mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Walikuwa wanajua kwa kweli tuwape tu pongezi zao"umtafute mpaka umuone mchumba wangu Clara.....mchumba wangu Clara..
Nyumbani anapoishi ni Msimbazi kota.... ukimuona mpe salamu nyingi sana...mueleze mchumba wako Kibwana anakusalimuuu......"
Hatari sana, hawa wazee walikuwa wanajua.