Hata hiki kidubwasha tunaagiza China!

Hata hiki kidubwasha tunaagiza China!

SWALI: Kama tungesoma wote, nani angetawaliwa?.
Huku mtaani bila elimu huo ufundi ningejifunzaje?.
Nadhani twende kwanza na swali juu ya swali kabla ya majibu sahihi.
Kwa hiyo wewe huko mtaani kipindi sie tunahangaika na madaftari na peni,wewe uko tu unakula mabumunda au halafu Sasa uje uanze kurushia mawe watu,we duniani ulikuja kufanyiwa Kila kitu au sio?
 
View attachment 2879915

Kwani hapo VETA, UDSM, UDOM na huko kwingine mnaenda kusoma nn?., maana kama kuendesha nchi mmeshindwa, kila kitu mnaharibu!


Wasomi msiokuwa na msaada wowote kwa nchi yenu, mnashindwa hata kuunda kidubwana local kama hicho mnakimbilia kuunda magari mtayaweza?

Kwa sasa wengine mnakimbilia kwenye ufugaji wa kuku broiler, kweli?. Msomi uliyesoma enginering unaanzaje kufuga kuku broiler eti ndo kazi yako ya kuendesha maisha na umebweteka kabisa.

Wengine mnakimbilia kusoma kozi za ONLINE kutengeneza sabuni za magadi, mtu umesoma miaka 4 halafu chuo halafu unakuja kusoma kozi ya siku moja na inakusaidia maisha, asa mnafuata nn huko chuo?, mnaenda kusoma ili mturingishie mtaani kuwa mlisoma vyuo?

Nchi ya ajabu sana hii...
Tatizo lipo kwenye uongozi wa nchi. Uongozi unapochechemea hakuna kinachobaki salama. Si unaona Makonda anavyofanya ujinga lakini? Najua swali la pili utauliza kwani wasomi hawawezi kufanya bila kuwategemea wanasiasa? Na mimi nitakujibu tena hivyo hivyo, tatizo ni uongozi wa nchi.
 
Kwa hiyo wewe huko mtaani kipindi sie tunahangaika na madaftari na peni,wewe uko tu unakula mabumunda au halafu Sasa uje uanze kurushia mawe watu,we duniani ulikuja kufanyiwa Kila kitu au sio?
Nadhani turudi tu kwenye uhalisia wa mada husika sababu tukianza kurushiana vijembe hatutafika popote.
Kwa taarifa nimeajiri degree holders 2 na mm ndo boss wao na kazi tunazofanya ni hizi nilizojifunza mtaani
 
Mleta uzi tunaomba utuonyeshe ugunduzi wako ujitoe kwenye kundi la watanzania wajinga😁😁😁😁
Hahahahahahhaa....kwanza anajua mpk hiko kidude kinakamilika nini kinahitajika?

Angalie uwekezaji wake mwanzo hadi mwisho
 
Kuna jamaa yangu alikua anataka kufungua kiwanda cha toothpick ...zengwe alilokutana mpk anakamilisha ni vile tu baba ake ni kigogo mkubwa serikalini na mwenye dhamana ya viwanda
 
Tatizo ni kukosa teknolojia
Hushangai kuwa Hadi tooth pick za kuchokonolea meno tunaagiza china wakati miti tunayo

Hicho kifaa chaweza tengenezwa Tanzania gharama ikawa shilingi elfu 20 wakati mchina kinauzwa elfu moja

Mfano mafundi viatu tunao mchina Cha kwake Unakuta Kiko Hadi Cha shilingi Tano chetu Hadi kutoka kinasoma kuanzia elfu 20

Bila teknolojia huwezi kutengeneza Kwa bei Rahisi.Shida inakuja hiyo teknolojia hawakupi Wala kukukuzia ndipo wanatuzidi hapo

Elimu ipo ila teknolojia Haipo
 
Chuma sio tatizo,
Vyuma vya skrepa vimejaa kibao wahindi wanayeyusha wanatengenezea nondo.

Huko njombe chuma inachimbwa ila kwenye nchi lazima kashapewa mgeni achukue anavyotaka.
Huwezi endesha viwanda kwa chuma cha screpa. China waliwahi jaribu wakashindwa. Kinachotakiwa ni chuma safi, kingi na cha bei rahisi. Mfano huko Liganga tungechimba na kusafisha tupate chuma safi. Mtu akitaka kuunda chochote awe na uhakika wa chuma.
 
View attachment 2879915

Kwani hapo VETA, UDSM, UDOM na huko kwingine mnaenda kusoma nn?., maana kama kuendesha nchi mmeshindwa, kila kitu mnaharibu!


Wasomi msiokuwa na msaada wowote kwa nchi yenu, mnashindwa hata kuunda kidubwana local kama hicho mnakimbilia kuunda magari mtayaweza?

Kwa sasa wengine mnakimbilia kwenye ufugaji wa kuku broiler, kweli?. Msomi uliyesoma enginering unaanzaje kufuga kuku broiler eti ndo kazi yako ya kuendesha maisha na umebweteka kabisa.

Wengine mnakimbilia kusoma kozi za ONLINE kutengeneza sabuni za magadi, mtu umesoma miaka 4 halafu chuo halafu unakuja kusoma kozi ya siku moja na inakusaidia maisha, asa mnafuata nn huko chuo?, mnaenda kusoma ili mturingishie mtaani kuwa mlisoma vyuo?

Nchi ya ajabu sana hii...
Wewe unasema hicho? Hata sinfdano tu za kushonea hatutengenezi wenyewe.


Hik nchi inachukuwa nchi na watu siyo kuja kufundisha vyuo vyetu vya ufundi.

Nenda hata "tabata" ya Krachi, Pakistan, chukuwa fundi mmoja mlipe vizuri akae miaka 5 uone atatowa mafundi wangapi. Jionee:


View: https://youtu.be/0GyDCGMrcpk?si=shXWiKPaRu78KV8U
 
View attachment 2879915

Kwani hapo VETA, UDSM, UDOM na huko kwingine mnaenda kusoma nn?., maana kama kuendesha nchi mmeshindwa, kila kitu mnaharibu!


Wasomi msiokuwa na msaada wowote kwa nchi yenu, mnashindwa hata kuunda kidubwana local kama hicho mnakimbilia kuunda magari mtayaweza?

Kwa sasa wengine mnakimbilia kwenye ufugaji wa kuku broiler, kweli?. Msomi uliyesoma enginering unaanzaje kufuga kuku broiler eti ndo kazi yako ya kuendesha maisha na umebweteka kabisa.

Wengine mnakimbilia kusoma kozi za ONLINE kutengeneza sabuni za magadi, mtu umesoma miaka 4 halafu chuo halafu unakuja kusoma kozi ya siku moja na inakusaidia maisha, asa mnafuata nn huko chuo?, mnaenda kusoma ili mturingishie mtaani kuwa mlisoma vyuo?

Nchi ya ajabu sana hii...
Nenda kasome theory of comparative advantage na economies of scale.

Najua hupendi kusoma
 
Tatizo ni kukosa teknolojia
Hushangai kuwa Hadi tooth pick za kuchokonolea meno tunaagiza china wakati miti tunayo

Hicho kifaa chaweza tengenezwa Tanzania gharama ikawa shilingi elfu 20 wakati mchina kinauzwa elfu moja

Mfano mafundi viatu tunao mchina Cha kwake Unakuta Kiko Hadi Cha shilingi Tano chetu Hadi kutoka kinasoma kuanzia elfu 20

Bila teknolojia huwezi kutengeneza Kwa bei Rahisi.Shida inakuja hiyo teknolojia hawakupi Wala kukukuzia ndipo wanatuzidi hapo

Elimu ipo ila teknolojia Haipo
Sio kukosa teknolojia. Tatizo hatujali, tunaongea sana. Wewe juhudi wanazofanya CCM kubaki madarakani, hadi wanatumia vyombo vyote vya dola, mpaka KJT! Ingekua imewekeza kwenye maendeleo tungekua tunakimbizana na SA. Lakini hatujali, wananchi hatujali na serikali ya ccm haijali. Wote hatujali. Upinzani unajitahidi kutuamsha tusilale lakini ndio kwanza tunaimba pambio mama yuko kazini.
 
Kwa hiyo anaendeleza productions Kwa Sasa?
bado hajaanza uzalishaji

Kufungua kiwanda cha hivyo vitu ambavyo mnaona ni vidogo si mchezo ujue
HIvi mnadhani watu hawapendi kuwekeza huko ?

Mfano umefanikiwa kutengeneza hiko kimoja..malighafi utakua nazo za kutosha ?
 
Nadhani turudi tu kwenye uhalisia wa mada husika sababu tukianza kurushiana vijembe hatutafika popote.
Kwa taarifa nimeajiri degree holders 2 na mm ndo boss wao na kazi tunazofanya ni hizi nilizojifunza mtaani
Wewe Uzi umeuleta Kwa vijembe, kejeli na dharau...wewe ukijibiwa Kwa vijembe hutaki...Sasa kama umeajiri degree holder waliosoma sociology unataka wagundue engine unadhani Hilo ni possible?Unajua waungwana huwa wanaleta ugunduzi na ufanisi wao mezani Kabla hawajaanza kupopoa wenzao mawe
 
Back
Top Bottom