Hassan Rehani Bitchuka: Fundi wa muziki wa dansi, sauti ya kinanda. Yu wapi huyu mtaalam wakuu?

Hassan Rehani Bitchuka: Fundi wa muziki wa dansi, sauti ya kinanda. Yu wapi huyu mtaalam wakuu?

Huo wimbo unaitwa Shukran kwa Mjomba.

"Ukitaka tuelewane na mimi, muondoe huko uliko oohh" ×2
"Atakaa mpaka lini kilakitu anakutegemea, ...........muondoe eehh eee lelelee muondoe"
asante mkuu. dah ngoma kali sana ile mkuu
 
Yu mgonjwa, ana nyimbo nyingi na Safi sana, zenye mafunzo mazuri sana. Hebu sikiliza tufurahi na Wana sikinde tucheze Leo ngoma ya ukae. Ukitaka ufurahi kila jmosi njoo uburudike na Wana sikinde oyee! Halafu duniani kuna Mambo, Editha, njia ya kwetu, nalala kwa tabu chache tu za sikinde. Safari sound alikwenda akaimba ile nyimbo tamu, nimeachana na mume wangu, nimekwenda na kwa Rehani oooh baada ya muda si mrefu kasema niondoke Sina tabia mzuri ohhh
 
Yu mgonjwa, ana nyimbo nyingi na Safi sana, zenye mafunzo mazuri sana. Hebu sikiliza tufurahi na Wana sikinde tucheze Leo ngoma ya ukae. Ukitaka ufurahi kila jmosi njoo uburudike na Wana sikinde oyee! Halafu duniani kuna Mambo, Editha, njia ya kwetu, nalala kwa tabu chache tu za sikinde. Safari sound alikwenda akaimba ile nyimbo tamu, nimeachana na mume wangu, nimekwenda na kwa Rehani oooh baada ya muda si mrefu kasema niondoke Sina tabia mzuri ohhh
Amewahi kuhojiwa ni wimbo gani kwakwe ndio the best kuliko zote akajibu "Si wazuri binadamu"
Hii ni kwasababu walikuwa wanapigana vijembe sana na wapinzani wao sasa baada ya kutoa kibao cha si wazuri binadamu akawa amehitimisha vijembe na havikutolewa tena. Na hata hivyo ni wimbo uliopendwa sana.
Jamaa anajua sana. Natamani kungekuwa na uwezekano tukutane hata wadau 10 au 20 tunajikusanya tunaenda kumuachia hata chochote tutakachojaaliwa.
 
Kabsaaa maana mie ni mpenzi kindakindaki wa DDC na Bitchuka. Nyimbo zake zipo kichwani, yaani kama Sala vile. Kuna wimbo unaimbwa utawaona wanaume wengine huwapa talaka wake zao huku Bado wanawapenda. Bitchuka ni Stereo haijawahi tokea bongo. Kidogo Lovy Longomba ingawa ni mkongo(rip) lkn alikuwa na sauti tamu.
 
Yaan mtu akitaka kutuma msaada anatuma kwa muhusika yupi au kwa bitchuka mwenyewe,na pia anaishi wapi kama fans wake wakitaka kumjulia hali,.
Bitchuka anaishi Sinza mkuu yupo na mkewe hivyo ukifika pale utaweza kutoa msaada wa moja kwa moja otherwise bado sijapata nafasi yakupata contact zake...Ila yupo nyumbani kwake Sinza na anaumwa huu Ni mwaka wa pili Sasa!...
Tumsaidieni huyu legend!
 
Bitchuka anaishi Sinza mkuu yupo na mkewe hivyo ukifika pale utaweza kutoa msaada wa moja kwa moja otherwise bado sijapata nafasi yakupata contact zake...Ila yupo nyumbani kwake Sinza na anaumwa huu Ni mwaka wa pili Sasa!...
Tumsaidieni huyu legend!
Asante kwa taarifa mkuu, naamini tutajitokeza na wengine kumsaidia, wimbo wao wa huruma kwa wagonjwa umebeba kila kitu anachopitia sasa
 
mkuu nakumbuka wimbo flani hivi mtu anaomba alafu anasema 'bitchuka kazi kwako' alafu bitchuka anaimba 'ukitaka tuelewane na mimi' ule wimbo gani mkuu.
Daaa memory inashindwa kuload vzr coz hujafafanua zaid mkuu, ingeza nyama kdg tuukumbuke.
 
Kama ni michango ielekezwe kwake moja kwa moja.......Hivi wadau wa muziki ,vyombo vya wasanii , nk wanafanya nini ...hivi hawajiulizi magwiji kama hawa wanapotea kienyeji namna hii?
Bongo nyoso mkuu, wanakujali ukiwa na afya na fedha tuu, bt ukipitia mapito hawana habari na wewe, hvi vyombo vipo tu kwaajili ya kupiga hela.
 
Huo wimbo unaitwa Shukran kwa Mjomba.

"Ukitaka tuelewane na mimi, muondoe huko uliko oohh" ×2
"Atakaa mpaka lini kilakitu anakutegemea, ...........muondoe eehh eee lelelee muondoe eehh lelelelele mundoeee"

Hii hapa ilikuwa Ochestra Safari Sound na waliimba na Marehemu Gurumo pia.
Naaam, naamini alieuhitaji kuujua ameujua sasa mkuu
 
Yu mgonjwa, ana nyimbo nyingi na Safi sana, zenye mafunzo mazuri sana. Hebu sikiliza tufurahi na Wana sikinde tucheze Leo ngoma ya ukae. Ukitaka ufurahi kila jmosi njoo uburudike na Wana sikinde oyee! Halafu duniani kuna Mambo, Editha, njia ya kwetu, nalala kwa tabu chache tu za sikinde. Safari sound alikwenda akaimba ile nyimbo tamu, nimeachana na mume wangu, nimekwenda na kwa Rehani oooh baada ya muda si mrefu kasema niondoke Sina tabia mzuri ohhh
Umetisha mkuu
 
Amewahi kuhojiwa ni wimbo gani kwakwe ndio the best kuliko zote akajibu "Si wazuri binadamu"
Hii ni kwasababu walikuwa wanapigana vijembe sana na wapinzani wao sasa baada ya kutoa kibao cha si wazuri binadamu akawa amehitimisha vijembe na havikutolewa tena. Na hata hivyo ni wimbo uliopendwa sana.
Jamaa anajua sana. Natamani kungekuwa na uwezekano tukutane hata wadau 10 au 20 tunajikusanya tunaenda kumuachia hata chochote tutakachojaaliwa.
Wa kwanza ni wewe mkuu, na wa pili ni mimi, tuombe wajitokeze wengine tutekeleze hili, tujitahidi angali hai kufanya chochote kwaajili yake naamini tutabarikiwa.
 
Ambae ataweza kutupatia mawasiliano yake atakuwa amefanya jambo la maana sana.


Tujitokezeni tumsaidie wakuu,

Karibuni wote kwa suggestions zaidi.
 
Mzaliwa wa kigoma huyu ana ndugu yake tena yuko kigoma anaitwa juma kitambi yeye huyu juma ndiye mtunzi wa wimbo wa rangi ya chungwa ule original
 
Back
Top Bottom