Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa wa visima vya majiHivyo visima walichimba watafiti wa gesi na mafuta au kampuni za kuchimba visima vya maji?
HahahahahahhHapo itakua ni Marekani bila shaka.maana kiswaili ndio lugha yao ya Taifa.
Amini nakuambia mkuu hatutakuwa na majibu ya kuwajibu wajukuu zetu miaka30 tu ijayo itakuwa ni kazi kubwa mnoooo na hakuna majibu.Sisi watanganyika ni nyumbu. Tunauziwa Mali asili zetu tupo tu Wala hatuoni umuhimu wetu chadema wakisema tuandamame basi tunawaona ni wachumia tumbo.
Lakini hao hao chadema ndo wanatufundisha namna sahihi ya kurinda rasilimali zetu hata wao wakichukua Dola Bado tutakuwa na uthubutu wa kupinga pale tunapoona wanatuingiza Chaka maana ujasiri huu wote wao ndo walitunoa.
Amini nakuambia mkuu hatutakuwa na majibu ya kuwajibu wajukuu zetu miaka30 tu ijayo itakuwa ni kazi kubwa mnoooo na hakuna majibu.
Sa100 yeye anajua sisi ni vilaza anafanya anavyotaka Wala hazuiliwi
Daslam ni wengi sana, na wakiwa vigoli ni wazuri kwelikweli.
Vijana wa chuga, elimu iliposimama mnakwama wapi.?
Mnyundo village, Mambi catchment, kata ya Ndumbwe, halmashauri ya Mtwara vijijiini.Nimecheki ni Mtwara
The Beautyful Ones Are Not Yet Born
Shukrani kwa audio mkuu 🔥🔥
MTWARA - Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeanza uchunguzi kubaini ukweli kuhusu tukio la visima vya maji katika kijiji cha Mnyundo kata ya Ndumbwe, Halmashauri ya Mtwara mkoani Mtwara kuwaka moto.Mnyundo village, Mambi catchment, kata ya Ndumbwe, halmashauri ya Mtwara vijijiini.
Mabinti wa Moshi?Hakuna kitu kinaumiza kama kuona mabinti wa Arusha na Moshi wakiwa wamekimbilia mikoa mingine kufanya kazi bar nk....
huu uzi ungeuweka pale chini ya uzi wako ili iwe vizuri mkuu![]()
Mgunduzi wa madini ya Tanzanite, Mzee Jumanne Mhero Ngoma amefariki dunia - BBC News Swahili
Mgunduzi wa madini ya Tanzanite, Mzee Jumanne Mhero Ngoma amefariki duniawww.bbc.com