HATA DIAMOND KASHINDWA KUFIKISHA VIEWS MILION NDANI YA SIKU!! MABANDO YATAZIKA UMAARUFU WA SANAA YETU AFRICA.

HATA DIAMOND KASHINDWA KUFIKISHA VIEWS MILION NDANI YA SIKU!! MABANDO YATAZIKA UMAARUFU WA SANAA YETU AFRICA.

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Mods tafadhalini msiwe mnaunganisha uganisha thread zetu kwenye nyuzi za zamani,

Kiutani utani sanaa yetu naenda kufutika katika ramani ya Africa, Sanaa yetu ya muziki ilikuwa inapaa kwa kasi ila kwa sasa haya mabando yamekata mbawa.

Hata hizo tuzo za bet, views zilikuwa na nafasi yake kumpa uzito msanii, kwa sasa hali ni mbaya aisee.

tangu abando yapande, Kina harmonize, Alikiba, Nandy, n.k hawajaweza kufikisha views milioni kwa siku kama ilivyozoeleka zamani, nikawa nasubiri kwa shauku nipime upepo wa Diamond huenda ataweza, mana huyu hata aimbe kipogolo ana nyomi la mashabiki.

Video imetoka tarehe 15 saa 4 usiku lakini mpaka sasa ni zaidi ya masaa 37 bad video inachechemea,

1639736691045.png



1639737243087.png
 
leo hii umevuka mipaka lakini haujaleta mapinduzi ya kweli saana
apinduzi yalikuwa mengi tu, hivi vitu vilikuwa ni nadra sana zamani ila vikaanza kuonekana kawaida:

Wasanii walianza kuchaguliwa kwenye tuzo kwa speed kubwa baada ya muziki kuvuka border
ilianza kuonekana ni kawaida wasaniii kuchukua tuzo za kimataifa bet, afrimma, n.k
shows kibao nje ya nchi
Kuvunja rekodi, wasanii wetu wana subscribers wengi youtube, wengine walifkisha views milion 4 ndani ya siku, n.k.
 
Back
Top Bottom