Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Elimu ya bure kabisa hii;
Ingia Mabibo sokoni ama Buguruni. Kapoint matikiti manne ya elfu nne nne. Kila tikitiki likate vipande 40 vya Tsh. 200 @1.
Kwa kila tikiti itatoa gross amount ya 8,000. Ukitoa mtaji wa 4,000 @1, unabaki na faida ya 4,000.
Kwa tikiti zote nne = 4,000 × 4 ~ 16,000
Usihangaike kuuza. Tafuta vijana wanne, wapatie vipande 40 kila mmoja. Wakimaliza tu 1,500 ni yao, kila mmoja kwa kila tikiti.
Ukienda round 2 kwa siku, una uhakika wa kulaza 20,000 net. Hujatoboa tu mpaka hapo?
Akili kumkichwa.
Kabla ya kuweka nukta nilitegemea members wote kuwaona hapa Buguruni mkilangua tikiti kwa bei ya jumla kwenye kiosk changu.
Haya naweka nukta
.
Ingia Mabibo sokoni ama Buguruni. Kapoint matikiti manne ya elfu nne nne. Kila tikitiki likate vipande 40 vya Tsh. 200 @1.
Kwa kila tikiti itatoa gross amount ya 8,000. Ukitoa mtaji wa 4,000 @1, unabaki na faida ya 4,000.
Kwa tikiti zote nne = 4,000 × 4 ~ 16,000
Usihangaike kuuza. Tafuta vijana wanne, wapatie vipande 40 kila mmoja. Wakimaliza tu 1,500 ni yao, kila mmoja kwa kila tikiti.
Ukienda round 2 kwa siku, una uhakika wa kulaza 20,000 net. Hujatoboa tu mpaka hapo?
Akili kumkichwa.
Kabla ya kuweka nukta nilitegemea members wote kuwaona hapa Buguruni mkilangua tikiti kwa bei ya jumla kwenye kiosk changu.
Haya naweka nukta
.