Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Ninyi wana JF ndio ndugu zangu wa dhati kwa kuwa niko nanyi muda wote. Sisi sote tu watoto wa baba mmoja. Watoto wa Maxence MeloHauna ndugu zako masikini uwashirikishe watajirike kwanza kabla ya kutushirikisha sisi? Charity begins at home.
Haha... Umetisha mkuu.Ninyi wana JF ndio ndugu zangu wa dhati kwa kuwa niko nanyi muda wote. Sisi sote tu watoto wa baba mmoja. Watoto wa Maxence Melo
😂😂😂Kabla ya kuweka nukta nilitegemea members wote kuwaona hapa Buguruni mkilangua tikiti kwa bei ya jumla kwenye kiosk changu.
Luka 4:24 Nabii hatambuliki kwao!Hauna ndugu zako masikini uwashirikishe watajirike kwanza kabla ya kutushirikisha sisi? Charity begins at home.
inawezekana ni kweli hebu tuelekeze nini tunaweza kufanya ukiacha hicho ambacho hakitapoteza muda?Hiyo ni biashara kichaa..... wasting of time
Nishafanya hii ilikuwa 2014 japokuwa kwa muda mchache kikubwa unatakiwa uwe msafi na usiwe na aibu tu.Elimu ya bure kabisa hii;
Ingia Mabibo sokoni ama Buguruni. Kapoint matikiti manne ya elfu nne nne. Kila tikitiki likate vipande 40 vya Tsh. 200 @1.
Kwa kila tikiti itatoa gross amount ya 8,000. Ukitoa mtaji wa 4,000 @1, unabaki na faida ya 4,000.
Kwa tikiti zote nne = 4,000 × 4 ~ 16,000
Usihangaike kuuza. Tafuta vijana wanne, wapatie vipande 40 kila mmoja. Wakimaliza tu 1,500 ni yao, kila mmoja kwa kila tikiti.
Ukienda round 2 kwa siku, una uhakika wa kulaza 20,000 net. Hujatoboa tu mpaka hapo?
Akili kumkichwa.
Kabla ya kuweka nukta nilitegemea members wote kuwaona hapa Buguruni mkilangua tikiti kwa bei ya jumla kwenye kiosk changu.
Haya naweka nukta
.
Kuna mtu amekuuliza ushauri? Pambana na ufukara wakoElimu ya bure kabisa hii;
Ingia Mabibo sokoni ama Buguruni. Kapoint matikiti manne ya elfu nne nne. Kila tikitiki likate vipande 40 vya Tsh. 200 @1.
Kwa kila tikiti itatoa gross amount ya 8,000. Ukitoa mtaji wa 4,000 @1, unabaki na faida ya 4,000.
Kwa tikiti zote nne = 4,000 × 4 ~ 16,000
Usihangaike kuuza. Tafuta vijana wanne, wapatie vipande 40 kila mmoja. Wakimaliza tu 1,500 ni yao, kila mmoja kwa kila tikiti.
Ukienda round 2 kwa siku, una uhakika wa kulaza 20,000 net. Hujatoboa tu mpaka hapo?
Akili kumkichwa.
Kabla ya kuweka nukta nilitegemea members wote kuwaona hapa Buguruni mkilangua tikiti kwa bei ya jumla kwenye kiosk changu.
Haya naweka nukta
.