Hata hiki kidubwasha tunaagiza China!

Hata hiki kidubwasha tunaagiza China!

View attachment 2879915

Kwani hapo VETA, UDSM, UDOM na huko kwingine mnaenda kusoma nn?., maana kama kuendesha nchi mmeshindwa, kila kitu mnaharibu!


Wasomi msiokuwa na msaada wowote kwa nchi yenu, mnashindwa hata kuunda kidubwana local kama hicho mnakimbilia kuunda magari mtayaweza?

Kwa sasa wengine mnakimbilia kwenye ufugaji wa kuku broiler, kweli?. Msomi uliyesoma enginering unaanzaje kufuga kuku broiler eti ndo kazi yako ya kuendesha maisha na umebweteka kabisa.

Wengine mnakimbilia kusoma kozi za ONLINE kutengeneza sabuni za magadi, mtu umesoma miaka 4 halafu chuo halafu unakuja kusoma kozi ya siku moja na inakusaidia maisha, asa mnafuata nn huko chuo?, mnaenda kusoma ili mturingishie mtaani kuwa mlisoma vyuo?

Nchi ya ajabu sana hii...
Hicho ni kitu kikubwa sana,
Toothpick yenyewe tunaagiza China. Haihitaji hata utaalam wowote wala haina mechanism yoyote ile useme hatuwezi kutengeneza.
 
Hebu Mkuu uwe unajipatia hata vipointi basi.

Hizo prototype si wametoa Africa au?
iu
Kifaa Cha kichawi hiki
 
View attachment 2879915

Kwani hapo VETA, UDSM, UDOM na huko kwingine mnaenda kusoma nn?., maana kama kuendesha nchi mmeshindwa, kila kitu mnaharibu!


Wasomi msiokuwa na msaada wowote kwa nchi yenu, mnashindwa hata kuunda kidubwana local kama hicho mnakimbilia kuunda magari mtayaweza?

Kwa sasa wengine mnakimbilia kwenye ufugaji wa kuku broiler, kweli?. Msomi uliyesoma enginering unaanzaje kufuga kuku broiler eti ndo kazi yako ya kuendesha maisha na umebweteka kabisa.

Wengine mnakimbilia kusoma kozi za ONLINE kutengeneza sabuni za magadi, mtu umesoma miaka 4 halafu chuo halafu unakuja kusoma kozi ya siku moja na inakusaidia maisha, asa mnafuata nn huko chuo?, mnaenda kusoma ili mturingishie mtaani kuwa mlisoma vyuo?

Nchi ya ajabu sana hii...
We unashangaa hicho...?.... vijiti vya kuchokolea meno vyatoka Uchi na.
 
View attachment 2879915

Kwani hapo VETA, UDSM, UDOM na huko kwingine mnaenda kusoma nn?., maana kama kuendesha nchi mmeshindwa, kila kitu mnaharibu!


Wasomi msiokuwa na msaada wowote kwa nchi yenu, mnashindwa hata kuunda kidubwana local kama hicho mnakimbilia kuunda magari mtayaweza?

Kwa sasa wengine mnakimbilia kwenye ufugaji wa kuku broiler, kweli?. Msomi uliyesoma enginering unaanzaje kufuga kuku broiler eti ndo kazi yako ya kuendesha maisha na umebweteka kabisa.

Wengine mnakimbilia kusoma kozi za ONLINE kutengeneza sabuni za magadi, mtu umesoma miaka 4 halafu chuo halafu unakuja kusoma kozi ya siku moja na inakusaidia maisha, asa mnafuata nn huko chuo?, mnaenda kusoma ili mturingishie mtaani kuwa mlisoma vyuo?

Nchi ya ajabu sana hii...
Tatizo hapo sio wasomi kama unavyowanga hapa. Hii ni issue ya uwekezaji, ni biashara lazima awepo mtu wa kuweka mtaji kufanikisha hilo. Ukitoa mambo ya ubunifu, uzalishaji wa hiyo kitu unahitaji watu wa kada tofauti tofauti.

Utahitaji mtu wa manunuzi, kununua hizo materials kwa ajili ya uzalishaji.

Utahitaji eneo kwa kununua au kukodi ili kusimika mitambo kwa ajili ya kuhifadhi materials, uzalishaji na kuhifadhi hizo bidhaa.

Utahitaji mitambo kuchakata hizo materials kuzalisha hiko kifaa.

Utahitaji nguvu kazi katika kila hatua ya uzalishaji kufanikisha hilo.

Utahitaji mtu wa mauzo kufanikisha faida inapatikana na uzalishaji unakua endelevu.

Shughuli katika hatua zote hizo zinahitaji fedha, hivyo hilo swala ni swala la uwekezaji wa fedha za kutosha tu na wala sio swala la kutupia lawama hawa wahitimi.
 
Hata kunya tu mtanzania hanyi inavyopaswa. Sisi ni watu wa ajabu sana.

Mbrrr mbrrrr mbrr kammon nyau
Teh teh teh koh koh koh aaaarrrhhh.

Kwa hiyo mkuu kunya sahihi ndiyo kunyaje huko, au mtu hadi apelekwe kozi akajifundishe kunya ndiyo aweze kunya sawa sawa?
 
View attachment 2879915

Kwani hapo VETA, UDSM, UDOM na huko kwingine mnaenda kusoma nn?., maana kama kuendesha nchi mmeshindwa, kila kitu mnaharibu!


Wasomi msiokuwa na msaada wowote kwa nchi yenu, mnashindwa hata kuunda kidubwana local kama hicho mnakimbilia kuunda magari mtayaweza?

Kwa sasa wengine mnakimbilia kwenye ufugaji wa kuku broiler, kweli?. Msomi uliyesoma enginering unaanzaje kufuga kuku broiler eti ndo kazi yako ya kuendesha maisha na umebweteka kabisa.

Wengine mnakimbilia kusoma kozi za ONLINE kutengeneza sabuni za magadi, mtu umesoma miaka 4 halafu chuo halafu unakuja kusoma kozi ya siku moja na inakusaidia maisha, asa mnafuata nn huko chuo?, mnaenda kusoma ili mturingishie mtaani kuwa mlisoma vyuo?

Nchi ya ajabu sana hii...
Wasomi wanawaza teuzi tu za kisiasa, no creativity, no patriotism, ulafi na uroho umewajaa
 
Tatizo si kukiunda hicho, tatizo ni kukizalisha kibiashara. Ni aibu
 
Kwani hapo VETA, UDSM, UDOM na huko kwingine mnaenda kusoma nn?., maana kama kuendesha nchi mmeshindwa, kila kitu mnaharibu!
Wameshiindwa kutengeneza tooth pick
 
Tukiwaambia ile elimu haina faida ilishikiliwa tu kwa vile ni mkoloni ,ila kiukweli hamna kitu hata maprofessor zero kabisa ...Kazi kubwa kupiga domo na siasa..
 
Kila kitu ni innovation, kama hatuna innovative minds usitegemee kufika unapotaka tufike.

Hata hivyo, haya mambo ya innovation yanaanzia mbali sana.
 
Tukiwaambia ile elimu haina faida ilishikiliwa tu kwa vile ni mkoloni ,ila kiukweli hamna kitu hata maprofessor zero kabisa ...Kazi kubwa kupiga domo na siasa..
Swala sio elimu haina faida, ukweli ni kwamba tumekosa watu wenye uwezo kifedha kuwekeza katika hilo hapa nchini.

Kumiliki kiwanda cha kuzalisha bidhaa hiyo hauhitaji kuwa na elimu ya injinia, japo ni kwelu katika sehem ya uzalishaji huo utahitaji huduma ya injinia.
 
Swala sio elimu haina faida, ukweli ni kwamba tumekosa watu wenye uwezo kifedha kuwekeza katika hilo hapa nchini.

Kumiliki kiwanda cha kuzalisha bidhaa hiyo hauhitaji kuwa na elimu ya injinia, japo ni kwelu katika sehem ya uzalishaji huo utahitaji huduma ya injinia.

Angalia china state ni wanaongoza kufanya uwekezaji ,huwezi kulinganisha na hawa wazee wa kula 10% elimu za mchongo kazi siasa.
Screenshot_20240123-110900.png
 
Back
Top Bottom