Hata dhahabu ilifichwa Kenya lakini ilirudishwa, Rais Samia rudisha hela zilizofichwa China

Hata dhahabu ilifichwa Kenya lakini ilirudishwa, Rais Samia rudisha hela zilizofichwa China

Correction, raisi Kikwete hakurudisha iliyoitwa fedha ya rada bali Waingereza wenyewe ndiyo waliopigania ikarudishwa ilijadiliwa mpaka Bungeni kwao na masharti ikawa hela zikirudi ziwekwe kwenye Elimu hivyo kila kitu kilifanywa na Waingereza wenyewe na hakukuwa na input yoyote ile kutoka Serikali ya Tanzania, kama wa Uingereza wangekaa kimya hakuna hata Shilingi ingerudi, kama hata ni kweli ilirudishwa hiyo fedha na Waingereza walikuwa na nia ya dhati kutupigania jambo ambalo binafsi siliamini hilo ni swala lingine!
Kikwete alisema hakuna chenchi ya rada uingereza,waziri anayehusika na maswala ya afrika wa uingereza kipindi kile bi Clara short alilivalia njuga lile swala mbugeni kwao uingereza mpaka akaamua kujiuzuru,na ndipo serikali ya ungereza ikalejesha fedha,
 
Huyu mimi simuamini akisema kitu! Aliutangazia ulimwengu kuwa yule Jamaa Gaidi alafu akaja kufuta kesi! Kwaiyo huyuwakumuangalia tu ila hajui analolisema.
Raisi anayeandaliwa kila kitu na kukifanya tu bila hata kushirikisha japo 1% ya brain yake unawezaje kuanza kumuamini pale aliropoka tu nakuhakikshia hilo
 
Hakuna mtu aliyeficha pesa china hakuna hakuna msidanganyike ni uongo na ni ulongo

Muulize aliyewambia pesa zimefichwa china awambie zimefichwa na nani?

Walioficha pesa china wapo china au Tanzania? Au wote wamekufa?

Hakuna pesa ya kurudisha kutoka china maana hakuna pesa china ni uongo.
Bora umeliweka vizuri kiongozi sasa pesa zipo china na rasi anajua halafu asijue nani ameziweka huko
 
Acha akili legelege.Kila anayehoji unafikiri ameolewa kama mama yako mzazi?Stupid!
Ni kweli mama yangu kaolewa,lkn wewe unahangaika na jpm kwa chuki za kike,alishakupumilia akakudhurumu malaya wewe!?,kila mada ikija, wewe unatafuta mazingira ya kumwingiza jpm,kama sio umalaya ni nini?,
 
Hakuna pesa za kurejesha mkuu.

Ule ni uongo.
 
Back
Top Bottom