Hassan Rehani Bitchuka: Fundi wa muziki wa dansi, sauti ya kinanda. Yu wapi huyu mtaalam wakuu?

Hassan Rehani Bitchuka: Fundi wa muziki wa dansi, sauti ya kinanda. Yu wapi huyu mtaalam wakuu?

Wakuu nimefanikiwa kukutana na mtoto wa mzee Bitchuka na amekubali kutoa namba za Mzee wake na ziwekwe hapa. Kwa yeyote atakayeguswa anaweza kutuma chochote na hakikisha majina ni HASSAN REHANI BITCHUKA.
0784 567760 na 0714567750

Ameniambia kutokana na ugonjwa huwa hapokei simu mara kwa mara ila usichoke kupiga atapokea tu.

Wakuu naamini nimetimiza ahadi ila tujitahidi kumsaidia Mzee wetu Hali yake siyo nzuri.
 
Wakuu nimefanikiwa kukutana na mtoto wa mzee Bitchuka na amekubali kutoa namba za Mzee wake na ziwekwe hapa. Kwa yeyote atakayeguswa anaweza kutuma chochote na hakikisha majina ni HASSAN REHANI BITCHUKA.
0784 567760 na 0714567750

Ameniambia kutokana na ugonjwa huwa hapokei simu mara kwa mara ila usichoke kupiga atapokea tu.

Wakuu naamini nimetimiza ahadi ila tujitahidi kumsaidia Mzee wetu Hali yake siyo nzuri.
Shukraani mno mkuu
 
Back
Top Bottom