Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo Hadi Smith naye anamshamgaa hutu jaa mbona naigizaSmith as confused as us all
"I don't know what happened. I didn't really do too much early on because Hassan was wild, I'm a bit gutted I never gave the fans a proper finish but it's out of my hands.
"He said he slipped, he just quit, it doesn't take a genius to work that out. I said about the sparring story, I knew he had it in him."
au hirizi yake ilikaaa vibaya? [emoji23][emoji23][emoji23]
Bora hiyo watu tumestake ada za shule hapa Jumatatu hii hapaMwakinyo leo kazingua sana! Daah siku mbaya kwetu!! Uganda tumefungwa na huko Uingereza tumepigwa!
We unafikiri mi namuandafia mzungu?You're NEXT.
Hana mazoezi ya vifundo vya miguuHuo mguu inaoneshwa alivyoumia?
Inashangaza kidogo kuumia mguu kwenye ndondi
nawasikiliza wachambuzi wa azam wanaongea utumbo[emoji1787]Kama kawaida yetu wabongo, jamaa kauza mechi
Mzungu wa kawaida na hajapiga panchi yoyote ya maana.Mwakinyo ana ngumi nyepesi sana na hamudu kasi na nguvu ya huyu Mzungu
Kaa kimya hujui boxing. Hujaona uhuni uliofanyika pale?mwakinyo alikuwa anakutana na mabondia walevi
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Ashinde nini sasa, wakati pambano limeisha!Hili pambano Mwakinyo ashinde tu
Kuna watu wamestake pesa ya urithi Mwakinyo ashinde