoon na mke wako ukamzungushe kwenye bembea na kumnunulia iPhone, hajafata hayo. Kama huna magongo usijitie shughuli kuoa watoto wadogo."
 
Masikini Manara 😭😭 Ila wanaume mna tabu sana. Mkishatafuta hela bado mnatakiwa mtafute na vingine ili wanawake watulie. Poleni. Cha msingi usijibebeshe mzigo wa kutaka kumridhisha mwanamke. Ikiwezekana KATAENI NDOA. Mtanishukuru mbinguni.
 
Masikini Manara 😭😭 Ila wanaume mna tabu sana. Mkishatafuta hela bado mnatakiwa mtafute na vingine ili wanawake watulie. Poleni. Cha msingi usijibebeshe mzigo wa kutaka kumridhisha mwanamke. Ikiwezekana KATAENI NDOA. Mtanishukuru mbinguni.
 
Masikini Manara [emoji24][emoji24] Ila wanaume mna tabu sana. Mkishatafuta hela bado mnatakiwa mtafute na vingine ili wanawake watulie. Poleni. Cha msingi usijibebeshe mzigo wa kutaka kumridhisha mwanamke. Ikiwezekana KATAENI NDOA. Mtanishukuru mbinguni.
Ningekutukana bonge la tusi
 
Daaaah...... Huyu Mwakinyo.
View attachment 2568820
Usikute walishakubaliana wote namna ya kutoka kwa kiki, hii ni Tanzania [emoji4]

Sawa na Wapumbavu wanaokazaga mafuvu kuchukiana wao kwa wao kisa siasa kumbe wahusika wenyewe wakitoka tu nnje ya uwanja hugongeana 5 na kushea kabisa bilauri za vinywaji mbali mbali [emoji28]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Awali nilidhani lile pambano la maneno ya shobo kati ya Haji Manara na Bondia Mwakinyo baada ya kushindwa yeye Mwakinyo kushindwa kule Manchester Uingereza limekwisha kumbe sio na sasa Mwakinyo kampa jab na upper cuts za kibabe na Manara atakuwa anaugulia ndani.

Hasa hiyo point kwamba ukioa mke unampeleka honeymoon kwa shughuli maalum sio unaoa na shughuli huwezi unaenda huko ili kupiga picha na kununua Iphone maana hata Kariakoo zipo.
Hakika sidhani kama Manara aliyezoea kuwa attack kila mtu ili apewe sifa kama atarudia tena kuwa shobokea watu hovyo.

 
Masikini Manara 😭😭 Ila wanaume mna tabu sana. Mkishatafuta hela bado mnatakiwa mtafute na vingine ili wanawake watulie. Poleni. Cha msingi usijibebeshe mzigo wa kutaka kumridhisha mwanamke. Ikiwezekana KATAENI NDOA. Mtanishukuru mbinguni.
habari yako dada
 
Kiki ya pambano hakuna lolote hawa!!! bongo sasa hivi ukishupaa na ya watu unaumbuka watu wanakaa mezani wanatafuta namna ya kuchomoa pesa za watu mifukoni ili maisha yapate kwenda!!
 
Hivi manara akiambiwa mwakinyo huyo hapo pigana nae, sianaweza kukujoa kabisa ile ngozi akila pump moja kali anaweza kufa
 
Back
Top Bottom