kwa jicho la kishabiki uliona hivyo ila kiufundi mwakinyo alianza kupoteana ndio maana at the end alishindwa pambano kama alikuwa vizuri kama unavyosema asingeshindwa pambano. #matokeoUnataka kusema kuwa katika round tatu za mwanzo Kuna round mwakinyo hajashinda???
Off course Smith alikuwa anabuy time ili mwakinyo achoke then ampige kirahisi Ila mwakinyo alicheza vizur Sana hizo round tatu za mwanzo
Ameshindwa pambano kwa sababu zake alizozitoa(whether ni za kweli au no za uongo) lakini siyo kwa kupigwakwa jicho la kishabiki uliona hivyo ila kiufundi mwakinyo alianza kupoteana ndio maana at the end alishindwa pambano kama alikuwa vizuri kama unavyosema asingeshindwa pambano. #matokeo
Sema jana Mwakinyo alikuwa anashinda sijui nini kimetokea.. itakuwa aliumia mguu nadhaniNimejaribu kuangalia baadhi ya fights zake huyu jamaa nae ni hatari...halafu sugu. Unapiga anakuja tuu
Uko vzr mkuuMwakinyo leo anakula TKO ya mapema tu...Liam sio bondia wa mchezo mchezo kama hao kina katompa..Liam ni aina ya pressure boxer...hakupi gape kama ilivyo kwa Saul "Canelo" alvarez au GGG "Triple G" Gonad Golovkin
mwakinyo alikataa kushinda pambano hili kwa sababu zake mwenyewe hakuna round zote alikuwa anaongozaNimetazama pambano kiukweli tu mzungu anapigana very professional na ana experience kubwa, mwakinyo alianza kupoteana round ya pili hasira zilimtamalaki akaanza kurusha ngumi za hovyo... japo tangu anaingia ulingoni hali yake ya kisailojia na nguvu ya kiroho ilikuwa down sana, mwakinyo kwenye hili ajifunze tu aache maneno mengi, wazungu wana IQ kubwa sana hasa kwenye michezo michafu kama hii.. achaane na hilo pambano maana mzungu kashamsoma vizuri sana kwenye ''play how' 'akirudi tena anadundwa tena vibaya sana. Boxing ni mchezo flani unaotumia nguvu na akili nyingi sana, usipokuwa na Hasira unashinda kila mechi, ukiwa na hasira unachakazwa vibaya sanaaaaa...
Mababu wachawi kinoma 😂😂😂 yani mtu kateguka miguu bila kuguswaUnaona mababu wanavopiga
Hakuna cha viatu kuteleza Hassan hana mazoezi ya ankle na ukiangalia hana nguvu miguuni, fuatilia mapambano yake, kaamua kujaa juu tu chini Kapanyima mazoezi. Hana stanceNahisi vile viatu vina telez,ndio maana mguu ukashtuka. Ila mzungu wa kawaida tena kama zile round za mwamzo kwangu Mwakinyo ndiye alikuwa vizuri.
Tumia akili. Diamond anaendaga mashindano gani ya kimichezo? Mbona BET na MTV mlipigwa. Au akiendaga kimataifa anashindania nini nananiAnaye Weza kutuwakilisha Kimataifa ni Diamond Platnumz Peke Yake…
TS tumepigwa Uganda
Mwakinyo Naye Chali
Laana Ya Mwigulu Nchembi Hiiii Alisema Tuhamie Burundi
Hujui sheria za boxing wewe, halafu mwakinyo aallimoprovooke jamaa, round ya pili sijui 3 alliimpiga jamaa wkati kengele ilisshaalliiaaKapoteza? Au wamepiga Fitina...
Unampigaje mtu yupo kwenye Kamba?
Unampigaje mtu amenyoosha mkono juu?
It's possibleMnisamehe ila mazingira yanaonyesha kauza mchezo.
Hajapigwa ngumi yeyote iliyompeleka chini wala hakuumia enka.It's possible
But it's a wrong move for him if he did that
Uswahili mwingi. Hizo siku 2 alikuwa anafanya mazoezi kwa kutumia viatu gani?Kwanza naomba kufahamu, kumbe hadi Uingereza mtu anapoteza begi airport?
Je, ilikuwa haiwezekani Mwakinyo awaambie mapema wenyeji wake kwamba hatacheza mpaka apate begi lake mana kuna vitu muhimu?
Kwa jinsi Wazungu wanavyojali wateja wao ambao wameishakata kiingilio, nina uhakika begi la Mwakinyo lingetafutwa na kupelekewa hata kwa ndege ya kukodi