Uchaguzi 2020 Hata CHADEMA wasiposhirikiana na ACT-Wazalendo, bado CCM itapigwa chini. Membe na Lissu “watakula vichwa vingi” vya wanachama wa CCM

Uchaguzi 2020 Hata CHADEMA wasiposhirikiana na ACT-Wazalendo, bado CCM itapigwa chini. Membe na Lissu “watakula vichwa vingi” vya wanachama wa CCM

Wanajamvi,

Kama heading ya uzi huu inavyojieleza, ni kwamba hakuna haja ya upinzani ku panic! Hayo ni ya wana ccm na kamwe siyo upinzani. Wao Kwani wamezuiwa siasa? Wamekuwa wakifanya kampeni toka awamu hii iingie madarakani, sasa wananchi kama ni kuona na kusikia, wameshasikia na kuona vya kutosha. Ni wazi sauti nyingine zikija watakuwa na shauku kubwa. Hiyo ni kawaida kwa hulka ya mwanadamu. Ni kiumbe mwenye kutafuta habari kila uchao!

Sasa nimeona watu wanasumbuka sana kuhusiana na suala la nani atakuwa mgombea kwa upande wa upinzani. Vyama vya ACT-Wazalendo na CHADEMA vikizungumziwa na kuhusishwa na wagombea wawili, yani Tundu Antipas Lissu, sambamba na Bernard Membe ambaye inasemekana yumo ACT-Wazalendo.

Tathimini rahisi, inaonyesha wazi kabisa kuwa ACT-Wazalendo, ni chama mbadala cha CUF. Na ndiyo kinategemewa kumsimamisha mgombea kule Zanzibar, kama sikosei, ni Maalim Seif. Kwahiyo kwa upande huo wa kushirikiana inapokuja kwa upande wa Zanzibar, ni kawaida tu.

Na kwa upande wa bara, mambo yalikuwa ni kati ya Lipumba, na mgombea wa CHADEMA, ambapo CHADEMA walikuwa ndo wanaotoa mgombea wa urais kwa upande wa bara.

Lakini tofauti iliyoko kwa sasa, ni Bernard Membe. Huyu yeye ndiye anayeleta mjadala mkali, na mjadala ambao unachochewa sana na wana ccm, kwasababu wao wameshamaliza upande wao na watu kuzimwa hata nafasi ya kuchukuwa fomu za kugombea kwenye nafasi ya urais. Na ndiyo matokeo yake Bernard Membe kujitoa. Huyu tayari ana watu wengi tu ndani ya ccm wanaoona ameonewa na ccm. Jambo lilokuwa ni kinyume hata na katiba ya chama.

Kwa maoni yangu, hata kama vyama hivi vikiamuwa kuwasimamisha wagombea wao, bado idadi ya kura watakazozipata, zitawazidi ccm. Huu ni ukweli mchungu kwa ccm na ndiyo maana wanahaha sana kuleta mijadala ya kuwachanganya na kutaka kuleta migawanyiko! Lakini hili halitafanya kazi.

Kule Kenya, hili liliwahi kutokea pia, na ndipo hapo chama cha KANU kilipoanguka chali! Kama sikosei, mara ya pili ilibidi wafanye muungano, kwasababu kura zao zote, zliwashinda KANU, lakini wao walikuwa hawajaungana, na hivyo KANU kubakia madarakani.

Kwa upande wa Tanzania, siasa zetu ni za tofauti kidogo na zile za Taifa la Kenya. Sisi kwanza siasa za ukabila siyo kivile! Pamoja na kwamba ccm wamejitahidi sana kuzitumia. Lakini hazijafanikiwa, na ndiyo maana upinzani ulipata nguvu sana hadi ccm kutishika! Na hata wengine wakisema uchaguzi uliopita, kama siyo kwa “goli la mkono”, ambalo Nape, January pamoja na Kinana, walifanya kazi ya ziada!

Sasa miaka mitano ndo hiyo imeshakata, Kinana ni juzi tu kaomba msamaha, ni baada ya Nape na January kufanya hivyo! Lakini nao walifanya kwa shingo upande, kwasababu nguvu za mwenyekiti ni kubwa mnoo! Hao nao sura zao halisi zingeonekana kama wengine wangeruhusiwa kuchukuwa fomu ya kugombea urais ndani ya ccm. Hata mzee Makamba naye ni hivyo hivyo tu. Mzee Mkapa naye alizungumzia umuhimu wa kuwa na tume huru ya uchaguzi nchini!

Kura za ccm ndizo zitakazogawanywa, cha msingi, kuwepo na makubaliano baina yao mapema iwezekanavyo, ninaamini uchaguzi huu utatuletea viongozi wanaowakilisha kada zote za wananchi pamoja na masilahi yao ya moja kwa moja jamii, na pia kama watanzania. Hili amelizungumzia vyema sana Sheick Ponda kwenye ule waraka wa Shura ya Maimamu, ambapo walizungumzia kuhusu upatikanaji wa katiba mpya baada ya uchaguzi.

Hapa ina maana kwamba kuna mengi yanayowaunganisha watanzania dhidi ya ccm kuliko yale yanayowatenganisha! Hayo ni machache sana ambayo siyo lazima kupewa kipaumbele! Maana yenyewe ni ya kuwagawanya wapinzani ili kuwadhibiti! Yani “devide and rule”. Kwetu ni tofauti kabisa na kule Kenya ambapo siasa za ukabila ndizo zinawaumbuwa. “Coalitions”, ama miungano yao, ni ya misingi ya kikabila. Na Kwahiyo tuna nafasi nzuri zaidi kwa wapinzani kuiangusha ccm, na bado tukapata serikali itakayowatumikia wananchi vyema, na kwa mujibu wa katiba ya nchi! Na hao wakifanya uzembe, tuwe na nafasi na uwezo wa kuwandoa madarakani kwa sanduku la kura!

Siyo siri, chama cha CUF, kilikuwa na wanachama wengi wa maeneo ya mwambao wa Pwani! Na hivyo wengi kuwa waislam. Majimbo mengi ya waislam, ni hao CUF waliyabeba, lakini mengine ni ccm. Hata hivyo, kama nilivyosema hapo awali, ACT-Wazalendo ndiyo ambao sasa wameichukuwa nafasi hiyo ya chama cha CUF. “It has simply been replaced”, haswa baada ya Maalim Seif kuondoka huko, na Zitto kuitumia nafasi hiyo kumsajili.

Sasa endapo ACT-Wazalendo watamsimamisha Membe, nadhani siyo mbaya hata kidogo kwa upande wa CHADEMA na upinzani kwa ujumla!Kwanza kuna malalamiko mengi sana ya uwepo wa udini. Malalamiko ambayo yanaelekezwa kwa utawa wa ccm! Na wala siyo mara ya kwanza! Na ndiyo maana hata CUF ilipata nguvu sana! Malalamiko yao hayajaanza leo chini ya utawala wa ccm! Hawa watu sauti zao lazima zitakuwa zinataka mwakilishi. Hata waislam wale ambao walikuwa hawaipigii CUF kura, na wakawa wanaipigia ccm, basi sasa wataipigia kura ACT-Wazalendo.

Hata wale ccm wasioipenda CHADEMA, wataipigia kura ACT-Wazalendo. Maana tunafahamu propaganda za ccm inapokuja kwenye udini na ukabila! Tuhuma zao wenyewe, lakini wamekuwa wakiwasingizia upinzani. Sasa ccm mmetawala toka uhuru, upinzani ndo umeleta shida za waislam toka lini? Hili huwa najiuliza sana wakati ccm inapokuja na mgombea wao huku wakitutajia maendeleo waliyoyaleta, na kujifananisha na upinzani ambao hawajawahi kuongoza nchi. Hili lenyewe, lilitakiwa liwe sababu nzuri kabisa ya kuwa na uchaguzi huru! Maana nani mwingine ambaye ameshafanya “mazuri” zaidi yao tokea December 31st 1961?

Hivyo ni kweli kabisa kuwa uchaguzi wa huru na haki, utawaondoa ccm madarakani, upinzani uungane, ama usiungane, moto ni ule ule! Membe atakula vichwa vya ccm, chadema nao watakula vichwa vya ccm. Hata yule Sipunda anaweza kula vichwa!

Cha msingi, ni makubaliano yafanyike mapema! Makubaliano ambayo yatahusisha nia ya dhati kabisa ya pande zote mbili! Ni za kuwa na tume huru ya uchaguzi pamoja na katiba mpya ya wananchi kutoka kwa wananchi! Na siyo hii ya mkoloni yenye viraka vya ccm ambayo inaendelea kutushikia chini kiasi cha kwamba uhuru wetu ukawa mashakani!

Sababu ziko nyingi sana, ila nimeamuwa kuanzia na hizi!

Nguruvi3
Maneno yako swafi na ukweli mtupu.
Lakini Mwaka huu hakuna huo uchaguzi,
Inavyo onesha ni kata Buti tangaza matokeo ya mfukoni,
Zuia mikutano ya siasa, hakuna kampeni wala kuteua wagombea,
Siku ya kurudisha fomu ofisi mutakuta zimefungwa ili CCM wabaki wawe wagombea pekee,
Ikishindikana hivyo matokeo yatapinduliwa na katu Hakuna Mpinzani atakaye tangaazwa
Kwa mujibu wa Mwendelezo wa chaguzi zilizotangulia chini ya utawala wa Jiwe, naona Mbele Kiza kitupu.
 
Nyie jamaa ni watu wazima Ila ni WAPUMBAVU, kwa tume hii ya uchaguzi itakayojazwa TISS na wajeda tupu vituoni mnaamini mtaiondoa CCM madarakani!?, humu JF upande wa upinzani kuna jamaa anaitwa tindo ndo huwa anaongea uhalisia wengine mmegeuka wajinga kutokana na ushabiki. Kuna jamaa alikuwa anadai mgombea wa uraisi kupitia CCM ni Membe ni suala la muda tu., Ni mtu mzima na aliamini hivyo, ni type ya watu ninaowaitaga malofa humu.
Kabisa yaan humu anayeongeaga uhalisia ni tindo
 
Wanajamvi,

Kama heading ya uzi huu inavyojieleza, ni kwamba hakuna haja ya upinzani ku panic! Hayo ni ya wana ccm na kamwe siyo upinzani. Wao Kwani wamezuiwa siasa? Wamekuwa wakifanya kampeni toka awamu hii iingie madarakani, sasa wananchi kama ni kuona na kusikia, wameshasikia na kuona vya kutosha. Ni wazi sauti nyingine zikija watakuwa na shauku kubwa. Hiyo ni kawaida kwa hulka ya mwanadamu. Ni kiumbe mwenye kutafuta habari kila uchao!

Sasa nimeona watu wanasumbuka sana kuhusiana na suala la nani atakuwa mgombea kwa upande wa upinzani. Vyama vya ACT-Wazalendo na CHADEMA vikizungumziwa na kuhusishwa na wagombea wawili, yani Tundu Antipas Lissu, sambamba na Bernard Membe ambaye inasemekana yumo ACT-Wazalendo.

Tathimini rahisi, inaonyesha wazi kabisa kuwa ACT-Wazalendo, ni chama mbadala cha CUF. Na ndiyo kinategemewa kumsimamisha mgombea kule Zanzibar, kama sikosei, ni Maalim Seif. Kwahiyo kwa upande huo wa kushirikiana inapokuja kwa upande wa Zanzibar, ni kawaida tu.

Na kwa upande wa bara, mambo yalikuwa ni kati ya Lipumba, na mgombea wa CHADEMA, ambapo CHADEMA walikuwa ndo wanaotoa mgombea wa urais kwa upande wa bara.

Lakini tofauti iliyoko kwa sasa, ni Bernard Membe. Huyu yeye ndiye anayeleta mjadala mkali, na mjadala ambao unachochewa sana na wana ccm, kwasababu wao wameshamaliza upande wao na watu kuzimwa hata nafasi ya kuchukuwa fomu za kugombea kwenye nafasi ya urais. Na ndiyo matokeo yake Bernard Membe kujitoa. Huyu tayari ana watu wengi tu ndani ya ccm wanaoona ameonewa na ccm. Jambo lilokuwa ni kinyume hata na katiba ya chama.

Kwa maoni yangu, hata kama vyama hivi vikiamuwa kuwasimamisha wagombea wao, bado idadi ya kura watakazozipata, zitawazidi ccm. Huu ni ukweli mchungu kwa ccm na ndiyo maana wanahaha sana kuleta mijadala ya kuwachanganya na kutaka kuleta migawanyiko! Lakini hili halitafanya kazi.

Kule Kenya, hili liliwahi kutokea pia, na ndipo hapo chama cha KANU kilipoanguka chali! Kama sikosei, mara ya pili ilibidi wafanye muungano, kwasababu kura zao zote, zliwashinda KANU, lakini wao walikuwa hawajaungana, na hivyo KANU kubakia madarakani.

Kwa upande wa Tanzania, siasa zetu ni za tofauti kidogo na zile za Taifa la Kenya. Sisi kwanza siasa za ukabila siyo kivile! Pamoja na kwamba ccm wamejitahidi sana kuzitumia. Lakini hazijafanikiwa, na ndiyo maana upinzani ulipata nguvu sana hadi ccm kutishika! Na hata wengine wakisema uchaguzi uliopita, kama siyo kwa “goli la mkono”, ambalo Nape, January pamoja na Kinana, walifanya kazi ya ziada!

Sasa miaka mitano ndo hiyo imeshakata, Kinana ni juzi tu kaomba msamaha, ni baada ya Nape na January kufanya hivyo! Lakini nao walifanya kwa shingo upande, kwasababu nguvu za mwenyekiti ni kubwa mnoo! Hao nao sura zao halisi zingeonekana kama wengine wangeruhusiwa kuchukuwa fomu ya kugombea urais ndani ya ccm. Hata mzee Makamba naye ni hivyo hivyo tu. Mzee Mkapa naye alizungumzia umuhimu wa kuwa na tume huru ya uchaguzi nchini!

Kura za ccm ndizo zitakazogawanywa, cha msingi, kuwepo na makubaliano baina yao mapema iwezekanavyo, ninaamini uchaguzi huu utatuletea viongozi wanaowakilisha kada zote za wananchi pamoja na masilahi yao ya moja kwa moja jamii, na pia kama watanzania. Hili amelizungumzia vyema sana Sheick Ponda kwenye ule waraka wa Shura ya Maimamu, ambapo walizungumzia kuhusu upatikanaji wa katiba mpya baada ya uchaguzi.

Hapa ina maana kwamba kuna mengi yanayowaunganisha watanzania dhidi ya ccm kuliko yale yanayowatenganisha! Hayo ni machache sana ambayo siyo lazima kupewa kipaumbele! Maana yenyewe ni ya kuwagawanya wapinzani ili kuwadhibiti! Yani “devide and rule”. Kwetu ni tofauti kabisa na kule Kenya ambapo siasa za ukabila ndizo zinawaumbuwa. “Coalitions”, ama miungano yao, ni ya misingi ya kikabila. Na Kwahiyo tuna nafasi nzuri zaidi kwa wapinzani kuiangusha ccm, na bado tukapata serikali itakayowatumikia wananchi vyema, na kwa mujibu wa katiba ya nchi! Na hao wakifanya uzembe, tuwe na nafasi na uwezo wa kuwandoa madarakani kwa sanduku la kura!

Siyo siri, chama cha CUF, kilikuwa na wanachama wengi wa maeneo ya mwambao wa Pwani! Na hivyo wengi kuwa waislam. Majimbo mengi ya waislam, ni hao CUF waliyabeba, lakini mengine ni ccm. Hata hivyo, kama nilivyosema hapo awali, ACT-Wazalendo ndiyo ambao sasa wameichukuwa nafasi hiyo ya chama cha CUF. “It has simply been replaced”, haswa baada ya Maalim Seif kuondoka huko, na Zitto kuitumia nafasi hiyo kumsajili.

Sasa endapo ACT-Wazalendo watamsimamisha Membe, nadhani siyo mbaya hata kidogo kwa upande wa CHADEMA na upinzani kwa ujumla!Kwanza kuna malalamiko mengi sana ya uwepo wa udini. Malalamiko ambayo yanaelekezwa kwa utawa wa ccm! Na wala siyo mara ya kwanza! Na ndiyo maana hata CUF ilipata nguvu sana! Malalamiko yao hayajaanza leo chini ya utawala wa ccm! Hawa watu sauti zao lazima zitakuwa zinataka mwakilishi. Hata waislam wale ambao walikuwa hawaipigii CUF kura, na wakawa wanaipigia ccm, basi sasa wataipigia kura ACT-Wazalendo.

Hata wale ccm wasioipenda CHADEMA, wataipigia kura ACT-Wazalendo. Maana tunafahamu propaganda za ccm inapokuja kwenye udini na ukabila! Tuhuma zao wenyewe, lakini wamekuwa wakiwasingizia upinzani. Sasa ccm mmetawala toka uhuru, upinzani ndo umeleta shida za waislam toka lini? Hili huwa najiuliza sana wakati ccm inapokuja na mgombea wao huku wakitutajia maendeleo waliyoyaleta, na kujifananisha na upinzani ambao hawajawahi kuongoza nchi. Hili lenyewe, lilitakiwa liwe sababu nzuri kabisa ya kuwa na uchaguzi huru! Maana nani mwingine ambaye ameshafanya “mazuri” zaidi yao tokea December 31st 1961?

Hivyo ni kweli kabisa kuwa uchaguzi wa huru na haki, utawaondoa ccm madarakani, upinzani uungane, ama usiungane, moto ni ule ule! Membe atakula vichwa vya ccm, chadema nao watakula vichwa vya ccm. Hata yule Sipunda anaweza kula vichwa!

Cha msingi, ni makubaliano yafanyike mapema! Makubaliano ambayo yatahusisha nia ya dhati kabisa ya pande zote mbili! Ni za kuwa na tume huru ya uchaguzi pamoja na katiba mpya ya wananchi kutoka kwa wananchi! Na siyo hii ya mkoloni yenye viraka vya ccm ambayo inaendelea kutushikia chini kiasi cha kwamba uhuru wetu ukawa mashakani!

Sababu ziko nyingi sana, ila nimeamuwa kuanzia na hizi!

Nguruvi3
Bro sisiem haijawahi kushinda, Hilo linafahamika!
Tusitegemee sanduku la kura maana mwisho wa siku mambo Ni Yale Yale ya miaka yote.
Nape alishatuambia kuhusu bao la mkono, jiwe akaenda mbali kuwatahadharisha wakurugenzi wasithubutu kumtangaza mpinzani kashinda, wataisoma namba. Bashiru alishatueleza kuwa wanatumia dola kubaki madarakani na sio sanduku la kura.

Sasa kwanini tusipange mipango thabiti na iwe coordinated bongo yote Ni namna gani ya kuwaondoa madarakani pale watakapogoma kukabidhi majimbo na nchi baada ya maamuzi ya Watanzania kwenye sanduku la kura?
 
CCM watashinda kirahisi na mapema uchaguzi huu.cdm hamtapata wabunge zaidi ya watatu tu tena kwa mbinde.
 
Halafu nimegundua wengi ni watoto sana humu, hata hawaelewi kwamba tume siyo huru
Samahan bro, tume ili iwe huru unadhan iwe na muundo gan labda na watendaj pamoja na fund vipatikane vp? samahan sana bro.
 
Bro sisiem haijawahi kushinda, Hilo linafahamika!
Tusitegemee sanduku la kura maana mwisho wa siku mambo Ni Yale Yale ya miaka yote.
Nape alishatuambia kuhusu bao la mkono, jiwe akaenda mbali kuwatahadharisha wakurugenzi wasithubutu kumtangaza mpinzani kashinda, wataisoma namba. Bashiru alishatueleza kuwa wanatumia dola kubaki madarakani na sio sanduku la kura.

Sasa kwanini tusipange mipango thabiti na iwe coordinated bongo yote Ni namna gani ya kuwaondoa madarakani pale watakapogoma kukabidhi majimbo na nchi baada ya maamuzi ya Watanzania kwenye sanduku la kura?
Pitia ule waraka wa “Shura ya Maimamu”, mbona hilo limezungumziwa? Au kwasababu wengi wetu tumelishwa sumu za udini na ccm?

Kwa taarifa yako, mule amesema kabisa ni vigumu kupata tume mpya huru kabla ya uchaguzi, lakini kuna mabadiliko muhimu yanayoweza kufanyika na yakaleta unafuu kidogo. Mengine umma utaamuwa.
 
Maneno yako swafi na ukweli mtupu.
Lakini Mwaka huu hakuna huo uchaguzi,
Inavyo onesha ni kata Buti tangaza matokeo ya mfukoni,
Zuia mikutano ya siasa, hakuna kampeni wala kuteua wagombea,
Siku ya kurudisha fomu ofisi mutakuta zimefungwa ili CCM wabaki wawe wagombea pekee,
Ikishindikana hivyo matokeo yatapinduliwa na katu Hakuna Mpinzani atakaye tangaazwa
Kwa mujibu wa Mwendelezo wa chaguzi zilizotangulia chini ya utawala wa Jiwe, naona Mbele Kiza kitupu.
Pitia waraka wa Shura ya Maimamu iliyotolewa na Sheick Ponda. Halafu uone kama hakuna mambo muhimu ya kusapoti yenye manufaa kwa watanzania wote.
 
Kuna dalili za watu kuwa akili zimeyumba. Baada ya kuona upinzani hauna mwelekeo.
Si munahangaika na upinzani kwasababu huko kwenu hamna sauti? Wewe unadhani ni kitu gani kinachokufanya ufikie mwafaka huo?
 
Wanajamvi,

Kama heading ya uzi huu inavyojieleza, ni kwamba hakuna haja ya upinzani ku panic! Hayo ni ya wana ccm na kamwe siyo upinzani. Wao ccm, kwani wamezuiwa siasa? Wamekuwa wakifanya kampeni toka awamu hii iingie madarakani, sasa wananchi kama ni kuona na kusikia, wameshasikia na kuona vya kutosha. Kwahiyo wao ndo wanaotakiwa kupanic maana wanarudia yale yale ambayo wananchi wameshayaona na kuyasikia kwa miaka minne mfululizo...Ni wazi sauti nyingine zikija watakuwa na shauku kubwa. Hiyo ni kawaida kwa hulka ya mwanadamu. Ni kiumbe mwenye kutafuta habari kila uchao!

Sasa nimeona watu wanasumbuka sana kuhusiana na suala la nani atakuwa mgombea kwa upande wa upinzani. Vyama vya ACT-Wazalendo na CHADEMA vikizungumziwa na kuhusishwa na wagombea wawili, yani Tundu Antipas Lissu, sambamba na Bernard Membe ambaye inasemekana yumo ACT-Wazalendo.

Tathimini rahisi, inaonyesha wazi kabisa kuwa ACT-Wazalendo, ni chama mbadala cha CUF. Na ndiyo kinategemewa kumsimamisha mgombea kule Zanzibar, kama sikosei, ni Maalim Seif. Kwahiyo kwa upande huo wa kushirikiana inapokuja kwa upande wa Zanzibar, ni kawaida tu.

Na kwa upande wa bara, mambo yalikuwa ni kati ya Lipumba, na mgombea wa CHADEMA, ambapo CHADEMA walikuwa ndo wanaotoa mgombea wa urais kwa upande wa bara.

Lakini tofauti iliyoko kwa sasa, ni Bernard Membe. Huyu yeye ndiye anayeleta mjadala mkali, na mjadala ambao unachochewa sana na wana ccm, kwasababu wao wameshamaliza upande wao na watu kuzimwa hata nafasi ya kuchukuwa fomu za kugombea kwenye nafasi ya urais. Na ndiyo matokeo yake Bernard Membe kujitoa. Huyu tayari ana watu wengi tu ndani ya ccm wanaoona ameonewa na ccm. Jambo lilokuwa ni kinyume hata na katiba ya chama.

Kwa maoni yangu, hata kama vyama hivi vikiamuwa kuwasimamisha wagombea wao, bado idadi ya kura watakazozipata, zitawazidi ccm. Huu ni ukweli mchungu kwa ccm na ndiyo maana wanahaha sana kuleta mijadala ya kuwachanganya na kutaka kuleta migawanyiko! Lakini hili halitafanya kazi.

Kule Kenya, hili liliwahi kutokea pia, na ndipo hapo chama cha KANU kilipoanguka chali! Kama sikosei, mara ya pili ilibidi wafanye muungano, kwasababu kura zao zote, zliwashinda KANU, lakini wao walikuwa hawajaungana, na hivyo KANU kubakia madarakani.

Kwa upande wa Tanzania, siasa zetu ni za tofauti kidogo na zile za Taifa la Kenya. Sisi kwanza siasa za ukabila siyo kivile! Pamoja na kwamba ccm wamejitahidi sana kuzitumia. Lakini hazijafanikiwa, na ndiyo maana upinzani ulipata nguvu sana hadi ccm kutishika! Na hata wengine wakisema uchaguzi uliopita, kama siyo kwa “goli la mkono”, ambalo Nape, January pamoja na Kinana, walifanya kazi ya ziada!

Sasa miaka mitano ndo hiyo imeshakata, Kinana ni juzi tu kaomba msamaha, ni baada ya Nape na January kufanya hivyo! Lakini nao walifanya kwa shingo upande, kwasababu nguvu za mwenyekiti ni kubwa mnoo! Hao nao sura zao halisi zingeonekana kama wengine wangeruhusiwa kuchukuwa fomu ya kugombea urais ndani ya ccm. Hata mzee Makamba naye ni hivyo hivyo tu. Mzee Mkapa naye alizungumzia umuhimu wa kuwa na tume huru ya uchaguzi nchini!

Kura za ccm ndizo zitakazogawanywa, cha msingi, kuwepo na makubaliano baina yao mapema iwezekanavyo, ninaamini uchaguzi huu utatuletea viongozi wanaowakilisha kada zote za wananchi pamoja na masilahi yao ya moja kwa moja jamii, na pia kama watanzania. Hili amelizungumzia vyema sana Sheick Ponda kwenye ule waraka wa Shura ya Maimamu, ambapo walizungumzia kuhusu upatikanaji wa katiba mpya baada ya uchaguzi.

Hapa ina maana kwamba kuna mengi yanayowaunganisha watanzania dhidi ya ccm kuliko yale yanayowatenganisha! Hayo ni machache sana ambayo siyo lazima kupewa kipaumbele! Maana yenyewe ni ya kuwagawanya wapinzani ili kuwadhibiti! Yani “devide and rule”. Kwetu ni tofauti kabisa na kule Kenya ambapo siasa za ukabila ndizo zinawaumbuwa. “Coalitions”, ama miungano yao, ni ya misingi ya kikabila. Na Kwahiyo tuna nafasi nzuri zaidi kwa wapinzani kuiangusha ccm, na bado tukapata serikali itakayowatumikia wananchi vyema, na kwa mujibu wa katiba ya nchi! Na hao wakifanya uzembe, tuwe na nafasi na uwezo wa kuwandoa madarakani kwa sanduku la kura!

Siyo siri, chama cha CUF, kilikuwa na wanachama wengi wa maeneo ya mwambao wa Pwani! Na hivyo wengi kuwa waislam. Majimbo mengi ya waislam, ni hao CUF waliyabeba, lakini mengine ni ccm. Hata hivyo, kama nilivyosema hapo awali, ACT-Wazalendo ndiyo ambao sasa wameichukuwa nafasi hiyo ya chama cha CUF. “It has simply been replaced”, haswa baada ya Maalim Seif kuondoka huko, na Zitto kuitumia nafasi hiyo kumsajili.

Sasa endapo ACT-Wazalendo watamsimamisha Membe, nadhani siyo mbaya hata kidogo kwa upande wa CHADEMA na upinzani kwa ujumla!Kwanza kuna malalamiko mengi sana ya uwepo wa udini. Malalamiko ambayo yanaelekezwa kwa utawa wa ccm! Na wala siyo mara ya kwanza! Na ndiyo maana hata CUF ilipata nguvu sana! Malalamiko yao hayajaanza leo chini ya utawala wa ccm! Hawa watu sauti zao lazima zitakuwa zinataka mwakilishi. Hata waislam wale ambao walikuwa hawaipigii CUF kura, na wakawa wanaipigia ccm, basi sasa wataipigia kura ACT-Wazalendo.

Hata wale ccm wasioipenda CHADEMA, wataipigia kura ACT-Wazalendo. Maana tunafahamu propaganda za ccm inapokuja kwenye udini na ukabila! Tuhuma zao wenyewe, lakini wamekuwa wakiwasingizia upinzani. Sasa ccm mmetawala toka uhuru, upinzani ndo umeleta shida za waislam toka lini? Hili huwa najiuliza sana wakati ccm inapokuja na mgombea wao huku wakitutajia maendeleo waliyoyaleta, na kujifananisha na upinzani ambao hawajawahi kuongoza nchi. Hili lenyewe, lilitakiwa liwe sababu nzuri kabisa ya kuwa na uchaguzi huru! Maana nani mwingine ambaye ameshafanya “mazuri” zaidi yao tokea December 31st 1961?

Hivyo ni kweli kabisa kuwa uchaguzi wa huru na haki, utawaondoa ccm madarakani, upinzani uungane, ama usiungane, moto ni ule ule! Membe atakula vichwa vya ccm, chadema nao watakula vichwa vya ccm. Hata yule Sipunda anaweza kula vichwa!

Cha msingi, ni makubaliano yafanyike mapema! Makubaliano ambayo yatahusisha nia ya dhati kabisa ya pande zote mbili! Ni za kuwa na tume huru ya uchaguzi pamoja na katiba mpya ya wananchi kutoka kwa wananchi! Na siyo hii ya mkoloni yenye viraka vya ccm ambayo inaendelea kutushikia chini kiasi cha kwamba uhuru wetu ukawa mashakani!

Sababu ziko nyingi sana, ila nimeamuwa kuanzia na hizi!

Nguruvi3
Kwa zanzibar yes, ila kwa bara tena kwa nafasi ya uraisi haijalishi atasimama nani ukweli ni kwamba magufuli atashinda mchana kweupe.
 
Jiwe hakubaliki hata na wanaccm wenzie ,ila amejitahidi kupanga sanaa kwenye vikao hatari.
 
Kwa zanzibar yes, ila kwa bara tena kwa nafasi ya uraisi haijalishi atasimama nani ukweli ni kwamba magufuli atashinda mchana kweupe.
Siyo kweli. Kwanza kura nyingi za waislam zitaenda ACT-Wazalendo, plus zile za wana ccm waliokuwa wavivu kuingia CUF!

Pia kura nyingi za vijana na wazee zitaenda CHADEMA. Wengi ni uoga na kwasababu ya maslahi ya tumbo ndo maana.
 
Jiwe hakubaliki hata na wanaccm wenzie ,ila amejitahidi kupanga sanaa kwenye vikao hatari.
Toka ameingia tu madarakani, alijipanga sana ili kuweza kuondoa sauti zozote zenye kuuliza ama kupinga lolote. Alianzia ndani ya chama. Hata Makonda mwenyewe ana nguvu sana. Yule katibu mkuu wa ccm ni mpiga nduru tu.
 
Siyo kweli. Kwanza kura nyingi za waislam zitaenda ACT-Wazalendo, plus zile za wana ccm waliokuwa wavivu kuingia CUF!

Pia kura nyingi za vijana na wazee zitaenda CHADEMA. Wengi ni uoga na kwasababu ya maslahi ya tumbo ndo maana.
Magufuli atashinda mchana kweupe na mwendoutakuwa ule ule kuwa kaiba kura. Hizi mambo za JF na mtandaoni zinafanya watu wahisi labda wana wafuasi wengi ila huko vijijini huko wakina mama wauza misosi na biashara ndogo wanamkubari. Labda ubunge lakini uraisi atashinda tena kwa kiasi kikubwa
 
Magufuli atashinda mchana kweupe na mwendoutakuwa ule ule kuwa kaiba kura. Hizi mambo za JF na mtandaoni zinafanya watu wahisi labda wana wafuasi wengi ila huko vijijini huko wakina mama wauza misosi na biashara ndogo wanamkubari. Labda ubunge lakini uraisi atashinda tena kwa kiasi kikubwa
“Katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005, Kamati Kuu ya Siasa ya Shura ya Maimamu pia ilitoa Waraka na hatimaye tathmini. Sehemu ya tathmini mwaka huo inasema:

“Katika mikoa yote ya Tanzania Bara na Visiwani, watu wengi waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura hawakuona majina yao kwenye orodha za wapiga kura zilipobandikwa vituoni. Tatizo hilo liliendelea mpaka siku ya kupiga kura ambapo wananchi hao hawakupata haki ya kuchagua viongozi wa nchi."

Baadhi ya vyombo vya habari viliandika kilio cha Wananchi hao kama ifuatavyo:

“Wengi walilalamika kuyakuta majina yao nje lakini walipoingia ndani hawakuyaona katika orodha ya daftari la wapiga kura”.

Chombo kingine cha Habari kiliandika:
_
“Karibu maeneo yote, vifaa vya kupigia kura vilikuwepo lakini lililojitokeza ni mkanganyiko wa majina ya wapiga kura. Baadhi ya majina yalihamishwa kutoka sehemu walizojiandikisha na kupelekwa vituo vingine. Hali kama hiyo ilijitokeza eneo la Mpanda, Arusha ambako watu zaidi ya 100, walihangaika kutafuta majina yao na walipoyapata muda wa kupiga kura ukawa umekwisha. Polisi wa kutuliza ghasia FFU, walitumia nguvu kuwafukuza ilihali wao wakiwa wanabembeleza waweze kupiga kura”_

Tathmini hizi za Waislamu (ambazo hupatikana kutokana na waangalizi wake katika uchaguzi), huwa na mchango mkubwa katika kutambulisha mambo muhimu yaliyojitokeza wakati wa chaguzi hizo).

Tukiingia katika usuli wa kichwa cha mada hii “Umuhimu wa kuboresha Kanuni Kipindi cha Mpito” pamoja na kutokuwepo kwa Tume Huru ya Uchaguzi Serikali imesema uchaguzi Oktoba 2020, utafanyika. Na wale watakaotangazwa na Tume za Taifa za Uchaguzi (NEC na ZEC) watapewa mamlaka ya kuongoza Taifa. Kwa Watanzania wanaotaka Tume Huru ya Uchaguzi, Uchaguzi huu kwao ni tukio la kipindi cha mpito katika vuguvugu la madai ya Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi. (Waislamu ni miongoni mwa tabaka hilo). (Hata Serikali yenyewe pia imekuwa ikidai kuwa suala hilo ni muhimu kwa sasa lakini tatizo kwao ni fedha).

Katika muktadha huo wito wetu ni kuboreshwa Kanuni za Uchaguzi na Uendeshaji wa zoezi la Uchaguzi ili kuwezesha kufanyika Uchaguzi Huru na wa Haki. Mamlaka za Uchaguzi Tanzania Bara na Visiwani NEC na ZEC zione dharua iliyopo ziitishe mabaraza (au au au) ya kutunga Kanuni za Uchaguzi. Katika hatuwa hiyo muhimu Serikali zishirikishe makundi muhimu vikiwemo vyama vya Siasa. Huo pia ni wito wa Watanzania mbali mbali wamekuwa wakipendekeza maboresho (shirikishi) ya kanuni katika kipindi hiki cha mpito. Miongoni mwa maboresho tunayoyaunga mkono na kupendekeza ni:

1) Kanuni ya Uchaguzi itamke wazi vyama vya Siasa vitapewa nakala ya Daftari la Wapiga kura mapema kabla ya kampeni kuanza.

2) Kanuni itamke na kuweka msisitizo wa hatuwa za kisheria kuwa viongozi wa Serikali kama Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri, Watumishi wa Umma wasitumike kisiasa katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu, wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi.

3) Kanuni itamke Mashirika na Taasisi za Umma hwairuhusiwi kufanya kampeni ya mgombea yoyote au chama chochote cha siasa.

4) Aidha kanuni ya zamani ilikuwa inaagiza Wakala wa chama apewe nakala yake ya kiapo mara tu baada ya kuapishwa. Upo mchakato batili unaolenga mabadiliko ya kanuni hiyo ili itamke; atapewa nakala yake siku ya kupiga kura nje ya kituo. Kwakuwa nakala hii ndio tiketi ya wakala ya kuingia ndani ya chumba cha kupigia kura, kanuni itamke wazi kuwa wakala wa chama cha siasa atapewa nakala yake ya kioapo mara tu baada ya kuapishwa.

5) Kanuni itamke Kura zitapigwa na kuhesabiwe katika kituo husika cha kupigia kura. Itamke wazi baada ya kuhesabiwa hazitahamishwa katika kituo hicho na kupelekwa katika kituo kingine chochote kwaajili ya kuhesabiwa upya.

6) Kanuni itamke Mawakala wapewe nakala za Matokeo ya kura katika vituo vyao bila kubabaishwa wala kutishwa.

7) Kanuni itamke Matokeo ya wagombea yatangazwe pale pale katika kituo cha kupigia kura.

8) Kanuni itamke idhini ya Asasi za Ndani na nje kuweka Waangalizi wa uchaguzi na uhuru wa kutoa ripoti zao.

9) Kanuni itamke Vyombo vya dola kama vile Jeshi la Polisi, Usalama wa Taifa na Vikosi vya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar haviruhusiwi kuingilia mambo ya uchaguzi. Itamke kuwa askari waliovaa sare na kubeba silaha watakaa mita miamoja kutoka kituo cha kupigia kura.

10) Kanuni iwakumbushe Majaji na Mahakimu pamoja na Maofisa wengine wa Mahakama wajibu wa kutenda haki kwa Mashauri yote ya uchaguzi.

Mapendekezo hayo yatapunguza kwa kiasi kikubwa ombwe la kukosekana Tume Huru ya Uchaguzi na yanaleta matumaini ya Uchaguzi Huru na wa Haki katika kipindi hiki cha mpito cha madai ya Wananchi ya Tume Huru (Independent Electrol Commission)”- Waraka wa Shura ya Maimamu
 
Hivi unadhani anapoongea hivyo ndo kwamba anataka tume huru? Hapo anatisha tu watu kuwa tume siyo huru, na kwamba usalama na wanajeshi ndo wanahakikisha kuwa ccm wanashinda. Na huyu ni mwana ccm humu nguli! Ambaye hadhani kwamba tume huru ni jambo la maana.

Sasa wewe labda ndo mtoto, maana haumfahamu huyu member kama mimi humu ndani. Kama na wewe ni ccm, wote ni kundi moja la akili za kitoto.
Kwahiyo unampinga?

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom