Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una akili sana umeolewa?Masikini Manara [emoji24][emoji24] Ila wanaume mna tabu sana. Mkishatafuta hela bado mnatakiwa mtafute na vingine ili wanawake watulie. Poleni. Cha msingi usijibebeshe mzigo wa kutaka kumridhisha mwanamke. Ikiwezekana KATAENI NDOA. Mtanishukuru mbinguni.
Mie hao wotee nawaona wameleft magroups.Huyu jamaa ndo mana wapenda Boxing walimkataaga kitambo sana, nilikua naonaga kama Ma-hater ila jamaa ana ropoka shombo sana sijui anajikutaga nani kumbe bado yupo mchangani
kabisaaaa naunga mkonoMie hao wotee nawaona wameleft magroups.
"Huwezi kuwa umekwenda honeymoon na mke wako ukamzungushe kwenye bembea na kumnunulia iPhone, hajafata hayo"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mie hao wotee nawaona wameleft magroups.