Hassan Nasrallah (1964 - 2024)

Hassan Nasrallah (1964 - 2024)

Kitali,
Ikiwa unaona mimi naalikwa kuzungumza vyuoni kwa upuuzi wangu mimi niseme nini?

JF wamenichagua mara mbili mfululizo kama Mwandishi Bora.

Hapa napo nimechaguliwa kwa sifa ya upuuzi?
Unaweza kuwa mwandishi bora wa story za kiislamu chief
 
Unaweza kuwa mwandishi bora wa story za kiislamu chief
Kitali,
Hakika haya usemayo.

Waislam wa Tanzania wamenipa nishani tatu kwa mchango wangu katika kuiokoa historia ya uhuru wa Tanganyika kwa kuandika kitabu: "The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika," Minerva Press, London 1998.

Kitabu hiki kimechapwa mara nne.

JF kama nilivyokueleza wamenichagua Mwandishi Bora Jukwaa la Historia kwa miaka miwili mfululizo.

Halikadha nimeshirikishwa na Oxford University Press, Nairobi na Oxford University Press, New York na Havard katika miradi miwili ya kuandika historia ya Afrika.

Katika miradi hii yote wamechapa kazi zangu.

Yapo mengi.
 
Kitali,
Hakika haya usemayo.

Waislam wa Tanzania wamenipa nishani tatu kwa mchango wangu katika kuiokoa historia ya uhuru wa Tanganyika kwa kuandika kitabu: "The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika," Minerva Press, London 1998.

Kitabu hiki kimechapwa mara nne.

JF kama nilivyokueleza wamenichagua Mwandishi Bora Jukwaa la Historia kwa miaka miwili mfululizo.

Halikadha nimeshirikishwa na Oxford University Press, Nairobi na Oxford University Press, New York na Havard katika miradi miwili ya kuandika historia ya Afrika.

Katika miradi hii yote wamechapa kazi zangu.

Yapo mengi.
Unajua hata mashoga wanapewa nishani siku kutoka vyuo hivyo hivyo sheikh hali ni mbaya sana
 
Unajua hata mashoga wanapewa nishani siku kutoka vyuo hivyo hivyo sheikh hali ni mbaya sana
Kitali,
Nataka nikuweke sawa.
Mimi si sheikh.

Mimi nafamika kwa kazi nilizofanya na kuchapwa katika Cambridge Journal of African History na Dictionary of African Biography.

Huko unakokwenda wewe ni mbali sana na mimi.

Nimepewa tuzo hapa JF na Waislam wa Tanzania jumla zote ni tano.
 
Usinge weza kuandika kwa sababu wale vijana wetu waliouwawa na magaidi sio imani yako.
Nyio...
Nimeandika historia za wazalendo wengi sana ambao si Waislam.

Pitia name index ya kitabu cha Abdul Sykes utawakuta: Dr. Joseph Mutahangarwa, Dr. Vedasto Kyaruzi, Dr. Wilbard Mwanjisi, Dr. Michael Lugazia, Dr. Luciano Tsere, Steven Mhando, Joseph Mhando, Patrick Aoko, Dome Budohi, Denis Phombeah, John Rupia, Julius Nyerere, Joseph Nyerere...

Nimehariri kitabu cha Julius Nyerere hicho hapo chini.

Kuna watu waliniwekea shinikizo niwaandike wale vijana kama mamluki katika jeshi la Israel na wakaniletea na picha zao wamebeba bunduki.

Jibu langu kwao lilikuwa hawa vijana wamekufa tuwahurumie wao na wazazi wao.

1728387683576.jpeg
 
Nyio...
Nimeandika historia za wazalendo wengi sana ambao si Waislam.

Pitia name index ya kitabu cha Abdul Sykes utawakuta: Dr. Joseph Mutahangarwa, Dr. Vedasto Kyaruzi, Dr. Wilbard Mwanjisi, Dr. Michael Lugazia, Dr. Luciano Tsere, Steven Mhando, Joseph Mhando, Patrick Aoko, Dome Budohi, Denis Phombeah, John Rupia, Julius Nyerere, Joseph Nyerere...

Nimehariri kitabu cha Julius Nyerere hicho hapo chini.

Kuna watu waliniwekea shinikizo niwaandike wale vijana kama mamluki katika jeshi la Israel na wakaniletea na picha zao wamebeba bunduki.

Jibu langu kwao lilikuwa hawa vijana wamekufa tuwahurumie wao na wazazi wao.

Mimi nimezungumzia Hamas na vijana wetu
 
Mimi nimezungumzia Hamas na vijana wetu
Nyio...
Nami nimekueleza kuwa ninliweka staha kwa marehemu hawa na kwa wazazi wao.
Hata zile picha zao wamebeba bunduki sikuzihifadhi katika Maktaba.

Hii ndiyo sababu sikuandika chochote kuhusu vijana wale.
 
Nyio...
Nami nimekueleza kuwa ninliweka staha kwa marehemu hawa na kwa wazazi wao.
Hata zile picha zao wamebeba bunduki sikuzihifadhi katika Maktaba.

Hii ndiyo sababu sikuandika chochote kuhusu vijana wale.
Mzee huo ni uongo tuonyeshe hizo picha!
 
Back
Top Bottom